serious

Serious is an observational documentary series made by the BBC and broadcast as part of their children's programming. It encompasses Serious Jungle (2002), Serious Desert (2003), Serious Arctic (2005), Serious Amazon (2006), Serious Andes (2007), Serious Ocean (2008) and Serious Explorers (2011). Serious Ocean consisted of ten 30-minute episodes, while each previous series was six 30-minute episodes. In each series a group of eight 12- to 15-year-olds embark on an expedition to an extreme part of the world, in order to help wildlife or assist in environmental projects. The programmes have won numerous awards, among them honours from BAFTA and the Royal Television Society.
So far only Serious Amazon, Serious Ocean and Serious Andes have been aired in Australia, on ABC1 and ABC3.
The series has also been shown on Discovery Kids/The Hub, where five complete seasons have been shown. Slovenian television Kanal A has bought the rights to air Serious Amazon. The show airs Saturdays at 2:10 pm, under the title Vse o Amazonki (All About the Amazon).The Italian television network RAI in early 2009 aired Serious Jungle, Serious Desert, Serious Arctic, Serious Amazon, and Serious Andes.

View More On Wikipedia.org
  1. mrPhysics

    Je, nini sababu ya kuwepo kwa makosa makubwa kama haya kwenye kitabu cha physics kidato 4 na 1 cha TIE?

    Mimi ni muhitumu wa Phy kutoka chuo Y, nimeweza notice some very serious errors katika kitabu cha physics form one na form four TIE na kujaribu kuwatumia email lakini sikupata any response. On my personal thought ni kuwa, watoto wanajifunza makosa ya wahariri and not all teachers can notice...
  2. halley from city

    Kwa walio serious tu. Ps4 fat inauzwa kwa offer

    KAMA UKO SERIOUS; Sidhani kama uko serious na hii biashara utashindwa kuchukua hii ps4. Chukua ps4 fat, ina game la GTA Imechipiwa, Bado mali ni mpya tuu. Pad hizo apo ni mpya. Kwasababu halina game la mpira naliuza kwa 450k top. Ila, kama uko dar nakupa connection pa kwenda kuweka games bure...
  3. Exile

    Hii nchi nikajua ambao hawapo serious ni Tanesco kumbe hadi matapeli wanasahau majukumu yao😂😂

    Dada alivo mjibu anatoa jicho tapeli kasahau hadi kutapeli na nina uhakika yeye ndo katapeliwa
  4. Exile

    Kwa Wananchi walio serious hili suala la umeme Tanzania lingetosha kuitoa CCM madarakani

    Huu umeme umekuwa kero sana shughuli za watu zimesimama viwanda vinashindwa kufanya kazi ndo mtegemee maendeleo? Wananchi tungekuwa serious CCM 2025 ingebidi waachie serikali kivyovyote vile hata wangeiba kura naamin nguvu ya wananchi ingeitoa. Hata nyie chawa wa serikali mnaoipamba serikali...
  5. hermanthegreat

    Kwanini baadhi ya watu wanaonekana kuwa serious muda wote hata kama wana furaha?

    Habari wanajf Kama nawewe ni miongoni basi utakuwa sio mgeni wa maswali kama "mbona inaonekana upo serious mda wote" Au "mbona una mawazo sana" Sasa kuna baadhi ya watu nadhani namimi ni miongoni tunaonekana tuna sura ambazo hazina chembe ya tabasamu. Yaani kuna mtu ukimtazama kwa haraka...
  6. R

    Doto Biteko, ishi na watu wa Pwani kwa akili; siyo mara zote wanapenda mtu aliyepo serious

    Kuna njia nyingi za kummaliza mwanasiasa kisiasa; moja ya njia hizi ni kuteua na kutumbua bila kutoa kupewa sababu ya kuteuliwa na bila sababu ya kutumbuliwa. Kanda ya Ziwa ni eneo moja wapo ambalo kwa bahati mbaya halina wanasiasa wenye nguvu katika bunge la sasa. Mhe. Magufuli alihakikisha...
  7. S

    Rais Samia amewatuma Mabalozi wakaulize wenzetu wamefanya uchawi gani kukua haraka kiuchumi

    Rais Samia Suluhu Hassan anasema : "Sote tunafahamu kuwa miaka ya 1960/70 nchi yetu na nchi za bara la Asia zilikuwa na uchumi unaolingana, lakini 'baada ya muda' wenzetu wametupita tena sana. Mfano Thailand kwa miaka hiyo ilikuwa na 'GDP Per Capita' ya Dola 166 na Tanzania tulikuwa 165. Leo...
  8. benzemah

    Abu Dhabi kuikopesha Tanzania Tsh Bilioni 70 kujenga njia ya kusafirisha umeme Benako hadi Kyaka mkoani Kagera

    Tanzania na Mfuko wa Maendeleo wa Abu Dhabi wa Umoja wa Falme za Kiarabu zimetiliana Saini mkataba wa mkopo nafuu wa dola za Marekani milioni 30 sawa na shilingi bilioni 70 za Tanzania kwa ajili ya Ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme Msongo wa kV 220 kutoka Benaco hadi Kyaka na Upanuzi wa Kituo...
  9. G

    Nahitaji mke aliye serious na mwenye hofu ya Mungu

    Umri wangu miaka 34. Mwajiriwa serikalini, Natafuta mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo: 1. Awe na umri kuanzia miaka 20 Hadi 30 2. Awe na Elimu kuanzia ngazi ya chuo 3. Awe mweupe au maji ya kunde 4. Awe na hofu ya Mungu 5. Awe amezaa au hajaza lakini asiwe na zaidi ya mtoto moja 6. Awe mkristo...
  10. NEGAN

    IT wa HESLB hamko serious na kazi

    Hii nchi kila kitu ni cha hovyo. HESLB mmefungua dirisha la kuomba mkopo lakini mpaka muda huu watu bado wanaohangaika kukamilisha vipengele. Mfumo wenu ni mbovu nimelipia control number lakini kila nikitaka ku-create account page ina-load tu tangu asubuhi. Kama mlijua hamjajipanga kwa nini...
  11. H

    Hivi Azam FC mpo serious kweli?

