rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. T

    Pre GE2025 Wasomi wanaomsifia Rais Samia wasema wanachukizwa kuitwa chawa, wasema wao ni watu wenye akili timamu

    Wakuu, wasomi wanaomsifia mama naona wameumia bhana kuitwa chawa wanasema wao wana akili zao timamu na hawafanyi kwa mihemko. Katibu wa vijana na uhamasishaji wa taasisi ya Samia for Us, Gerald Mandago ambaye pia ni Msomi wa chuo kikuu akiambatana na wanafunzi wa vyuo mbalimbali amesema...
  2. Roving Journalist

    Rais Samia azindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014, Toleo La 2023, Dodoma

    https://www.youtube.com/watch?v=gVEY5kDgETg Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua mabanda ya maonesho kuhusu masuala mbalimbali ya Elimu kabla ya kuzindua Sera ya Elimu na Mafunzo kwa mwaka 2014, toleo la 2023 katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete...
  3. L

    Kinachomsumbua Luhaga Mpina ni ukabila na chuki binafsi kwa Rais Samia

    Ndugu zangu Watanzania, Msishangae Kwanini Luhaga Mpina Amekuwa akitoa taarifa za uzushi,uongo na uchonganishi mara kwa mara. Nyote ni mashahidi wa namna ambavyo amekuwa akitoa taarifa kuonyesha kana kwamba hakuna kilichofanyika awamu hii pamoja na kutoa maneno yenye kutaka kuleta na kujenga...
  4. Mindyou

    Rais Samia akishiriki mkutano wa dharura wa wakuu wa nchi na serikali wa SADC nchini Zimbabwe

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akishiriki Mkutanon wa Dharura wa wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC Harare Nchini Zimbabwe, leo tarehe 31 Januari, 2025 https://www.youtube.com/live/selwjXLEMCQ?si=VsaQ5QjvugXCzmL3
  5. Chifu mkuu

    Pre GE2025 Wamasai Monduli wampongeza Rais Samia kupitishwa na Chama, Wapinga madai ya fidia ya eneo la mazoezi ya Kijeshi

    Viongozi wa jamii wa kimasai Malaigwanani Zaidi ya sabini katika wilaya ya Monduli Mkoani Arusha wametoka tamko la kukipongeza chama cha Mapinduzi CCM kwa kumpitisha Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea urais mwaka 2025, Dkt Balozi Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza Pamoja na kumpata...
  6. M

    Rais Samia, Umoja wa wanawake wa CCM na Jumuiya ya wazazi mnapata wapi nguvu ya kufumbia macho kauli ya Chalamila?

    Kwa kweli inashangaza jinsi CCM ilivyogeuka na kuwa chama kisichojali habari za wananchi. Inashangaza nchi hii ina Rais mwanamke, ina Umoja wa wanawake Tanzania (UWT) ina jumuia ya wazazi lakini leo hii wote hao wanashindwa kutoa kauli kukemea kauli ya kifedhuli, ya kibaradhuli na ya kibri...
  7. The Watchman

    Pre GE2025 Baraza la madiwani katika Halmashauri ya Kibaha mji lampongeza Rais Samia kuteuliwa na mkutano mkuu CCM, kuwa Mgombea Urais

    Baraza la madiwani katika Halmashauri ya Kibaha mji limetoa tamko na kuazimia rasmi kwa pamoja kumpongeza Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuweza kuridhia maombi na kuweza kuipandisha hadhi Halmashauri hiyo kuwa Manispaa pamoja kuteuliwa na mkutano mkuu maalumu kuwa mgombea wa...
  8. Waufukweni

    Rais Samia kuelekea Zimbabwe kushiriki Mkutano wa dharura wa SADC kujadili Usalama DRC

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kusafiri kuelekea Harare, Zimbabwe kesho tarehe 31 Januari, 2025 kwa ziara ya kikazi ya siku moja. Akiwa nchini...
  9. Damaso

    Kauli ya Olutu inakinzana na kauli ya Rais Samia

    Gharama ya kuungiwa umeme kwa wakazi wa vijijini ni shilingi elfu 27 tu (27,000). Lakini kwa wakazi wanaoishi mjini gharama yake ni Laki tatu na arobaini na moja elfu (341,000)- Mh. Jones Olutu, Mkurugenzi wa Umeme Vijijini. Samia alikwisha kutuambia kuwa hakuna umeme wa alfu 27 hapa Tanzania...
  10. Ojuolegbha

    Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Masafa Marefu Tanzania, Hassan Dede amemshukuru Rais Samia kufanikisha kuwaokoa Madereva 43

    Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa masafa marefu Tanzania, Hassan Dede amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kufanikisha kuwaokoa Madereva 43 waliokuwa wamekwama katika Mji wa Goma Nchini D.R Congo Inaelezwa kuwa mpango wa kuwarejesha nchini madereva hao umeshafanyika na wanatarajiwa...
  11. Cute Wife

    Rais Samia: Wafanyabiashara mlichoma moto Soko Kariakoo sababu nilizisema changamoto za uongozi uliokuwepo

    Wakuu, Alaaaah, kumbe wafanyabiashara walichoma soko la Kariakoo wenyewe? Hii ndio sababu hatujui ndani ya kilichokuwemo kwenye ripoti rya tukio la moto ule? ====== Moja ya mambo aliyosema mwenyekiti wa kariakoo katika risala yake ni kuhusu ziara ya Samia Kariakoo, ambako alisema Rais Samia...
  12. Waufukweni

    Rais Samia: Asiyejua anasema Serikali inakopa tu, kwani tunakopa kununua sare za harusi?

