Waziri Mkuu Achangisha Bilioni 1.2 Serengeti Girls, Tembo Warriors, Asifu Ubunifu wa Wizara ya Michezo
Na John Mapepele.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa Majaliwa leo Agosti 24, 2022 amechangisha zaidi ya bilioni 1.2 kwa ajili ya kuchangia timu za Serengeti...
Mike Pence, Ametua Zanzibar kabla ya Ziara yake ya kitalii ya kutembelea Serengeti National Park.
Mike Pence (amezaliwa Juni 7, 1959) ni mwanasiasa wa kihafidhina wa Amerika ambaye alikuwa mjumbe wa Baraza la Wawakilishi na gavana wa Indiana kabla ya kuwa makamu wa rais wa Marekani katika...
Job Description :
Context/Scope:
Serengeti Breweries Limited (SBL) is a fully integrated beverage business in Diageo Africa (supply and demand for beer and spirits).
SBL flagship brand is Serengeti Premium Lager. Other brands in the portfolio include Serengeti Lite, Guinness, Pilsner and SIB...
Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ni mojawapo ya maeneo ya urithi wa dunia (World Heritage Site - UNESCO) si kwa ajili ya ardhi yake bali kuwepo kwa makundi makubwa ya wanyama wahamao, maarufu kama “the Great Serengeti wildebeest migration”. Mzunguko huu kwa kiasi kikubwa uko upande wa Tanzania na...
Serengeti Girls imekuwa timu ya kwanza kukaa eneo maalum wanalokaa wabunge kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo Juni 7, 202
Timu hiyo imealikwa bungeni baada ya kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia litakalofanyika India Oktoba 2022.
Leo Waziri ametoa ombi la kuvunja kanuni na kuruhusu timu ya Serengeti girls na viongozi wake kuingia ndani ya ukumbi wa Bunge.
Bunge limechukua hatua hiyo ili kuwapongeza baada ya kufuzu kushiriki michuano ya kombe la dunia kwa wanawake chini ya miaka 17 yatakayofanyika nchini India.
Spika...
Serengeti Girls wanakwenda India kucheza kombe la dunia na ni mara ya kwanza katika historia ya Tanzania.
Bravo sana makocha, bravo wachezaji wote mliopambana mpaka kupata ushindi wa kishindo wa magoli 5-1 tena ugenini dhidi ya timu yenye uzoefu mkubwa ya hadhi ya Cameroon,
Mmefuta aibu ya...
Mchezaji wa klabu ya PSG (Paris Saint-Germain Club) na Timu ya Taifa, Ander Herrera ametua kwenye Uwanja wa Ndege wa Seronera uliopo Hifadhi ya Taifa ya Serengeti Leo tar 01 Juni, 2022 akiwa ameambatana na Mkewe Isabela Collado kwa ajili ya mapumziko mafupi kufurahia mandhari ya hifadhi hiyo...
Tunaambiwa kwamba filamu ya Royal Tour yenye kupromote Utalii imegharimu Shilingi za Kitanzania Bilioni tisa. (9).
Leo tunaambiwa Rais ana safari ya kikazi yeye na delegation yake marekani na moja wapo ya mambo atayoyafanya ni kuzindua filamu ya Roya Tour.
Kwakua hizo kazi nyingine atazofanya...
Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Dkt. Vicent Mashinji ametoa siku 7 kwa viongozi wa siasa waliowaambia wafanyabiashara warejee katika maeneo yao ya awali ya biashara na kuondoka katika maeneo yaliyotengwa, kwenda kukanusha kauli zao vinginevyo atawachukulia hatua kali za kisheria.
“Niwaagize wote...
Walimu na Wanafunzi Serengeti Sekondari Walizwa kizembe!!
Wahenga walisema ‘Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Farao’ Kuna mtu anayesadikika alifika kwenye ofisi ya Mkuu wa shule mapema juma hili tarehe 28/03/2022 na kujitambulisha kwa jina la Ditric, mwenyeji wa Mbeya na amekuwa akifadhiliwa na...
Ni kwa mda mrefu kidogo nimekua nikiwa nchini Tanzania natumia bia ya Serengeti Lager, hii ni vile taste yake kidogo inakalibiana na bia ya balozi ya Kenya.
Sasa kwa kipindi hiki nina kama week moja na nusu niko nchini na nikiitisha hii bia waiter akifungua inafoka, na inamwagika kama 25% hivi...
Shirikia la Hifadhi la Taifa Tanzania (TANAPA) limetangaza kifo cha Faru Rajabu aliyekuwa na umri wa miaka 43, leo Jumatatu Machi 21, 2022 akiwa katika Hifadhi ya Serengeti sababu ikitajwa kuwa ni uzee.
Faru Rajabu alikuwa mtoto wa Faru John ambaye alifariki mwaka 2015 akiwa na miaka 47.
Faru...
Chama kikuu cha upinzani chenye Matawi yake imara pande zote za nchi huku kikitetea haki za kuishi, maendeleo, haki, ulinzi na usalama wa wananchi kimekosoa vikali ripoti hiyo.
Kimetanabaisha kuwa Iwapo serikali haitakuja na majibu Tangible basi kwa kushirikiana na Wananchi wa Eneo hilo, asasi...
Job Description:
About us
Diageo is the world’s leading premium drinks company with an outstanding collection of brands, such as Johnnie Walker, Smirnoff, Baileys, Captain Morgan, Tanqueray and Guinness. Our purpose – Celebrating life, every day, everywhere – has an important role in our...
Pundamilia ' Ndasiata' ualbino ameonekana Hifadhi ya Taifa ya Serengeti mapema Februari mwaka huu.
Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la wanyama wenye rangi za kuangaza ambapo ualbino ndio sababu ya kawaida ya muonekano huo.
Wakati, pumbamilia maarufu Tira ambaye pia alionekana Kenya na...
Mwandishi wetu,
Waziri wa kilimo nchini, Husein Bashe "amezinyooshea vidole "kampuni za bia za Tanzania Breweries Ltd pamoja na Serengeti kwamba endapo watashindwa kuingia makubaliano na wakulima wa shayiri wasahau kukutana na yeye.
Bashe,alitoa kauli hiyo Jana katika kituo cha utafiti wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.