risasi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dr. Mwigulu Nchemba

    Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

    Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri. Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
  2. FRANC THE GREAT

    Thailand: Idadi 'kubwa' ya watu wauawa kwa kufyatuliwa risasi na mwanajeshi

    Mwanajeshi mmoja nchini Thailand amewashambulia kwa kuwafyatulia risasi watu kadhaa na kuua idadi "kubwa" ya watu. Tukio hilo limetokea katika mji wa Nakhon Ratchasima pia ukijulikana kama Korat kaskazini mashariki mwa jiji la Bangkok. Msemaji wa wizara ya ulinzi nchini humo amesema kuwa...
  3. venchwa

    Wanawake mlioolewa tuwekeni wazi tunapowatongoza. Riziki ulinifanya kukoswakoswa na risasi kwakuwa ulinidanganya uko single

    Nilikosa kosa risasi kisa mke wa mtu. Namkumbuka na picha yake ninazo. Sasa kuna mtandao mmoja unaitwa mygamma.com nilipata msichana mmoja anaitwa Riziki, nikamdanganya nasoma IFM Kumbe nilikuwa form six shule moja maarufu hapo Tanzania. Tukawa marafiki sasa akaanza kuuliza kwamba we ni kabila...
  4. Bujibuji Simba Nyamaume

    Aliyepigwa risasi ya Jerry Muro atoboa siri

    YADHIHIRIKA MURO ANATEMBEA NA KIFO MKONONI, ALAZIMIKA KUISHI MAFICHONI Yule Daktari aliyepigwa risasi iliyomkosa mtangazaji wa habari za uchunguzi wa Shirika la Utangazaji la Tanzania (TBC1) Jerry Muro, Dk. Paul Andrew ametoboa siri kwa kusema kuwa kitendo chake cha kujeruhiwa mguuni kwa risasi...
Back
Top Bottom