pombe

  1. KING MIDAS

    Biblia inasema fungu la kumi litolewe mara moja tu kwa mwaka, hawa wanaodai fungu la kumi kila wiki ni wezi. Fungu la 10 waweza kulinywea hata pombe

    Kumbukumbu la Torati 14:22 [22]Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka. Thou shalt truly tithe all the increase of thy seed, that the field bringeth forth year by year. Kumbukumbu la Torati 14:22,24-26 [22]Usiache kutoa zaka ya...
  2. BabaMorgan

    Kutengeneza content inayohusiana na pombe za kienyeji inaweza kuwa idea nzuri kwenye digital platform.

    Jambo la msingi ni kutengeneza content yenye quality ya level za kimataifa mtiririko unakuwa kuangazia production process ya hicho kinywaji from scratch mfano pombe kama ulanzi unaangazia jinsi inavyotengenezwa mpaka kuwa tayari kwa matumizi. Pia kunywa pombe yenyewe na kutoa mtazamo juu ya...
  3. Lycaon pictus

    Hatujawahi kuwa na Rais mpenda mazingira na uhifadhi kama John Pombe Magufuli

    Rais Magufuli alikuwa ni Rais mpenda Mazingira na uhifadhi hasa. Wakati anaingia madarakani mwaka 2015 idadi ya Tembo Tz ilisadikika kuwa 43,000. Hadi anafariki mwaka 2021 inasemwa kuwa tembo walifika 60,000. Sababu alidhibiti ujangili. Magufuli alianzisha National Parks tatu. Mwalimu Nyerere...
  4. DeepPond

    Mambo ya kuzingatia unapokunywa pombe na Malaya mwaka 2025

    Endapo Umeamua kwenda kulewa pombe pamoja na Malaya uliemchagua , jitahidi Sana:- 1. Usiende kulewa na Malaya maeneo ambayo Ni jirani na kwako au sehemu unakofahamika Sana. 2. Hakikisha umekula umeshiba na unywe maziwa fresh ya kutosha kabla ujaenda kulewa na malaya. Inasaidia kupunguza Kasi...
  5. Lethergo

    Ushauri kwa Walevi : Pombe mbaya jamaa jana nimetukanwa sana na Mlevi

    Na huu ni ushauri kwa walevi wote wanaoishi Duniani. Walevi naongea na walevi wote dunia nzima wale wastaarabu nawaweka pembe ila walevi ambao sio wastaarabu huu uzi unawahusu, mkishalewa tafadharini sana ndugu zangu walevi nendeni mkalale acheni matusi na kuongea lugha chafu na kumtukana mtu...
  6. Allen Kilewella

    CCM kwanini mmeiharamisha pombe aina ya Gongo?

    Mpaka Sasa sielewi ni kwanini CCM mpaka Sasa inaendelea kuiharamisha pombe aina ya gongo!! Hivi CCM haiwezi kuifuta hii sheria kandamizi Ili watanzania maskini wapika pombe aina ya gongo waweze kujikwamua kiuchumi? Hivi CCM wanaweza kutuambia uharamu wa pombe ya gongo unatokana na kitu gani...
  7. Braza Kede

    2025 pombe basi - ni kahawa majani ya chai na maziwa

    Kuanzia hii njanuari ni kahawa, majani ya chai na maziwa. Au kuna mbaya wajameni? - Alisikika mtu mmoja.
  8. Pdidy

    Traffick mtupime kuthibiti Pombe njian ♌ usiku huu kupunguza ajali....vijana wako bar Toka saa nane mchana

    Polen najua nawachukulia mda WENU kufurahia MWAKA mpya Kumekuwa na ajali za ajabu sana MWAKA mpya ambapo Kama kungekuwa na upimaji wa vilevi huko njian walipotokea Tungeeweza kuthibiti vifoo kadhaaa TUNAOMBA leoo tukeshe wote kulinda uhai wetu Dec imekula sana JAMAN kupitilixa Mpaka...
  9. marashi ya pwani

    Aliyepata mke kwenye bar au sehemu yeyote ya pombe tujuzane

    Kama kilivyo kichwa Cha habari hapo juu yeyote aliyepata mke kwenye sehemu hizo atoe ushuhuda pia anipe muongozo Kwa maana mpaka Leo natafuta mke wa kuishi nayo sehemu hizi Kwa sababu Wahudumu wasafi wanyenyekevu warembo pia wazuri Inafikia hatua hadi natafutiwa mke nawajibu Bado...
  10. Poppy Hatonn

    Kazi ya Polisi ni kuwathibiti watu wanaokunywa pombe za machicha wasilete fujo.

