series

  1. Chizi Maarifa

    The Family Business ni Tv Series ya hovyo iliyonishinda kuiangalia

    Carl Weber inawezekana ni very Amateur katika ulimwengu wa Film na Series. Nliona sana BET wakiitangaza hii Series yenye ushiriki wa Black Americans wengi. Nikashawishika kuipata niitizame. Kiukweli ni TV Series ya kuangalia na watoto wadogo na housegirls wa kibongo. Sisi watu wazima ni ngumu...
  2. HiSilicon

    Huawei Mate 40 Series 💥

    Huawei Mate 40 Pro, Pro+ and RS unveiled with 5nm chipsets, amazing camera setups. Network : GSM / HSPA / LTE / 5G Display: 6.76 inches, 115.7 cm2 (~94.1% screen-to-body ratio) Chipset : Kirin 9000 5G (5 nm) Cpu: Octa-core (1x3.13 GHz Cortex-A77 & 3x2.54 GHz Cortex-A77 & 4x2.05 GHz...
  3. Mwananchi B

    HBO Series : Lovecraft Country

    Tokea nimalize kuangalia GOT bado hakuna series iliyo attract my attention Sana mpaka nilipokutana na hii Series. Kisa Ni Black man jamaa anaitwa Atticus alitoka jeshini south Korea, enzi hizo za ubaguzi wa rangi uliokithiri, kwa ajili kwa kuja kumtafuta baba yake aliekuwa kapotea, Sasa kafika...
  4. I AM NO ONE

    Wapenda series, hii ya watchmen kutoka HBO imekaa poa sana

    Niaje wakuu hii tv show aise iko poa sana kwangu kuanzia stor hadi cast wake.hasa MASTER ndio ananifuraisha sana na ANGELA ABRAHAM maana dada anakinukisha balaa
  5. Surya

    Series (Hollywood series) kali za kuangalia

    Mimi ni mpenzi sana wa movie za wazungu napenda sana kuangalia.. Toka utoto wangu nilikua nikishika remote lazima nipitie chaneel za kizungu kuangalia kama kutakua na movie nzuri niangalia, Nilipofika darasa la saba, nilianza kuangalia kila movie anayoitoa Dj Afro, jamaa ni anajua na siku zote...
  6. T

    Grow and fly big books series (Utangulizi, Sehemu ya 1&2)

    UTANGULIZI Kutokana na kukua kwa tatizo kubwa la ajira miongoni mwa vijana na familia nyingi duniani, imepelekea watu kuchanganyikiwa ni nini cha kufanya. Watu wote siku hizi wanahaha kutafuta ajira ambayo imekua adimu sana na hivyo kuwafanya watu ambao akili zao na mawazo yao yameelekezwa...
  7. PureView zeiss

    Najuta kupoteza muda wangu kuangalia Ujinga uliopo Kwenye series ya money heist

    Kwa mara ya Kwanza toka 2009 nilipoanza kuchek series za 24 na prison break nilishamaliza kufananisha na series yeyote duniani nakumbuka mwaka 2010 nilichek pia series moja tamu Sana inatwa traveller,hii movie haikutoka tena na sielew sababu ya kushindwa kuchezwa mpaka leo.. Miaka mingi imepita...
  8. sky soldier

    Darasa: Jinsi ya kudownload (Kupakua) series za Netflix

    Kudownload vitu kuna faida nyingi hasa katika nchi kama yetu 1. Endapo unakaa sehemu ambayo haina network nzuri ni vigumu kustream series za netflix maana itakua inaganda ganda kwasababu ya network. 2. Kustream series kwa vifurushi ni gharama kwa watu wa vipato vya chini, Hivyo wengi wanaweza...
  9. Nafaka

    Wazee wa series, nje ya The Queen of the South naomba series nyingine nzuri

    Nimetazama the queen of the south, nacos seal pia. ya Naomba series nyingine nje ya hizi lakini zinazoendana na hizi. Pia kama kuna mtu anajua series zenye hadhi ya game of thrones au spartacus pia naomba anitajie.
  10. Wordsworth

    Kuhusu Web Series ya 'We Men'

    'We Men' ni series mpya ya Kitanzania inayoonyeshwa kwenye Instagram page ya Maxrioba. Maudhui yake ni ya mapenzi (kama kawa). Kwa story nzima mnaweza kwenda kuiangalia huko Instagram. Technically hii series wanajitahidi. Hapa ninaongelea rangi ya picha, mwanga, namna shots na scene...
  11. S

