russia

  1. I

    Russia could go to war with the USA any day now. What are your thoughts on this?

    Russia could go to war with the USA any day now. What are your thoughts on this? I truly hope not as the war wouldn’t be fought in US but in Europe. But there is something that our American allies don’t really understand. Russia can’t be changed overnight with war or with the threat of war...
  2. EINSTEIN112

    VITA YA UKRAINE: Urusi yazingira kitovu cha viwanda

    Kramatorsk. Vikosi vya Russia vinavyohusika katika mapigano makali mashariki mwa Ukraine vimeuteka mji wa kimkakati wa Lyman na kuzingira kituo kikuu cha viwanda, Moscow imedai. Hata hivyo Ofisa wa Ukraine amekanusha kuwa mji wa Severodonetsk ambao ni kitovu cha mapigano makali ya wiki...
  3. Mathanzua

    Russia Develops New Test to Detect “MonkeyPox Virus” Then Creates the Vaccine for MonkeyPox in Less Than 30 Days

    Back in August of 2020, Russia shocked the world by announcing that they had developed the world’s first vaccine for the “new” coronavirus, seemingly taking delight in the fact that they beat the Americans to the market. It was named “Sputnik V,” reminding the Americans that they were the first...
  4. I

    Vladimir Putin today declared that Russia will 'conduct a lightning strike' against countries supporting Ukraine with 'means and tools'

    Yeah, yeah, we’ve heard that before. 1944, the alleged “Wunderwaffen” of the Nazis. Didn’t work then, won’t work now. It’s propaganda directed at the Russian population, drawing attention away from the war that’s not going as planned. The worst he can do, short of annihilating the world, is...
  5. Huk Luk

    Mwandishi wa Habari wa Kiitaliano, Angelo d'Orsi adai Mgogoro wa Ukraine ni Vita kati ya NATO dhidi ya Urusi

    "Anyway, this is a NATO war against Russia..." ameyasema hayo mwanahabari na mwanahistoria Angelo D'Orsi kuhusu mgogoro unaoendelea Ukraine. Akizungumza na Italian TV, mwandishi huyo pia alikosoa vikwazo vya Magharibi dhidi ya Urusi, ambavyo vinaikumba Ulaya yenyewe. Pia alihoji "the fact"...
  6. S

    Ukraine yalalamika Russia kutumia makombora hatari ya thermobaric rockets, wachambuzi wa silaha wa USA wasema huo ni 'ukatili'

    Ukraine inalalamika kuwa Russia inatumia silaha nzito mno, TOS-1A Thermostatic Rockets (vacuum bombs), ktk mapigano huko Donetsk. Kwa mujibu wa Marekani, silaha hizo ni special kwa kuangamiza ngome za kijeshi zilizo kwenye mahandaki chini ya ardhi na maadui waliojificha kwenye bunkers. Silaha...
  7. S

    Urusi yakamata shehena ya drones za Marekani, American Kamikaze drones switchblade: "Tutazitumia kuangamiza magarivita na vifaru vya Ukraine"

    Majeshi ya Russia yamekamata shehena ya droni za Marekani (American Kamikaze drones switchblade) zilizopelekwa na Marekani kuisaidia Ukraine. Russia imetoa picha za drones hizo, mzigo ukiwa mpyaa toka kwenye mabosi yake, na imesema ndugu watazamaji tutegemee kuona video motomoto hivi karibuni...
  8. L

    Putin asema nchi za Magharibi zikiondoa vikwazo Urusi itauza nje chakula na mbolea

    Rais Putin jana alisema Urusi inapanga kuuza nje chakula na mbolea ili kutoa mchango katika kukabiliana na msukosuko wa chakula duniani, lakini sharti lake ni kuwa nchi za magharibi zitaondoa vikwazo vilivyowekwa kutokana na madhumuni ya kisiasa. Habari kutoka tovuti ya Ikulu ya Urusi imesema...
  9. S

    Marekani yaripoti kuwa jumla ya wanajeshi/wapiganaji 8000 wa Ukraine wamekamatwa mateka na kushikiliwa na majeshi ya Urusi

    Habari ndiyo hiyo, Marekani inaripoti kuwa jumla ya wanajeshi/wapiganaji 8,000 wa Ukraine wanashikiliwa na majeshi ya Russia kama wafungwa wa kivita katika jamuhuri za watu wa Luhansk na Donetsk. Dah, yani pamoja na kupigwa tafu ya misaada ya silaha toka nchi za Marekani na shoga zake NATO/EU...
  10. DENG XIAOPING

    Ndege za kivita za China na Urusi zafanya mazoezi ya pamoja

    -Ndege za kivita za china na urusi zilifanya mazoezi ya pamoja katika bahari ya Japan na bahari ya china mashariki siku ya jumanne ya tarehe 24 May 2022 wakati viongozi wa “Quad”walipokutana Tokyo, waziri wa ulinzi wa Japan alisema. - Nobuo kishi alisema Tokyo imeeleza “wasiwasi mkubwa” kwa...
  11. S

