Pongezi kwa Serikali ya Samia kwenye Sekta ya Kilimo.
Kupitia serikali hii ya Rais Samia jitihada nyingi sana zinafanyika katika kufanya mapinduzi ya Kilimo nchini ili ile slogan tunayotembea nayo siku nyingi “Kilimo ni uti wa mgongo wa Mtanzania,” iwe na uhalisia.
Wengi tumeliona hili...