samsung

  1. Aramun

    Huawei kuja na "Tri-Fold SmartPhone" mwaka huu, Samsung bado anasuasua

    Tumezoea kuona simu janja zenye mikunjo miwili, Huawei mwaka huu wanakuja na Smartphone ambayo itakuwa na mikunjo mitatu. Mojawapo ya kipengele muhimu cha kifaa cha kukunjwa mara tatu ni kwamba skrini iliyounganishwa kwenye bawaba ya pili inaweza kukunjwa kwa nje, na hivyo kuruhusu sehemu ya...
  2. B

    Wakazi wa Morogoro na Tanga wafikiwa na kampeni ya ‘Samsung Kibingwa’

    Kupitia kampeni hii, wateja wateweza kununua simu janja kwa mawakala waliodhinishwa na Samsung kupitia malipo nafuu ya mkopo ya kuanzia shilingi 1200 pekee kwa siku, wiki au mwezi kwa kipindi cha miezi 12. Lengo kuu la kampeni ya ‘Samsung Kibingwa’ ni kuwawezesha Watanzania ambao wanatumia simu...
  3. BUMIJA

    Hii ipoje kuhusu Samsung wajuzi?

    Juzi nilienda Town kutafuta simu ya samsung A15,Katika pita pita kuna wanaiuza 380,000.Maduka mengine hapa Moshi mjini wengine 480,000. Mpaka Leo najiuliza kwanini yule auze 380,000 na specification ni zile zile?.Nilienda duka moja anauza mzee akaniuzia kwa 470,000 akaniambia tunaiscan uone ni...
  4. mossTV

    TV4Sale Tunauza smart TV

    Hisense smart 4k inch 55 Uhd frameless TV kama mpya Nauza 750,000 0744680670 Free delivery
  5. B

    Samsung Galaxy S24 Ultra Set to Enhance and Open up the Olympic Broadcast and Viewer Experience Like Never Before at the Olympic Games Paris 2024

    ●In collaboration with the IOC, and OBS, Samsung Galaxy technology will provide fans around the world with a new, up-close view of the world’s greatest athletes during the Games SEOUL, Korea – June 19, 2024 – Samsung Electronics Co., Ltd., a Worldwide Olympic and Paralympic Partner, today...
  6. Reuben Challe

    Samsung: Hii kampuni inachofanya ni sawa kweli?

    https://x.com/SamsungMobileUS/status/1800233900389617979?t=VDdvhRoSeZ0LKEnI_RgKcw&s=19 Kampuni ya Kikorea "Samsung" imeleta features nyingi zinazowezeshwa na Artificial intelligence kwenye Samsung Galaxy S24 series na collection ya AI features kwenye S24 series Samsung akaamua kuiita "Galaxy AI"...
  7. Jephta2003

    Phone4Sale Samsung A90 inauzwa

    Nakaa Dar nauza simu Samsung A90 ina Ram 6gb,Rom 128gb,Battery 5000ma kwa Tsh 350,000/ Nicheck kwa 0693141058
  8. 90sgeneration

    Phone4Sale Samsung A14 128GB inauzwa

    Samsung A14 128gb Used kama mpya Haina tatizo lolote Bei 275000 Location:ukonga banana Bei haipungui 0697224996 karibu🙏
  9. K

    Phone4Sale Samsung galaxy A21s laki 2 tu.

    UPDATE: SIMU IMESHAUZWA Habari, Nauza simu samsung galaxy A21s. RAM :4GB Storage: 64GB Battery: 5000mAh Location: Dar Bei: 200k Tzs Iko vizuri unakaribishwa kuja kuikagua for your convinience. 0759007696 (call/WhatsApp)
  10. Pantomath

    Kwenye TYPE-C earphones Samsung & AKG wametupiga

    Mimi sio mpenzi kabisa wa wireless earphones, Nikanunua original Samsung Type-C earphones 30k powered by AKG kuja kutumia kasauti nilikokutana nako na niliyozoea nikahisi au nimeziharibu? ni fake? sikuwaza sana ila nikaona isiwe tabu, nika order nyingine MADE IN VIETNAM. Kuja khaaa, ni yale...
  11. comrade_kipepe

    Samsung A15 ipo vipi kiutendaji?

    Aliewahi kutumia Samsung a15 au anaeijua utendaji kazi wake anipe muongozo nataka niinunue, masuala ya camera siangalii sana Mimi naangalia speed na isiwe inaganda au kupata moto Simu inaonekana ni toleo la mwaka Jana 2023 mwezi WA 11
  12. S

    Phone4Sale Samsung A32 5G

    Samsung Jump A32 5G Lte Network 4Gb Ram 128Gb internal storage Fingerprint Tsh 295,000/= Around Arusha 0760848368
  13. jangos

    Samsung A54

    Wakuu nimeptia mtandaoni na kuona hili simu Sasa sijui ipoje kwenye ubora na bei apa bongo, naomba kupewa ABC kidogo
  14. 6WaS9

    Uzi maalumu kwa: Watumiaji wa vifaa vinavyotumia mfumo wa ANDROID kama | Smart Android TV | All Android Phones | Samsung, Xiaomi, Google Pixel, Huawei

    Sony, Lg, Smart watch za Android… Ku share experience zao katika utumiaji..! Taarifa zote mpya za bidhaa zitumiazo android OS Changamoto na suluhisho za kifaa husika.. Na mengine Mengi zaidi
  15. Yofav

    Nauza simu yangu | Samsung note 9 Gb 128 Pamoja na charge yake

    Only For Tsh.360,000 Problem ni mic pekee sometimes yes/sometimes no. Double line☑️ Only for serious buyer nicheki WhatsApp au piga 255673269533 Simu ipo Tabata Mwananchi
  16. D

    Ushauri Used Samsung note 10 plus

    Naomba ushauri nataka kununua used Samsung Galaxy note 10 plus je ni nzuri?
  17. S

    Msaada: Namna ya kufanya Docomo s10 Plus kusoma samsung s10 Plus inapowaka badala ya Docomo

    Wakuu habari za mida! Nilinunua simu mkoa wa kigoma nikizani nmenunua samsung galaxy s10 plus... kumbe nmenunua docomo s10 plus sasa kinachonikera ni kuona ikiwaka inaonesha logo ya docomo bafala ya samsung inaonesha
  18. Mchimba Chumvi

    Nauza samsung S10 280k

    Ram ni 12 Storage ni 128GB Nipo iringa Nunueni wakuu vyuma vimeumana niko juu ya mawe
  19. BARD AI

    Tetesi: iPhone 16 itafanana mwonekano wa Camera za Samsung S24

    Apple has just launched the iPhone 15, but the rumour mill is already churning for the iPhone 16. The series is expected to bring significant upgrades and improvements compared to its predecessors. Speculation suggests that there will be enhancements in camera performance, display, a more...
  20. Donnie Charlie

    Jinsi ya kusakinisha FONTS maalum katika Samsung one UI 6 au 5.1 Vifaa (Fonti 600+)

    Najua wengi wenu mnapenda customization kwenye simu, sasa nimekutana na hii link ina font 600 amabzo unaweza kubadili kwenye simu yako kila siku tofauti na za kununua galaxy store kwanza hii hii link itakayokupelekea kudownload folder la font...
Back
Top Bottom