rafiki

Rafiki (Swahili for 'friend') is a 2018 Kenyan drama film directed by Wanuri Kahiu. Rafiki is the story of romance that grows between two young women, Kena and Ziki, amidst family and political pressures around LGBT rights in Kenya. The film had its international premiere in the Un Certain Regard section at the 2018 Cannes Film Festival; it was the first Kenyan film to be screened at the festival.

View More On Wikipedia.org
  1. Bounty hunter

    My confession

    There's this girl, she's not my girlfriend but she holds a special place in my heart. It's both thrilling and terrifying to admit that she has captured my thoughts and emotions in a way no one else has before. Her radiant smile illuminated every room she entered, and her laughter was like music...
  2. willpower

    Harakati za Mapenzi zilivyompeleka jela rafiki yangu

    Wasalaam; hii ilitokea, Nakumbuka miaka ile, tukiwa tumehitimu kidato cha sita, mtaani kwetu tulikuwa vijana 6 ambao tulikuwa tumehitimu elimu ya sekondari. Miaka ile utaratibu wa kujiunga na elimu ya Chuo Kikuu ilikuwa unasubiri mwaka mzima nyumbani. Utamaliza kidato cha sita mwezi wa tano...
  3. Melki Wamatukio

    Nawaza namna ya kumkataa rafiki yangu ambaye muda wote anawaza mbususu tu

    Tuanze na mwanzilishi wa neno "mbususu" sijui aliwaza nini. Linafanania na mahala husika. Wanawake walitambue hili Twende kwenye hoja. Huyu rafiki hana cha maana cha ku-share na wenzie tofauti na ulaji wa mbususu Utaskia mara oh mama fulani nimemla, mara mtoto wa fulani ana mbususu yenye...
  4. Memtata

    Huu si unyanyapaa, nimesaidia rafiki zangu

    Habari wadau, Mimi binafsi nilishawahi kupata kashfa ya UKIMWI, nakumbuka ilikuwa wakati mgumu sana kwangu na niliishi kwa mateso, unyonge na hofu kubwa lakini leo hii kuna mmoja nimesema hadharani habari zake za maambukizi. Huyu dada niliwahi kuwa na mahusiano naye sasa kwakuwa mzunguko ni huu...
  5. F

    Bernard Membe ukiacha kuchukua stahiki yako kama Mahakama ilivyoagiza, wewe sio rafiki wa Watanzania!

    Ni haki yako! Ulitukanwa sana na ukadhalilishwa mno! Tafadhali timiza hukumu halali ya Mahakama na chukua fidia dhidi ya udhalimu uliotendewa na Cyprian Musiba. Kumbuka kuwa sio wewe peke yako ulidhalilishwa na Musiba, wewe ni muwakilishi tu, tupo wengi tulioshindwa kwenda mahakamani kumshtaki...
  6. Lycaon pictus

    Jinsi rafiki mhuni wa Malcom X "Sammy The Pimp" alivyokuwana anapata makahaba wa kuwauza.

    Nip kwenye kutafsiri kitabu cha Malcom X, jamaa maishani mwake kapitia uhuni mwingi sana. Pia alikuwa na marafiki wahuni balaa. mmoja wa rafiki yake huyu aliitwa Sammy The Pimp(Kuwadi Sammy). Hivi ndivyo alikuwa akipata makahaba wa kuwauza. Sammy alikuwa amempa mimba msichana mmoja huko kwao...
  7. Melki Wamatukio

    Blog ya namna hii inaweza patikana kwa gharama rafiki?

    Ni kwa ajili ya kazi zangu za kisanaa (muziki) Visitor anapoingia kwenye site akutane na song list from recent released. Anapobofya muziki x, aletewe selection za (i) Play Audio, hapa nitahitaji huo muziki u play kwenye site. (ii)Play video, hapa nitahitaji visitor apelekwe kwenye You Tube...
  8. Ahmed Saidi

    Natafuta rafiki wa kike ambae naweza muoa hapo baadae

    Assalamu alaykum Wana jamiiforums Bila kupoteza muda, baada ya kupitia mengi katika maisha ya uhusiano sasa naona ni muda muafaka kwangu kurudi katika maisha ya kutafuta mke. Sifa. 1. Asiwe katika mahusiano 2. Dini: Awe muislamu, mchamungu, mwenye kuvaa hijab ya kisheria na mfanya ibada. 3...
  9. Faana

    Hivi mtu mwenye akili timamu bado atasema tusiue nyoka Kwakuwa ni rafiki wa binadamu?

