samsung

  1. A

    Phone4Sale Brand New Samsung A10s for 295,000 TShs

    - Brand New Samsung A10s - Boxed with 2 years warrant Specifications Display6.20-inch (720x1520) Processor1.5GHz octa-core Front Camera 8MP Rear Camera13MP + 2MP RAM 2GB Storage32GB Battery Capacity4000mAh OS Android 9 Pie
  2. jogijo

    Msaada Samsung note 8

    Habari ya asubuhi ndugu, Nina tatizo na s pen kwa wanaotumia note 8. Yaan simu haidetect kama kuna s pen, uitoe au uirudishe. Na hata kuandika kwa kioo haikubari. Msaada kwa mwenye idea.
  3. Mchimba Chumvi

    Nauza samsung s8 kwa bei nafuu sana

    Nauza Samsung s8 kwa bei ya kutupwa. Wakuu habari Kutokana na janga hili la COVID-19 ambalo limeniathiri kwa 100%. Naiweka sokoni simu hii ambayo nimeinunua mwezi December mwaka jana mpya m/city. Bei 450000/= Ram 4 Storage 64. Nipo iringa kwa sasa. Nicheki WhatsApp +255745588735. Nitakutumia...
  4. Echolima

    Msaada: Samsung Galaxy ipi ni bora na nzuri?

    Mimi ni mgeni kwenye hizi simu aina ya SAMSUNG kuna zinazoanzia na S..... zingine A.... mfano S-5 na A30 na nasikia tena kuna A7 ipi kati ya simu hizi ni Bora???
  5. Mukulu wa Bakulu

    Baadhi ya google apps ni nzuri sana zaidi ya samsung apps

    Mimi sio mtaalam sana wa mambo ya simu na computer. Jana katika kupita pita mitandaoni nikaona mjadala wa google apps ambazo unaweza kuziweka kwenye samsung na zikafanya vizuri zaidi. Kweli nikaweka google massages, google contacts na google phone app kwenye samsung yangu, aisee nimezipenda...
  6. hp4510

    Samsung note 4 LTE sipati 4G

    Wakuu naomba maujanja ya app au technical kuhusu hii simu yangu Hii simu ni note 4 nilinunua India sasa kwa kule nilikuwa napata 4g vizuri but kwa hapa bongo nashindwa kupata 4g kabisa sijui shida ni nn Kwa yoyote mwenye uelewa pls msaada tafadhali
  7. C

    TV4Sale Used Samsung LED 40 " Television For Sale

    Nauza Samsung LED 40 " Television UA40H5100AR. Hii TV nilinunua mwaka 2016 kwa laki 9 elfu 60 enzi hizo. Nauza kwa laki 5 tu. Ipo Mbweni JKT, Dar. Wasiliana Whatsapp 0625536529 Samsung UA40H5100AR 40 inch LED Full HD TV Specifications Summary features 3D TV: No, Smart TV: No, Curved...
  8. N

    Msaada kurekebisha samsung galaxy s7 edge camera

    Habari wakuu usikeni na kichwa cha habari apo juu simu yangu samsung galaxy s7 edge tangu juzi imeanza tatizo la kutofungua camera please wajuzi tusaidiane niweze tatua ili tatizo.
  9. Kim Il Kwon

    Nahitaji smartphone Samsung au iphone

    Napatikana Kagera Ngara. Bajeti yangu 350k. Mwenye kua nayo niPM.
  10. i-store

    Phone4Sale Wapenzi wa Samsung Note5 na S8+ simu zenu zimefika

    Bila kuwa potezea
  11. uran

    Samsung A30s na Tecno Camon 12 pro. Simu ipi kali?

    Wakuu kati ya hayo matoleo mawili hapo, simu gani ni kali zaidi?
  12. L

    Kati ya samsung J series na A series ipi nzuri?

    Wakuu nataka kununua simu ya Samsung. Sasa kuna hizi A series na J series. Je, ipi ni mzuri kwa budget ya shilingi laki 6 hadi 8? Au hata S series pia ipi nzuri?
  13. steve111

    Phone4Sale Samsung Galaxy A8 on sale only 250,000/=

    Mambo vip wakuu? Sumsung Galaxy A8 inauzwa Price: 250,000/= Storage: 16GB Condition: Excellent condition with No scratch Android Version: 5.1.1 Location: Tabata Segerea(DSM) Contact: 0682823028
  14. J

    Root simu ya android yoyote ukitumia magisk

    MAANA YA ku-ROOT ku-ROOT maana yake ni kuweza kupata uwezo au access ya system files zilizopo kwenye simu yako ambazo kwa kawaida zinakuwa zimejificha au kuzuiwa kwa mtumiaji ili asiweze kuzifikia , kwa kiingereza naweza kusema its an ability to obtain administrative access or rights on the...
  15. Miss Zomboko

    Samsung yatengeneza binadamu wasio halisi wenye uwezo wa kufanya kazi kama binadamu wa kawaida

    Kampuni ya Samsung kushirikiana na Advanced Research Lab (Star Lab) wamefanikiwa kutengeneza watu wasioasilia ambao watakuwa wanafanana na binadamu katika maeneo mbalimbali ya miili yao kama sura na muonekano, kuonyesha hisia, tabia na akili na pia wana uwezo wa kuzungumza na kubadilishana nae...
  16. Ninja assasin

    Msaada: Internet ya Tigo haisomi kwenye Samsung S8

    Wakuu naomba msaada, laini ya Tigo haifungui data. Simu ni Samsung S8. Naomba wataalamu wa kucheza na setting mnisaidie.
  17. The Assassin

    Hatimaye nimepata Android 10 kwenye Samsung

    Wale watumiaji wa Android OS, leo nimefanikiwa kuupdate kwenda Android 10 kutoka Android 9 (pie). Nimeona tu kwenye simu yangu notification ya new software updates. Bado sijaanza kuifurahia ila mwanzo tu naona iko poa.
  18. FRANC THE GREAT

    Samsung yaongoza katika soko la 'Smartphones' za 5G

    Kampuni ya vifaa vya kielektroniki ya Samsung imekuwa kinara katika soko jipya la 'Smartphones' zenye uwezo wa 5G ikiweza kuzalisha simu za 5G takribani robo tatu ya uzalishaji wote ulimwenguni katika kipindi cha robo ya tatu (Third Quarter) kwa mujibu wa utafiti kutoka IHS Markit | Technology...
  19. Baba Ndubwi

    Ninauza simu Samsung Galaxy A8

    Bei ni 250,000/= Imetumika. Ni nzima lakini Kioo cha juu kimepasuka. Tofauti na kioo haina tatizo zaidi. Picha:Sijaweza kuambatanisha picha kwa kuwa ninatumia des. comp. Mnunuzi tuwasiliane kwa namba:- 0679494815 Napatikana Dar es salaam.
  20. Lucy25

    Phone4Sale Wanaohitaji iPhones na Samsung Kwa Bei Poa

    Habari zenu wote. Kwa wale wote wanaohitaji smartphone (iPhones na Samsung) Kwa bei nafuu. Napost hapa gharama zetu za simu zilizopo. Pricelist yetu hii hapa chini. Tutakuagizia kutoka nje ya UK itachukua siku kumi tu simu yako kufika nchini. Simu ambazo hazijawekwa bei hazipo on stock. Kama...
Back
Top Bottom