putin

  1. M

    SI KWELI Rais wa Urusi, Vladimir Putin alifanya kazi Nchini Tanzania

    Picha ambayo baadhi ya watu wanadai kuwa inamuonyesha raisi wa Urusi Vladimir Putin akitoa mafunzo kwa wapigania uhuru kusini mwa Afrika ilisambaa na kutumiwa na baadhi ya watu kuhalalisha kuwa nchi za kiafrika zinapaswa kuunga mkono Urusi katika vita vya Ukraine. Picha hiyo ilisambazwa sana...
  2. K

    Mbabe Putin kuitembelea Iran July 19

    Katika hali ya kuihakikishia Dunia kuwa mambo ni shwari nyumbani Moscow,rais mbabe na mmiliki wa mkanda mweusi wa judo Vladimir Putin anatarajiwa kuitembele nchi ya Iran tarehe july 19 Kwa sasa Kremlin ishaweka wazi kuwa haijisumbui wala kujikomba Ulaya kwa akina Macron bali watakwenda na...
  3. JanguKamaJangu

    Putin asaini amri inayowapa urahisi wananchi wote wa Ukraine kuomba uraia wa Urusi

    Rais wa Urusi, Vladimir Putin ametia saini amri ya kupanua mchakato wa kupata uraia wa Urusi kwa raia wote wa Ukraine. Amri hiyo inaamuru kuwa ‘raia wote wa Ukraine’ wapewe haki ya kuomba kuandikishwa kuwa uraia wa Shirikisho la Urusi kwa njia rahisi zaidi. Awali utaratibu kama huo ulikuwa...
  4. MakinikiA

    Kwa wale wenye fitina Rais Putin alishapewa baraka na wananchi kubakia Ikulu mpaka 2036

    Hii ilifanyika 2021 The Russian president has signed legislation that gives him the right to run for two more consecutive terms. The constitutional amendment was approved by referendum last year. Russian President Vladimir Putin on Monday signed legislation that could theoretically mean he stays...
  5. EINSTEIN112

    Putin azidhibiti nchi za Magharibi kuingilia vita nchini Ukraine

    Rais Vladimir Putin ametoa hotuba kali kwa wabunge la Urusi, akithubutu nchi za Magharibi kujaribu kupambana na Moscow kwenye uwanja wa vita nchini Ukraine . "Unaweza kusema nini, waache wajaribu," alisema kwa sauti. Kiongozi huyo wa Urusi pia alidai kuwa upande wake ulikuwa umeanza...
  6. EINSTEIN112

    Putin loyalist demands Russia takes back Alaska from US

    Putin loyalist demands Russia takes back Alaska from US The threats are in response to calls for Western nations to sell Russian assets (Picture: Getty Images/EPA) Vladimir Putin’s loyalists have set their sights on Alaska, making threats to grab the territory back from America. The threats...
  7. EINSTEIN112

    Baada ya Urusi kuikomboa Luhansk, kituo kinachofuata ni Donetsk?

    Baada ya vikosi vya jeshi la Urusi kufanikiwa kuikomboa Luhansk kutoka mikononi mwa jeshi la Ukraine; taarifa zilizopo zinaeleza kwamba vikosi vya Urusi vimeanza kuielekea Donetsk na gavana wa eneo hilo ameomba raia waondolewe haraka ili kuacha uwanja wazi kwa vikosi vya Ukraine kuweza...
  8. EINSTEIN112

    Vladimir Putin has staged drills with his road-launched Yars nuclear missiles in a forest in western Siberia

    Their 7,500-mile range means they are capable of striking the UK or anywhere in Europe. The tests come amid high tension with the West over the war in Ukraine, and against the backdrop of near-daily threats by Putin’s propagandists to deploy atomic weapons. In a statement, the Russian defence...
  9. Gama

    BBC: Putin hakutarajia haya yatafanyika alipoivamia Ukraine

    Putin hakutarajia haya yatafanyika alipoivamia Ukraine CHANZO CHA PICHA, REUTERS Tarehe 24 Februari 2022, Urusi iliivamia Ukraine katika hatua iliyozidisha mzozo wake nan chi hiyo Jirani tangu kuanza kwa usahama mwaka wa 2014 Uvamizi huo ulisababisha mzozo mkubwa zaidi wa wakimbizi barani...
  10. MANKA MUSA

    Vijana waliopo Tanzania wanashangilia ubabe wa Putin

    Kijana mmeba box nikipata nafasi ya kupumzika huwa napitia sana mitandaoni si unajua huku hauli bila kazi, kilichonishangaza ni update za Vijana waliopo Tanzania wakishangilia ubabe wa Putin na story kuhusu uharibifu wa Putini. Nikajiuliza Vijana hawa wanafahamu balaa lililopo mbele Yao hawa...
  11. EINSTEIN112

