Hutokea Dunia nzima, CIA huweka maraisi kwa ajili ya magendo yao na pia humuondoa baada ya kukamilisha na kutomuhitaji tena, mara nyingi CIA hufanya magendo ya drugs, kutakatisha fedha mpaka uchukuaji wa rasilimali kama gold, rare earth minerals n.k.
Mfano Mobutu, Savimbi, Gadafi, Museveni...