    Kama watu elimu yao ni ndogo,kama watu wakivuta bangi,basi, inevitably wataleta fujo na Polisi ni kazi yao kuhakikisha kwamba inakuwepo law and order. Kwa sababu ikifika mahali kwamba watu wanaona kwamba hawalindwi ins maana kwamba lazima wajilinde wenyewe. Na watu wakianza kujilinda wenyewe...
  11. D

    Pombe hazikati toka jana usiku

    nimekunywa pombe Jana usiku hadi muda huu. nimelewa can some one help?? I have tried drinking alot of water. I took soup in the morning. I still feel drunk.
  12. Tundazuri

    Natafuta mwanume anaekunywa pombe awe rafiki

    Habari rafiki, Kama kuna mwanaume anaependa kulewa au kunywa naomba awe rfk yangu, yaan napenda mwanaume mlevi sanaa napenda tu akilewa anavyoongea na anavyotukana yaan najisikia raha sanaa. Ni kwa urafiki tuu mimi nipo Dodoma kwa sasa. So karibu tubadilishane mawazo
  13. Manfried

    Wale ambao ndugu zenu wameathirika na uraibu mbalimbali kama Pombe, Bangi, Madawa n.k, naomba tuwasiliane kwa ajili ya matibabu

    Wale ambao mna watoto au ndugu zenu Ila tayari wameathirika na uraibu mbalimbali kama Pombe, Sigara na Bangi naomba tuwasiliane ili niwapatie matibabu. Tupo na kituo cha rehabilitation (Rehab) Kwa ajili ya HUDUMA zifuatazo: 1. Waathirika wa pombe , bangi na madawa 2. Huduma za kisaikolojia...
  14. Mwande na Mndewa

    Laana ya Hayati Rais John Pombe Magufuli yaitafuna Chadema.

    Sikumuogopa Rais John Magufuli aliyekuwa na majeshi leo hii nimuogope Tundu Lissu,ambaye ni kiongozi mwenzangu tulikuwa nae kwenye chama! kauli tata sana hii,kumekucha!!,Chadema kazi imeanza,Lissu anasema ataendelea kupigania anachokiamini,ataendelea kupiga kelele kama zile kelele za vishindo...
  15. Mtoto wa nzi

    Naacha pombe rasmi

    Bila kushawishiwa na yeyote nimekaa nimeona imetosha Sasa. NAACHA RASMI POMBE ..Sigara niliacha zamani Sana.
  16. Brojust

    Nakupa wazo wewe Mwekezaji, yule Bilionea wa Manyara ametumia fursa ya kutengeneza pombe, Sasa anamiliki hadi Helikopta

    Mimi binafsi shida yangu ni Mtaji tu. Nawasilisha opinion zangu kwako mwekezaji katika pombe kali, sasa hapa hutakiwi kushindana na smart gin maana yeye alitengeneza formula zake na akaliona soko sasahv smart gin ipo kwenye mzunguko mkubwa sana. Twende kwenye wazo, Kumbuka kama unataka...
  17. Morning_star

    Narudia kusema! hakuna adui mbaya kama pombe!

    Kwakweli hakuna adui mbaya wa binadamu ambaye hatumtambui kama POMBE! Pombe ni mbaya jamani! Ubaya wa pombe unakamata fikra! Pombe Ikishakamata fikra zako inakulazimisha uitetee na kuipigania huku ikiendelea kuharibu afya na uchumi wako! Pombe ni mbaya! Ebu fikiria kitu kinaharibu afya yako...
  18. Mkalukungone mwamba

    Mtoto wa Jose Chameleone: Baba yangu afya yake si nzuri, lakini waandaaji hawa wanaendelea kumualika na kumtumia kama chombo cha kuzalisha pesa

    Abba Marcus Mayanja, mtoto wa msanii maarufu wa muziki nchini Uganda, Jose Chameleone, kupitia ukurasa wake wa TikTok ameongea kwa hisia kubwa na mashabiki wa baba yake kuhusu changamoto za kiafya anazopitia baba yake kutokana na matumizi ya kupitiliza ya pombe (Addiction). Katika ujumbe wake...
  19. Bushmamy

    Arusha, Kilimanjaro. Kuna ongezeko kubwa la viwanda bubu vya pombe za makopo

    kila panapokucha panakucha na toleo jipya la pombe , Kuna ongezeko la kutisha la viwanda bubu majumbani vya utengenezaji wa kila aina ya pombe za makopo ambazo hazina viwango,jambo ambalo linahatarisha usalama wa wananchi hususani vijana. Wananchi wengi wamekuwa wakilalamika serikali...
  20. Tuagize

    Nikinywa Pombe nasikia Raha

    Wandugu maisha ya pombe ni mazuri sana yani ukiwa na stress ukinywa tu kila kitu kinakaa poa sana yani unasahau kila kitu ***** binafsi nikilewa nasikia burudani sana ila zingatio usinywe kupita kiasi kunywa kidogo tu kama mimi 😁
Back
Top Bottom