    Rais Samia amedai Wafanyabiashara wadogo na wakati wengi wao wanakimbia ulipaji kodi hali inayosababisha kuingia kwenye mikopo na "Asiyejua anasema Serikali inakopa tu, kwani tunakopa kununua sare za harusi?" Soma, Pia: Luhaga Mpina: Taifa limebakiza 4.6% tu kufikia Ukomo elekezi wa Deni la...
  13. Waufukweni

    Rais Samia aagiza Waziri wa Biashara kudhibiti Wageni kufanya biashara za Machinga, ahoji vijana wetu watafanya kazi gani?

    Rais Samia, amesema haiwezekani wageni kuingia nchini na kufanya biashara za machinga, huku akieleza kuwa vijana wetu (Kitanzania) watafanya nini? na kuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo kuhakikisha suala hilo linasimamiwa ipasavyo ili kulinda fursa za ajira kwa wananchi wa...
  14. Waufukweni

    Rais Samia: Serikali kujenga Soko kubwa kama la Kariakoo eneo la Jangwani

    Rais Samia amesema Serikali imejipanga kujenga Soko kubwa kama la Kariakoo eneo la Jangwani kupitia pesa za utekelezaji wa mradi ya DMDP ambapo baadhi ya wafanyabiashara (Machinga) watahamishiwa huko pindi litakapokamili. Soma: Ninachokijua kuhusu Miradi ya DMDP na Ujenzi wa Miundombinu Mkoani...
  15. Mindyou

    Pre GE2025 Rais Samia anakula na waokoaji lakini ripoti ya kuporomoka jengo la Kariakoo iko wapi? Ni kama ripoti ya kuungua soko la Kariakoo

    Wakuu, Kuna namna viongozi wetu wanatuchukulia sisi ni wasahaulifu au hatutilii maanani yale maneno ambayo wanayasema. Wanatuchukuliaje? Baada ya jengo la kariakoo kuanguka tuliambiwa kuna tume inaundwa chini ya usimamizi wa Majaliwa ili kujua kinagaubaga cha jengo hilo kuporomoka, lakini...
  16. Roving Journalist

    Rais Samia: Jengo la Kariakoo kulikuwa na mchanga mwingi kuliko nondo na saruji

    Rais Samia kushiriki chakula cha mchana na walioshiriki zoezi la uokoaji kuporomoka kwa jengo la ghorofa Kariakoo leo Januari 30, 2025. https://www.youtube.com/live/LgA_7LztiWs?si=pYPP89J1A45x_7MG Kuhusu tukio la ghorofa kuporomoka soma hapa: Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu...
  17. B

    Upendo toka Manyara: Sherehe ya Kumbukizi Kuzaliwa Rais Samia Suluhu

    Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Cuthbert Sendiga akikata keki ikiwa ni ishara ya kumbukizi ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan iliyofanyika Kiteto, Manyara. Sambamba na hilo wakazi wa Mji wa Kibaya walijitokeza kwa wingi katika upandaji wa Miti 500...
  18. Lord denning

    Kagame awatuhumu SADC na Ramaphosa kuwaunga mkono Congo. Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama SADC ni Rais Samia!

    Kagame kweli kajaa kiburi! Kwenye kurasa zake za Mitandao ya Kijamii amerusha Video akiongea kuhusu Mgogoro wa Congo jana kwenye kikao chake na Wakuu wa EAC Kamgombeza kama mtoto mdogo Rais wa Afrika Kusini kuhusu majeshi yake yanavyoisaidia Congo. Kawananga SADC ambayo mwenyekiti wa Kamati...
  19. B

    Rais Samia Mkutano umeisha, sasa ni muda wa kumshughulikia RC Chalamila

    Bashir Yakub, WAKILI. +255714047241. Mama wakati uko bize kujiandaa na mkutano wa Nishati Chalamila amemdihaki na kumdharau mwanamke wa Tanzania. Mama wewe ni mwanamke, ulipata mimba, ulipata uchungu, na kisha uliingia Lab kujifungua. Unajua vizuri kadhia wakati wa mchakato huu . Fikiria upo...
  20. Carlos The Jackal

    Hivi Rais Samia kwenye harakati zake za siasa ndani ya chama aliwahi kuwa na ndoto ya kugombea Urais?

    Kama hakuwahi maana yake Urais huu ni matokeo ya Mwenyezi Mungu, kwamba Iliamuliwa aipitishe Nchi Kwa kipindi fulani, na hii pengine ilichagizwa na Upole, Unyenyekevu, Uanaharakati wake kuhusu Wanawake, nafasi alizowahi kushika kama Mwanamke. Kwa Lugha nyepesi, miaka kumi ya kuwa katika Ofisi...
Back
Top Bottom