Rafiki (Swahili for 'friend') is a 2018 Kenyan drama film directed by Wanuri Kahiu. Rafiki is the story of romance that grows between two young women, Kena and Ziki, amidst family and political pressures around LGBT rights in Kenya. The film had its international premiere in the Un Certain Regard section at the 2018 Cannes Film Festival; it was the first Kenyan film to be screened at the festival.
Hivi TANESCO ndio tumekubali kuna shida lakini mkikata umeme saa 8.00 am mkarudisha 5.00 pm. Mnaona wananchi watafaidi sana.
Kwa nini mkate saa 6.00 am watu wanajianda kwenda makazini na shuleni.
Waoneeni huruma Wananchi ata kama ni upigaji sio kutesa wengine.
Habari?
Mimi ni baba wa watoto 2 na mke mmoja.
Jumla home kwangu sasa tuko watu 7, wakubwa hasa ni Mimi na wife tu wengine ni watoto wadogo wa primary na kindergarten na wengine ni wadogo zaidi.
Ratiba yangu ni kazini- nyumbani, nyumbani- kazini. Ila muda mwingi niko nyumbani. Napiga stori na...
Mzuka Wanajamvi,
Huyu Mghana tulikuwa tunabeba naye boksi pamoja. Akaomba mkopo benki akapewa kama/equivalent dollar za marekani elfu 40.
Hela ilivyoingia benki yani ilikuwa fujo. Kesho yake hakwenda kazini na kuacha kazi hata bila kutoa taarifa.
Akaniita tupige pombe. Nakunitambia hela na...
Hii ni nature na hakika,
Usijaribu kujionyesha kuwa u mwema au u mtoto wa mjini kwa kumuunganishia mtu wa karibu nafasi ya kazi kazini kwako.
Mtavurugana mpaka mchanganyikiwe.
Hii nimeiona kazini kwa watu kadhaa nami yalitaka yanitokee sema nikapanchi.
Mtafutie kazi ndugu au rafiki katika...
Nakumbuka kuna kipindi hapo miaka si mingi iliyopita watu wengi walikuwa wanaisifia China ndio rafiki wa dhati wa nchi za Africa.
Mara ikawa kimya hasifiwi tena, ningependa kujua nini kilisababisha
Habari zenu waungwana,
Katika ulimwengu wa sasa ni nadra sana kupata rafiki wa kweli ambaye unaweza kumuamini,
Nakumbuka miaka kadhaa nyuma niliwahi kuwa na rafiki, huyu alikuwa ni zaidi ya ndugu, tulielewana sana.
Tulishirikiana kwa kila jambo, Popote alipo nami nilikuwepo, jamaa alikuwa...
" Siasa ni sayansi ya sanaa na huenendana na nyakati. Ndiyo maana kwenye siasa hakuna adui wa kudumu na rafiki wa kudumu vilevile.
" Magufuli pamoja na mabaya yake lakini hakuwa mwizi na mgawa rasimali zetu kama Mkapa, Kikwete na huyu mwizi wa sasa.
" Magufuli kamwe asingekubali kuuza bandari...
Na mwingine anasaidia sana rafiki zake na jamaa zake wanapopata anguko la uchumi, lakini likija upande wake hawamsaidii, akikwama anakwama kwelikweli.
Katika uislamu tumefundishwa kwamba mkopeshaji ''mwenye kukopesha'' anathawabu nyingi kulikoni mwenye kutoa sadaka. Yaani wewe kama 'Umemkopesha...
Ni suala la muda tu, mahangaiko yatarejea tena kama ilivyokuwa hapo jana kwa mwamba. Mbinu na mitego yote ipasayo kumnasa, i mikononi mwao na inangojea mtegwa anase.
Chiba juzi asingenasuliwa na kusepa kule Ulaya, leo hii angekuwa stendi ya Keko. Ana bahati yule mtu!
Maadui hawapendezwi na...
Habarini za jioni wakuu..
Bila shaka mko na weekend nzuri kabisa,
Kwangu mimi weekend ni mbaya nimekaa leo nikamkumbuka huyu kaka, alikuwa rafiki yangu sana tukaja kupotezana, sijui ntampata wapi namba aliyokuwa anatumia sasa inatumika na mtu mwingine na hata hamjui😥, mitandao ya kijamii yake...
Miaka ya hapo zamani niliwahi kuwa urafiki wa kawaida na jamaa fulani aliehamia mtaani kwetu, mara kadhaa tulikuwa tunatembeleana kujuliana hali.
Kumbe hapa mama na dada yangu wakawa wanampa madebe ya mchele na maharage mara kwa mara, wao walidhani wanasaidia urafiki wetu, haya yalifanyika...
Kwakweli hiki kitu kiliniuma sana, nilimuazma geto rafik yangu ili AZAGAMUE, nyie acheni tu, nilijifunza kuanzia siku iyo mpaka leo chumba changu ni Madhahu, Takatifu siwezi kuazima mtu.
Niliwahi kumuazima rafiki Geto, saa 12 jioni alinirudishia funguo mwenyewe, narudi saa mbili geto namkuta...
Namtafuta rafiki yangu wa siku nyingi mr Twalal Bungera, mara ya mwisho kuonana ilikuwa mwaka 2014 tukiwa Tamil Nadu nchini India.
Mr Twalal Bungera nilipata tetesi alipata ajira kwenye makampuni ya IPP ya marehemu Reginald Mengi.
Kwa yeyote mwenye taarifa zake anicheki pm
Nilianza maisha kwa kutegemea mishahara ya ajira serikalini ila nashukuru nikaweza kujiongeza nifanye na biashara, huku kwenye biashara kwakweli huwa nakutana na watu wengi zaidi.
Sasa katika watu nilioweza kuwajua ni mfanya biashara flani ni mteja wa mara tulizoeana zaidi kupiga story huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.