rwanda

  1. JanguKamaJangu

    Viongozi wa Afrika Mashariki kukutana leo kujadili mzozo wa DRC, Rwanda

    Viongozi 7 wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wanatarajiwa kukutana leo Juni 20, 2022 Jijini Nairobi, Kenya mada kuu ikiwa ni mgogoro unaoendelea kati ya DRC na Rwanda. Kumekuwa na mapigano makali yanayofufua uhasama wa miongo kadhaa kati ya mataifa hayo mawili, ambapo DRC inailaumu Rwanda...
  2. Suzy Elias

    Hatari! Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza Kagera, Geita na Kahama mkoani Shinyanga

    Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu! Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo. Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama...
  3. Alice Gisa

    Mwanajeshi Comando mmoja wa DRC aivamia Rwanda

    Mwanajeshi mmoja wa jeshi la DRC liitwalo FARDC ameivamia nchi ya Rwanda Leo trh 17.06.2022 alfajiri. Jamaa akiwa na bunduki aina ya AK 47 amaevamia post ya mpaka na kuingiza nchini Rwanda. Jamaa amewasambilia wanajeshi wa Rwanda na kuua watatu na kujeruhi wengine. Aidha Jeshi la Rwanda...
  4. Wimbo

    Rwanda na Burudi wanapashwa kufanya kitu Tanzania baada ya kuwaonesha wema wakati wa mauaji ya Kimbari

    Leo ni siku ninayokumbuka ndugu zetu na majirani zetu Wa Rwanda na Burundi walipopata jinamizi la mauaji ya kimbali, na wale waliobahatika kukimbilia Tanzania kwa idadi kubwa. Tuliwapokea na wengine tukawapa hifadhi kabla ya wote kuhamishiwa makambini, wale tuliowapokea walimuua Mama yangu...
  5. JanguKamaJangu

    Uingereza yasitisha safari za waomba hifadhi kupelekwa Rwanda

    Serikali ya Uingereza imesitisha mpango wa safari ya ndege iliyotakiwa kuwabeba waomba hifadhi kwenda Rwanda baada ya Mahakama ya Haki za Binaadamu ya Ulaya kusema mpango huo unaakisi athari zisizoweza kurekebishwa. Awali ilielezwa ndege hiyo ingeanza safari Juni 14, 2022 bila kujua idadi ya...
  6. Lady Whistledown

    Waasi wa M23 Wamedhibiti mji wa Bunagana uliopo Mpakani mwa DRC na Rwanda

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limeishutumu Rwanda kwa uvamizi baada ya waasi wa M23 kuuteka mji muhimu wa Bunagana uliopo mpakani mwa Rwanda na DRC, na hivyo kuashiria kuongezeka kwa hali ya wasiwasi kati ya nchi hizo jirani Mji wa Bunagana ulioko kaskazini mashariki mwa Goma, una...
  7. Gama

    Concerns Afghans fleeing Taliban could be on first Rwanda flight

    Hofu imetanda kuwa Wa Afghan waliokimbilia UK kwa kuukimbia utawala wa kiisalm wa TALIBAN ndi watakuwa mstari wa mbele kupelekwa Kigali. Hii inaweza kuashiria kuwa Uk inahofia uwepo wa watu hawa kwenye ardhi yake My take: EAC tujiandae kwa mabadiliko ya mikataba ya maingiliano FUATILIA HAPA...
  8. Lady Whistledown

    DRC Yaishutumu Rwanda kutuma vikosi vyake nchini humo

    Vikosi vya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) vimeishutumu Rwanda kwa kutuma vikosi maalum kwa kujificha katika ardhi ya nchi hiyo, huku mzozo unaoendelea baina ya nchi hizo ukichochea ghasia mashariki mwa nchi hiyo. Jeshi la DRC lilidai kuwa wanajeshi 500 waliovalia sare za...
  9. GENTAMYCINE

    Kwanini nchi ya Burundi inapenda sana 'Kujibebisha' kwa Tanzania tofauti na Rwanda inayopambana yenyewe Kimafanikio?