    Waziri wa Ulinzi amjulisha Rais Putin kuhusu hasara za hivi punde za Ukraine

    Katika muda wa wiki mbili tu, Ukraine imepoteza karibu wanajeshi 5,500, wakiwemo zaidi ya 2,000 waliouawa, Waziri wa Ulinzi wa Urusi Sergey Shoigu alisema Jumatatu alipokuwa akitoa taarifa kuhusu mzozo kati ya Ukraine kwa Rais Vladimir Putin. Waziri alitoa ripoti yake ya pili kwa kiongozi wa...
  12. kavulata

    Putin asaidiwe kuikomboa dunia dhidi ya nchi chache za Magharibi

    Hakuna ubishi kuwa nchi za Magharibi zimejengwa kwa rasilimali kutoka mataifa mengine na watumwa. Mahitaji yaliyosababisha nchi za magharibi kutafuta makoloni na watumwa hayajakwisha hata kidogo, ile kiu ya kuzitawala nchi nyingine bado wanayo, na iko siku moja (sio mbali) watatumia NATO...
  13. MK254

    "Oligarch" mndani sana wa Putin awa wa kwanza kujitoa mhanga kwa kumkosoa Putin

    Asema anguko la kiuchumi la Urusi halivumiliki. Na kamba hivi vita havina mshindi. ======== Oleg Deripaska criticizes Russia's actions The important Russian oligarch Oleg Deripaska has made some striking comments about the war in Ukraine. Putin's favorite billionaire said that there would be...
  14. MakinikiA

    Putin awajibu maadui zake kuhusu yeye kupiga picha kifua wazi

    Salama wandugu kwa kweli adui akiwa na chuki na mtu hachoki fitina Sasa viongozi wa magharibi baada ya kuishiwa hoja wamsema vibaya Raisi Putin tabia ya kupiga picha kifua wazi na yeye Putin awajibu kwamba wao hawana umbile la kuacha kifua wazi kwani wamevimbiana ovyo ovyo kwa ajili ya mapombe...
  15. EINSTEIN112

    Putin awajibu G7 kibabe

    The Russian president was asked about jokes made at his expense earlier this week, when Boris Johnson joked: ‘Shall we take our clothes off? We have to show we’re tougher than Putin.’ Canada’s Justin Trudeau then cited the dictator’s topless photos, saying, ‘We’re going to get the bare-chested...
  16. beth

    Putin: Urusi itajibu miundombinu ya NATO ikipelekwa Finland na Sweden

    Rais Vladimir Putin amesema Urusi itajibu ikiwa NATO itapeleka Vikosi na Miundombinu katika Mataifa ya Sweden na Finland baada ya kujiunga na Muungano huo Ameeleza, Nchi yake haina shida kama Sweden na Finland zinataka kujiunga NATO, Mataifa hayo lazima yaelewe kwamba hakukuwa na tishio awali...
  17. EINSTEIN112

    Boris Johnson ajibu vijembe vya mtangazaji wa TV Russia kwa kusema "kama Putin angekuwa mwanamke vita isingetokea

    The war in Ukraine would never have happened if Vladimir Putin was a woman, Boris Johnson has claimed. The prime minister says the onslaught is a ‘perfect example of toxic masculinity’ and has called for more females to be given top roles. His remarks follow one of the Kremlin’s top...
  18. Narumu kwetu

    Usiyoyajua au unayajua kuhusu Vladimir Putin na Volodymyr Zelenskyy

    E bwana huyu mwamba Putin amezaliwa mwaka 1952 , kwa sasa ana takriban miaka 70 , huyu mwamba alizaliwa kwenye familia duni sana ,yeye akiwa wa tatu kwenye familia yake kaka zake wawili waliomtangulia mmoja alikufa kwa njaa, na mwingine kwa kipindupindu Huyu mwamba mama yake alikuwa anafanya...
  19. JanguKamaJangu

    Rais Putin kufanya ziara ya nje ya Urusi kwa mara ya kwanza tangu kuanza kwa vita

    Rais wa Urusi, Vladimir Putin anatarajiwa kufanya ziara katika nchi mbili ndogo za wiki hii, hiyo inatarajiwa kuwa ziara ya kwanza ya kiongozi huyo tangu kuibuka kwa vita ya Urusi dhidi ya Ukraine, Februari 24, 2022. Ziara hiyo inatarajiwa kuwa katika mataifa ya Tajikistan na Turkmenistan kisha...
  20. MakinikiA

    Rais Biden wa Marekani adondoka akiendesha baiskeli, anamuiga Rais Putin

    Huyu ni Biden alidondoka akiwa anaendesha baiskeli Huyu ni jemedari Putin akiendesha farasi
Back
Top Bottom