    Russia yalalamikiwa kutumia 'mobile games' kwenye smartphone kutambua sehemu zenye wanajeshi wa Ukraine na kisha kuzipelekea moto mkali

    Russia imetengeneza mobile application ya game kwenye smartphone ambayo watoto wa Ukraine wanaotaka kushiriki kucheza wanajisajili na kuingia kwenye kucheza game. Washiriki wa game hilo wanapewa maelekezo ya kuchagua boksi lenye zawadi ndani yake kisha zawadi utazokuta ndani yake unabadilishiwa...
  12. I

    If President Biden flew to Ukraine and stood on the front lines, would that deter Russia from attacking?

    No that would not help. The enemy understands that brandon is not the one calling the shots. Furthermore, he is compromised by his involvement many different criminal enterprises that the Russians and the Chinese, and God only knows who else has complete control of him. Why else would he have...
  13. A

    Marekani yafunga njia zote zilizokuwa zinatumiwa na Russia kwa kulipa madeni yake

    Baada ya Urusi kufungiwa njia zote ilizokuwa inatumia kulipa madeni yake na Marekani, wawekezaji watazidi kuikimbia Urusi. Urusi kwa sasa ni kama kisiwa, imetengwa na Mataifa yote yenye uchumi mkubwa duniani, hata China yupo naye kinafiki tu. Je, Moscow kujibu mapigo? ____________________...
  14. L

    Ofisa wa UM asema mapambano kati ya Ukraine na Russia yanaharibu utendaji wa uchumi wa Afrika

    Mjumbe wa Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP nchini Kenya Bw. Walid Badawi amesema, mapambano kati ya Ukraine na Russia yanaathiri vibaya utendaji wa uchumi wa Afrika. Bw. Badawi amesema, mgogoro huo umesababisha ongezeko kubwa la gharama ya bidhaa za msingi barani humo...
  15. S

    Russia imeikatia umeme Lithuania, mwaka huu nchi za EU lazima ziwashe makoroboi (vibatari)

    TANESCO (Russia) ya nchi kadhaa za Umoja wa Ulaya yaendelea kuzichachafya nchi za EU zilizozoea kupewa umeme wa dezoo. Safari hii TANESCO hiyo ya nchi kadhaa za EU imeamua kuikatia umeme Lithuania kutokana na linchi hilo kushindwa kulipia gharama za huduma ya umeme... Acha upepo uendelee...
  16. S

    Ujerumani na Italy zaifyata mikia yao, zafungua akaunti nyingi za Ruble kwa fujo ili kununua gesi ya Russia kwa wingi zaidi

    Baada ya kushupaza shingo kwa miezi kadhaa kuhusu kulipia gesi kwa sarafu ya Ruble, mwisho aa siku Ujerumani imetababahi kuwa haina msuli wowote wa kususia au kuacha kutumia gesi ya Russia. Ujerumani na shoga yake Italy wameona isiwe tabu, waendane na matakwa ya Putin wasije katiwa gesi...
  17. MakinikiA

    Finland tayari wamekatiwa gesi na umeme na Russia

    Kwa kitendo Chao cha kupeleka maombi kutaka kujiunga na nato ,mzee Putin amefunga koki za kupeleka gesi na tayari amewakatia umeme Sasa ngoma inogire raia wa finland
  18. Narumu kwetu

    Kweli Urusi haiwajaligi wanajeshi wake

    Ukraine imeomba wabadilishane wafungwa, maana pia Ukraine imewashikilia wanajeshi wengi wa Urusi, lakini Urusi wamegomea mpango huo wakidai lazima wawamalize wanazi. Sasa ni vip hatma ya wanajeshi wake ,huku tukishuhudia wakianza kusomewa mashtaka ya uhalifu wa kivita? Russia wanawajali kweli...
  19. S

    Video: Wanajeshi wa Ukraine zaidi ya 900 waliojificha Azovstal, Mariupol wajisalimisha kwa majeshi ya Russia

    Russia imesema wanajeshi wa Ukraine mia tisa na hamsini na tisa (959) waliokuwa wamejificha kwenye kiwanda cha chuma huko Azovstal, Mariupol wamesalimu amri hadi kufikia jana (juma nne). Kati ya hao 959, wnajeshi 80 walikuwa wamejeruhiwa na kati yao 51 walipelekwa hospitali iliyo chini ya...
  20. Narumu kwetu

    Tunataka tuone Russia akimpiga Finland na Sweden

    Zaidi ya mara moja Russia imekua ikitoa vitisho kwamba ,endapo Finland na Sweden wakijaribu kuchukua hatua za kujiunga na NATO atatembeza dozi,cha ajabu jamaa wameshaanza process za awali kabisa ambapo mchakato huu huchukua mwaka mzima kumalizika. Tumeshuhudia England ikiwekeana mkataba wa...
Back
Top Bottom