    Naitafuta hii Series ya Mortal Combat

    Wakuu Kwema, Miaka Fulani nyuma kwenye 199X kituo cha Luninga cha ITV kilikua kikionyesha hii movie ya Mortal Kombat lakini kwa mtindo wa episodes. Yaani kila wiki wanatupia moja nadhani wahenga wenzangu wa kipindi hicho mnaweza kuwa mnakumbuka. Nimejaribu ku Google lakini naona napata only...
  12. Martin Kemosabe

    Msaada wa kudownload series (all in one)

    Kama yupo ataeweza nisaidia kujua namna ya kudownload series all in one package nitafurahi sana, site nyingi ninazoingia series inanibidi nidownload episode 1 moja jambo ambalo linanichosha. Naomba mwenye kujua site ambayo naweza download mfano prison break zote ziwe kwenye singo torrent...
  13. C

    Mwenye link niweze dowload strikeback series season ya 1 hadi ya 5

    Tafadhali wakuu naomba link ya kupakua hiyo series nimecheki 02tvseries imeanzia season ya 6 so naomba kuanzia 1-5 tuendelee kujichimbia nano vizuri
  14. Forgotten

    NETFLIX wanafeli wapi?

    Wiki hii nilipata nafasi ya kuangalia movie pamoja na series mpya kutoka NETFLIX ORIGINALS. Hizi zote wameziandaa wenyewe; EXTRACTION (Movie) Hii imejipatia umaarufu mkubwa sana kutokana na kuwa full packed na fights za kutosha, kwa wapenzi wa action movie hii lazima uikubali. Ila walipofeli na...
  15. H

    Naomba jinsi ya kupata series with English subtittle

    Natumia smartphone naombeni namna ya kudownload series yangu with English subtitle anayejua atoe maelezo yakutosheleza please
  16. Forgotten

    Series ninazozifuatilia hadi sasa

    Tukiendelea kufuata ushauri wa wataalamu kipindi hichi kigumu dunia inachopitia, ukiachana na vitu vyote ushauri muhimu wanaotoa wataalamu ni kukaa nyumbani na kutulia ili kujilinda wewe pamoja na familia yako na ukitoka nje usiache kuvaa barakoa (mask) kwa usafi na kufuata taratibu za kiusalama...
  17. Martin Kemosabe

    Msaada jinsi ya kudownload Movie na Series za Kifilipino

    Kuna series nazitafuta mfano kama Asintado Pusong Ligaw na nyingine nyingine nyingi tu za kifilipino. Nimezunguka huko kutafuta jinsi ya kuzidownload naona chenga tu sielewi kitu naomba mwenye uzoefu na kujua namna ya kufanya ili niweze fanikisha hili USER=403420]Numbisa[/USER] naomba upite...
  18. Da'Vinci

    Kama uliwahi kuisifia series ya LOST njoo hapa

    Kama uliwahi kuisifia series hii inayoitwa Lost humu JF njoo pm nikuchape vibao. Kuna watu wanaingizana mkenge humu, Wanakisifia kitu ila ukitizama ni uchafu mtupu. J.J.Abrams ni moja ya Director na Creators mzuri ninayemkubali baada ya Russo Brothers,David Cameron,Mel Gibson,Zack...
  19. DIDAS TUMAINI

    Je, nawezaje ku-download season nzima ya Kikorea kwenye folder moja?

    Wakuu salamu. Naomba kuuliza,hivi kuna uwezekano wa ku-download series za kikorea ambazo zipo kwenye one folder. Yaani,badala ya ku-download episode moja moja mpaka ziishe. Hakuna namna ambayo naweza kupata season ikiwa ndani ya folder moja afu Mimi ni download ilo folder lote badala ya...
  20. DIDAS TUMAINI

    Je, Naweza kudownload series za kikorea kwenye folder moja?

    Wakuu salamu. Naomba kuuliza, hivi kuna uwezekano wa ku-download series za kikorea ambazo zipo kwenye one folder. Yaani,badala ya ku-download episode moja moja mpaka ziishe.Hakuna namna ambayo naweza kupata season ikiwa ndani ya folder moja afu Mimi ni download ilo folder lote badala ya...
Back
Top Bottom