    Kitendo cha timu ya Azam Fc kugomea mechi ya kirafiki kabla ya kuisha kisa maamuzi mabovu ya mwamuzi kinaonesha mlivyo na utoto. Lengo kuu la friendly match ni kupima mbinu na utimamu wa mwili, kwa nini mkimbie? Na leo mlipaswa kuwa na mechi dhidi ya Club Africain naambiwa mmeisusa kisa droo ya...
  12. W

    Natafuta Mume aliye serious anayetaka mke. Nina miaka 36

    Mimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii pombe. Natafuta mchumba/mume, umri miaka 37-40, awe Mkristo, mwenye hofu ya Mungu, mwenye kazi yoyote...
  13. R

    Viongozi wa Yanga hampo serious kweli imeshindikana kulipa deni la aliekua kocha wetu Luc Eymael

    Nimesikitishwa na hili jambo kwa kweli viongozi wa Yanga mnaonyesha madhaifu makubwa hili deni linaelekea kutupa adhabu kutoka FIFA. Adhabu ambayo itatuondoa kwenye dira yetu na kutufanya kupoteza muelekeo. Fanyeni hima mumlipe pesa zake aliekua kucha wetu Luc Eymael. Au ndio mmeshapoteza...
  14. Mjegejo Wa Begeju

    Dogo namwona hayupo Serious na Maisha kabisa. Nataka nimfukuze Home

    Anaamka asubuhi anajiangalia kwenye kioo. Nimemshangaa sana. Halafu anatumia dk 10 zote akinyoosha nguo. Haya maisha mtu hana kazi anategemea kula kwangu. Anataka apendeze . Ili iweje? Kama vile haitoshi kanaondoka asubuhi hii kanajipulizia na utuli. Nimekwazika sana. Huyu dogo kamaliza Chuo...
  15. The Boss

    Wamiliki wa lodge kuweni serious

    Sometimes mtu anasafiri analazimika kuchukua chumba lodge Kwa sababu mbalimbali ikiwemo ukaribu wa anapokwenda mfano kikazi mtu atachukua lodge karibu na ofisi, au ukumbi wa mikutano na kadhalika. Sometimes kwa sababu ya lodge zingine kuwa zimejaa n.k.. Lakini sasa unaona lodge nzuri Kwa nje na...
  16. sky soldier

    Wakristo kuna miungu mingi sana. Kusali kwa kusema Mungu badala ya Jina la Mungu unaemuabudu si sawa

    Mungu nisaidie hiki. Mungu utukuzwe. Mungu naomba abcd. Mungu nisamehe dhambi. Mungu asante. Mungu, Mungu, Mungu. Mungu huyo hana jina ? Kuna miungu zaidi ya elfu 18 inaabudiwa hapa duniani. Unaposali kwa kusema Mungu kuna tofauti gani na mtu asietaka kumpa jina mtoto?
  17. Mayor Quimby

    Senior Civil Services Posts ni serious posts

    Ukisoma upuuzi mwingi humu unaona kabisa hii nchi ni ya hovyo. Lakini ukipekua na kuwasikiliza wakurugenzi wengi wa wizara na idara za serikali (wanapokuwa wageni waalikwa kwenye mijadala); wengi sio watu wa mchezo kabisa wana technical skills za hizo sector au wizara wa hali ya juu. Kwanini...
  18. peno hasegawa

    Tabora: Aliyekuwa Mkurugenzi Iguwasa kizimbani kwa uhujumu uchumi

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imempandisha kizimbani aliyekuwa Mkurugenzi mtendaji wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Igunga (Iguwasa), Hussein Nyemba (34) akikabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi. Tabora. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru)...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    Inakuwaje wanafungwa mashoga lakini Mabasha wao wanaachwa, tupo serious Kweli?

    INAKUWAJE WANAFUNGWA MASHOGA ALAFU MABASHA WAO WANAACHWA HIVI TUPO SERIOUS KWELI? Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Kwa Sisi Watibeli MTU Shoga anauawa, ni Kwa Sisi hilo lieleweke. Na hata ikitokea Mtibeli akashika uongozi WA juu kwenye nchi hii basi wananchi waelewe hivyo. Hii ni kumaanisha...
  20. NetMaster

    Serious talk: Je, kubeti kunaweza kuendesha maisha walau kwa vijana hata wawili kati ya kumi wanaobeti?

    Yes nimeahi sikia kwamba kuna watu wamepiga mshindo kwenye betting lakini hao watu ni nadra sana wanaweza kuwa katika kipimo cha mtu 1 kati 100 ya wale wanaobeti. Ili kitu kiwe na uhakika wa kitu flani kuweza kuendesha maisha ya mtu kiuchumi basi walau huwa kuna kipimo angalau hata watu wawili...
Back
Top Bottom