    Kwa hali kama hii, ameshindwa kuishi vichakani mbali huko, kaja mjini na kufanya uharibifu wa kuua kuku, kula mayai na kuua vifaranga! Bado mtu mwenye akili timamu, anajiita msomi wa wanyama pori anawatetea nyoka na kusema ni rafiki zetu tusiwaue.
  10. NetMaster

    Nilienda kanisa fulani leo kumsindikiza rafiki, mavazi ya mabinti kadhaa yamenishangaza. Kwao wanajidanganya Mungu anaangalia roho si mavazi

    Leo siku ya pasaka nilimuahidi rafiki kwamba nitampa kampani kwenda kanisani kwao (ni kanisa mojawapo marufu duniani) lakini pia nami niweze kujionea shghuli zinazofanyika katika siku hii pamoja na kusikiliza maneno takatifu. misa ikiwa inaendelea ndani binti aliingia kwenda kukaa siti ya...
  11. Manyanza

    Kwako rafiki yangu na Dada yangu

    Kwako Dada yangu na rafiki yangu humu JF especialy jukwaa letu pendwa la MMU. Nimeamua kukuandikia huu ujumbe jukwaani badala ya kukutumia PM.. Rafiki yangu nilichokigundua ni kwamba unataka kupendwa, ndiyo maana moyo wako ni rahisi kupenda. Watu wengi huwa wanalipenda tu wazo la kupenda na...
  12. Masalia Mpya

    Natafuta rafiki wa kiume

    Niaje katika jukwaa hili… Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 39, natafuta rafiki wa kiume mwenye umri wa miaka 40-50 tu. Vigezo: Awe single (Mgane/ Mtalaka) Awe Mkristo (Msabato atapewa kipaumbele) Lengo la vigezo, sitaki mume wa mtu maana sitakuwa huru naye. Pia nahitaji Mkristo maana...
  13. Makonde plateu

    Nimemla shemeji mke wa kaka yangu baada ya kaka kwenda London

    Nilimuambia brother huyu mke wako nitamla ILa brother alikuwa mbishi na kiburi kwa sababu anasema mke ni mwaminifu nikasema bwana mke wako mbona ananitega? Kwasababu akienda bafuni anaenda na kanga moko halafu anitingishia matakro ila sijajua kwanini ananitega kwasbabu mimi nina akili au nini...
  14. Equation x

    Nilivyomtamani rafiki wa mpenzi wangu, na kuambulia 'block'

    Siku moja, nimejichokea zangu mida ya saa nne usiku, nikaamua niende 'club' nikapate 'vibe' la kule ili niweze kuondoa 'stress' za maisha. Muhudumu akaniletea bia zangu tano za kuanzia, nikazinyonya zote zikaisha; akaniongeza tena zingine. Baada ya kufika ya nane, akili ikahama, nikajiuliza kwa...
  15. Mtu Asiyejulikana

    Kisa cha Rafiki yangu Kutajirika na Kufariki kinahuzunisha

    Jamaa tulimaliza naye shule mwaka 1996 form four. Mimi nikaendelea na masomo na kufanikiwa kumaliza chuo. Nlikuja kutana nate tena mwaka 2003 akiwa anahangaika na maisha kwa kufanya biashara ndogo ndogo. Aliendelea nazo mpaka mwaka 2019 ambapo maisha yake yalibadilika sana. Akaja kuwa na pesa...
  16. stewie

    Bidhaa tofauti za watoto zinauzwa kwa bei rafiki

    🔹Audio Card readers za watoto -: Hizi unachomeka kadi yenye pande mbili kisha inatamka hilo neno la kiingereza na pia hutoa milio ya wanyama, ndege nk -: Ina maneno zaidi ya 200 na inakaa na chaji na inakuja na usb yake ya kuchajia pia ina nyimbo ya alphabets Bei 28,000 Tsh 🔹Bidhaa ya pili ni...
  17. LA7

    Je tatizo hili ni facebook yangu?

    Yaani huko juu namba chochote wala sehemu ya kusearch au kuona ujumbe hakuna.
  18. LA7

    Nimepata rafiki wa kizungu nianze na shida gani kumweleza anisaidie

    Nimepata rafiki wa kizungu nianze na shida gani kumweleza
  19. ASIWAJU

    Rafiki ni nani?

    Nipende kuwakaribisha wadau wote kwa maswali yangu haya mafupi yenye kuhitaji majawabu, maelezo na mifano halisia toka kwenu. MASWALI: 1. Rafiki ni mtu gani au nini maana ya rafiki? 2. Kivipi unaweza kumtambua huyu mtu kuwa ni rafiki? KARIBUNI
  20. Infinite_Kiumeni

    Kwanini usikubali kukutana na rafiki zake wakati bado unamtongoza

    Ni muhimu kujua mapema kama mwanamke anakutaka au la. Utalijua hilo kutokana na tabia anazoonesha kuashiria amevutiwa na wewe au la. Kupata namba yake ni jambo la kawaida, lakini sio kiashiria kuwa mwanamke ndo amekukubali. Unapoongea naye kazi yako ni kumpima je amevutiwa na wewe kiasi gani...
Back
Top Bottom