Nchi zenye uchumi mkubwa duniani kama Marekani na China zinapiga hatua kubwa katika Nyanja mbalimbali za teknologia wakati sisi Tanzania(Africa kwa ujumla ) tukiwa bado tuko nyuma. Mifano mizuri tumekuwa tukiona mapinduzi yanayozidi kufanywa katika utengenezaji wa magari, kampuni moja ya hukou...
UTANGULIZI;
Tangu utoto nimesikia usemi “elimu ni ufunguo wa maisha”
Tunakuwa tukiwa na ndoto kubwa na kuamini elimu ndio ufunguo
wao.Lakini je funguo zimebadilika au mlango umekuwa mbovu?
Elimu ni njia ambayo jamii hutumia kupitisha maarifa,ujuzi,taarifa kutoka kizazi kimoja au kingine
Elimu...
UTANGULIZI.
Tupo katika zama za utandawazi; Sayansi na teknolojia imechukua nafasi kubwa Sana katika ulimwengu huu wa Sasa hususan katika shughuli mbalimbali za uzalishaji wa kiuchumi, mambo ya siasa, elimu, pamoja na masuala ya kijamii.
Teknolojia
NI ujuzi wa kutumia vyombo (mashine) Ili...
Ukuaji Wa Sayansi Na Teknolojia.
Awali ya yote tunatakiwa tujue nini maana ya Sayansi na Teknolojia,na ndani ya Sayansi na Teknolojia Kuna kitu gani na kitu gani na vina umuhimu gani ama na mchango katika maisha au mfumo mzima wa maisha ya binadamu.
Tukianza na Sayansi kiujumla ni maarifa...
Na WyEST, MOROGORO
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omari Kipanga (Mb) ameutaka uongozi wa chuo cha Ualimu wa Ufundi Stadi (VETA) Morogoro kuhakikisha ujenzi wa mabweni kwa ajili ya wanafunzi chuoni hapo unamalizika ifikapo tarehe 1 Septemba mwaka huu.
Mhe. Kipanga ameyasema...
Mabadiliko chanya katika Elimu; Kumekuwa na fikra hasi katika jamii zetu kwenye swala la elimu vijana wengi fikra zao kwa sasa katika elimu zinatokana na ukosefu wa ajira ama ajira zisizotosheleza idadi ya watu waliopo, Hivyo basi vijana wengi wanaona hakuna umuhimu wa kupata elimu ikiwa ajira...
BUSTANI YA BOTANIC NA ZOOLOJIA, CHACHU YA UFAULU KWA MASOMO YA SAYANSI
Kuhusu Bustani ya Botanic.
Katika miaka ya hivi karibuni, watafiti na watunga sera kote ulimwenguni wamezidi kutoa wito wa umakini zaidi kuwekwa juu ya elimu kupitia kujifunza kwa...
Maajabu ya Sayansi: Aina nne za uvumbuzi zilizofeli ambazo zimebadilisha Ulimwengu
CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
2 Agosti 2022
Je, unajua kwamba pacemaker, ambayo huokoa mamilioni ya maisha duniani kote, ni matokeo ya ugunduzi ulioshindwa?
Wazo la mafanikio kama vile taa za umeme na mashine ya...
Samaki pweza ni samaki anayeishi baharini
Pweza ana mioyo 3 (3 heart) Moyo moja husukuma damu kwenda sehemu mbalimbali za mwili.Mioyo 2 husukuma damu kupitia matamvua yake(gills)
Pweza ana damu rangi ya bluu kwasababu ana “copper-based protein”
Pweza ni miongoni mwa-samaki mwenye akili Zaidi...
VITA YA VIJANA DHIDI YA MAENDELEO YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA.
Chemsha bongo!
Je! Umewahi kujiuliza kuwa licha ya maendeleo ya sayansi na teknolojia kusaidia katika kuboresha maisha ya binadamu kiujumla lakini bado yameacha malumbano makubwa dhidi ya vijana mbalimbali?
Ukweli ni kwamba vijana...
Mataifa makubwa na ya kati tunayoyaona leo yaliwekeza kwenye Sayansi na teknolojia,ndipo yalipofikia apa tunapoyaona.Ili taifa letu la Tanzania kuweza kukua halina budi kuwekeza kwenye sayansi na teknolojia kwa kukuza na kuendeleza vipaji vya wabunifu wetu.
Katika taifa letu tumesikia wabunifu...
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari Jijini Dar es Salaam kueleza mikakati ya wizara yake ambayo ikiwemo utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2022/23 iliyopitishwa bungeni amesema Serikali imetenga shilingi Bilioni 3 kwa mwaka huu...
UTANGULIZI
SAYANSI ni maarifa yanayopatikana kwa kufanya vitendo,kutazama na kujaribu. Na TEKNOLOJIA ni vifaa na mashine zinazotumika katika matengenezo au uzalishaji wa vitu. SAYANSI na TEKNOLOJIA ni nyanja zinazotegemeana kwakuwa ujuzi unaopatikana kisayansi unategemea au kuchangia sana...
ilikuwa tarehe 25 july 2020 baada ya kuamka asubuhi kwa ajili ya kwenda kwenye mizunguuko yangu ya kila siku nakutana na baridi kali sana. Miaka mingi kidogo wakati nakua kipindi cha baridi kilikuwa ni mwezi wa sita, sasa hii baridi ya mwezi wa saba kwenda wa nane veepe?
Utagundua kitu sawa na...
SAYANSI NA TEKNOLOJIA TANZANIA
Katika nchi yetu ya Tanzania sayansi na teknolojia imekua chini sana na imekua vigumu katika kuboresha sayansi na teknolojia kwani nchi nyingi za afrika tupo nyuma katika suala zima la sayansi na teknolojia ila kwa upande wa Tanzania serikali imekua ikiboresha mara...
UTANGULIZI
Katika Dunia nzima, nchi zote hufanya chaguzi zake ili kupata viongozi wake wa ngazi tofauti tofauti kupitia mfumo wa kupiga kura za mficho. Njia inayotumika kwa sasa nyingi huwa zinasababisha wizi wa kura, gharama kubwa za usimamizi wa uchaguzi, maafa kwa wasimamizi wa uchaguzi na...
Andiko hili litakua katika sehemu tatu. Sehemu ya kwanza itakua utangulizi hapa nitaelezea maana ya mfumo wa malipo ya mishahara ya waajiriwa, Sehemu ya pili hapa nitatoa changamoto au madhaifu ya mfumo wa malipo ya waajiriwa wapya, Sehemu ya tatu na mwisho nitatoa mapendekezo au mtazamo wangu...
SAYANSI NA TEKNOLOJIA
Imeandaliwa na Rahul
(CEO @RahulComputerService)
UTANGULIZI
Hii ni habari fupi ambayo itaeleza kuhusiana na SAYANSI NA TEKNOLOJIA ambapo tutaangazia mambo mbalimbali kuhusiana na maendeleo ya sayansi na Teknolojia pia tutaangazia pamoja na hasara na faida zake na nini...
Serikali ya Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa wanafunzi wa masomo ya Sayansi na Teknolojia hasa katika zama za wakati tulio nao, Rais Samia Suluhu kupita bajeti ya Serikali ya Wizara ya Elimu 2022/23 kiasi cha Sh. 3bn/- kimetengwa kwa ajili ya kufadhili wanafunzi 500 wa masomo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.