    Kwa mfano Burundi ina Uwanja wake wa Mpira tena mzuri tu kilichowafanya waihamishe hiyo Mechi ya kuwania kufuzu AFCON 2023 Ivory Coast kutoka Bujumbura Kwao kuja Kwetu Tanzania ni nini? Na ni kwanini kila Kitu Burundi ( hasa Serikali yao ) ikifanya au ikiamua tu ni lazima ama Waiige Tanzania au...
  10. kavulata

    Rwanda isimamishwe uwanachama wa EAC kwa kuivamia DRC

    Hakuna ubishi kuwa Rwanda inaisumbua DRC na kuiba Mali zake.
  11. BigTall

    Rwanda yasema iko tayari kulipiza kisasi dhidi ya DR Congo

    Rwanda imelaumu Jeshi la MONUSCO la Umoja wa Mataifa kwa ukimya wake wakati huu ambapo mgogoro wa taifa hilo dhidi ya DR Congo ukiendelea. Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda, Dkt. Vincent Biruta amesema hawatavumilia pindi wakishambulia na wapo tayari kulipa kisasi wakidai kuwa DRC walirusha...
  12. Lady Whistledown

    Wananchi DRC Waandamana kupinga Rwanda kuunga mkono kundi la waasi la M23

    Mamia ya watu wameingia katika mitaa ya mji mkuu wa Kongo, Kinshasa, kulaani madai ya Rwanda kuwaunga mkono waasi wa M23. Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika aonesha wasiwasi mkubwa kutokana na mvutano kati ya Rwanda na DRC. Mei 30, 2022, mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, Rais wa Senegal Macky Sall...
  13. JanguKamaJangu

    DRC yakubali kuwaachia Wanajeshi wawili wa Rwanda inaowashikilia

    Rais wa Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi amekubali kuwaachilia wanajeshi wawili wa Rwanda ambao nchi yake inawashikilia. Maamuzi hayo yamefikiwa baada ya Rais wa Angola Joao Lourenco kufanya mazungumzo na Rais Tshisekedi, jana Mei 31, 2022, baada ya hapo Lourenco...
  14. Nyendo

    DR Congo yaishutumu Rwanda kuisapoti M23 baada ya kutokea mashambulizi makali

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imeishutumu Rwanda kwa kukisaidia Kikundi cha M23 baada ya Jeshi la DR Congo kushambuliana na kikundi hicho katika mashambulizi makali Mashariki mwa Taifa hilo yaliyotokea Mei 26, 2022. Mashambulizi hayo yaliyotokea Kaskazini mwa Mji wa Kivu karibu na...
  15. Gama

    Wahamaji wanatakiwa kuhamishiwa Rwanda kutoka Uingereza waonesha wasiwasi

    Wazamiaji wanaotoka nchi mbalimbali na kukimbilia Uingereza wameonesha wasiwasi kuwa wanaenda kuishi katika mateso kwakuwa wanajua kuwa hakuna amani na demekrasia katika nchi ya Kagame Migrants say Rwanda deal won't stop them 7h ago © BBC Five weeks after the UK announced a deal with Rwanda...
  16. The Sheriff

    Ufafanuzi: The Royal Tour, filamu ya Rais Samia inayolenga kukuza utalii

    Rais Samia Suluhu Hassan akiwa katika moja ya ziara zake kurekodi The Royal Tour, 2021 Tumesikia na kuona Rais Samia akiwa katika kile kilichojulikana kama The Royal Tour, lakini huenda kuna baadhi yetu hatujaelewa ni kitu gani hiki. Wapo wanaodhani Rais kajitungia jina na kutafuta wapiga...
  17. Kishimbe wa Kishimbe

    Kumbe na Rwanda mchezo huu unapendwa!

    Kwetu jirani na mto Ngono, viunga vya Katerero, jirani na Kyetema swampland tunaita hako kamchezo 'KT technology'!
  18. Lady Whistledown

    Mashindano ya Miss Rwanda yahairishwa

    Shindano la urembo la Miss Rwanda limesitishwa baada ya mwandaaji wake Dieudonné Ishimwe kukamatwa mwishoni mwa mwezi Aprili kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono. - Ishimwe, 36, mwanamuziki wa zamani aliyefahamika pia kama Prince Kid, anakabiliwa na mashtaka ya ubakaji, kuomba au kutoa upendeleo...
  19. T

    Acheni kumlaumu Rais Samia. Mafuta yamepanda bei katika soko la Dunia, ulizeni bei za mafuta Kenya, Uganda, Rwanda zipoje

    Ahlan wa Sahlan Habari zenu wana JF: Kumekuwa na tabia ya upotoshaji inayoendelea hapa nchini kwa watu kumlaumu rais kwa hali ya kupanda kwa gharama za maisha inavyoendelea kila kukicha, kubwa ni hili la kupanda kwa gharama za mafuta ya petroleum, diesel na mafuta ya taa. Bei ya mafuta kwa...
  20. MK254

    KCB wazidi kufunika ukanda huu, wanunua benki Rwanda

    Mbele kwa mbele... ------ KCB Group is banking on its new subsidiary BPR Bank Plc Rwanda to more than double its regional business in the next two years and support economic expansion in the East African country. KCB said scaling its regional business was critical for the future, adding that...
Back
Top Bottom