Na: SHAABAN ROBERT (1909-1962)
1.Ujana kitu kitamu, tena ni azizi sana,
Maungoni mwangu humu, nilikuwa nao jana,
Kwa wingi katika damu, tahamaki leo sina,
Nasikitika hadumu, rafiki yangu ujana
2. Kichwa kimejaa mvi,kinywani meno hamna,
Nikenda kama mlevi, miguu nguvu haina,
Kumbe ujana ni...