Serious is an observational documentary series made by the BBC and broadcast as part of their children's programming. It encompasses Serious Jungle (2002), Serious Desert (2003), Serious Arctic (2005), Serious Amazon (2006), Serious Andes (2007), Serious Ocean (2008) and Serious Explorers (2011). Serious Ocean consisted of ten 30-minute episodes, while each previous series was six 30-minute episodes. In each series a group of eight 12- to 15-year-olds embark on an expedition to an extreme part of the world, in order to help wildlife or assist in environmental projects. The programmes have won numerous awards, among them honours from BAFTA and the Royal Television Society.
So far only Serious Amazon, Serious Ocean and Serious Andes have been aired in Australia, on ABC1 and ABC3.
The series has also been shown on Discovery Kids/The Hub, where five complete seasons have been shown. Slovenian television Kanal A has bought the rights to air Serious Amazon. The show airs Saturdays at 2:10 pm, under the title Vse o Amazonki (All About the Amazon).The Italian television network RAI in early 2009 aired Serious Jungle, Serious Desert, Serious Arctic, Serious Amazon, and Serious Andes.
Hello members!
I am a 34-year-old Christian woman with one child, looking for a serious man to start a family with. I am employed in the private sector.
If you meet the following criteria - 34 years or older, with a legal source of income, Christian, and mature - welcome to my PM."
Tanzanian tukiendelea na kulala huku tukisikiliza ngonjera za CCM.
Tutatengeneza familia maskini kupindukia huku familia za wanasiasa mambo yao yakiwa mazuri.
MTU akikunyima hela kakunyima Uhuru utabaki mtumwa na ombaomba kila siku.
Yale yanayoendelea Nchini na Majibu yanayotolewa na CCM ni...
Kweli sijui nyie ila kunawatu wanajali familia zao .sijamaanisha watoto na mke na maanisha baba na mama maana. Huwezi penda mzazi mmoja , .
Kila siku naandika Hivi mama anazaa Kwa uchungu analea Kwa tabu anasomesha Kwa tabu.
Halafu Kuna mijitu Fulani inaoa/inaolewa inaenda kulipiza fadhila...
Naona baada ya Mwanza SASA NI Simiyu to Mara, wananchi wanaonekana walikuwa na kiu Kali Sana. Tofauti na msafara wa Mhe. Rais hakuna mapokezi mengine yanayofanywa na wananchi Kwa wingi huu. Si Katibu Mkuu CCM wala Makamu Mwenyekiti, voluntary show up inaridhisha natumaini kwamba mama ameifungua...
Mwanaume uliyekamilika unatakiwa ama Kusikiliza BBC Dira ya Dunia au DW au Kutizama / Kusikiliza Habari, Kuangalia Mpira ( Fabo ), Kutongoza sana Mademu ( Migoma ), kujua zilipo Gesti na Loji Mpya, Kubishana Mambo ya Siasa, Mpira au Madili, kuwazia Kuzamia kwa Ramaphosa au kwa Biden au kwa...
Nimemsikia Nape anasema serikali inataka kuandaa Afcon...
Baadae nikamsikia Mchengerwa anasema tunaenda kombe la Dunia mwaka 2030...swali la kuwauliza hawa ndugu zetu wako serious?...
Kama wako serious mbona hatuoni hata hatua za mwanzo za maandalizi?..
Hatua ya Kwanza ilikuwa kuunda...
Ismail Aden Rage (boss wa zamani) Simba SC aliona mbali sana, na alipatia mno kutuita wana Simba SC (GENTAMYCINE) nikiwemo mimbumbumbu (mipan'gang'a), kwani tunastahili kuitwa hivyo.
Hivi kweli mtu aweke Msimbazi 20B ndiyo tusajili takataka na mizigo akina Kapama na Okwa? Yaani 20B iwekwe...
Ninasoma kila thread ili nijifunze, sio ili nibishane. Kuna watu wanaandika kama comedy, ila thread zao zina mafunzo mengi sana.
Usichukulie poa thread kwa sababu ya title iliyo beba, soma ndani
Aiseee! Tuache utani miaka 61 bado tunaangaika na maji, vyoo, elimu na vitu vidogo vidogo tu aisee! Inanikera mazee! Tumlaumu nani? Nyerere? Sisi wenyewe? Au viongozi wetu?
Na je tukiwapa chadema kura huu upuuzi wa ccm ndiyo itakuwa bye bye? Tutafakari wala sipo na utani wakuu naumia sana
Tufanye ni kweli hukujua chochote mpaka baada ya kuapishwa ndiyo ukajua kumbe umeingizwa chaka, na pia unaomba majadiliano nje ya mahakama, kwa haraka ni kwamba kuna mambo umetofautiana na akina Mdee.
Kwa umri wako ili kutengeneza tena heshima yako na imani kwa watu wengi basi jiuzulu huo...
Humu jamiiforums jamani Kuna watu hawapo serious kabisa yaani haiwezekani mtu uweke post ya ajira kwamba unahitaji mtu wa fani Fulani unaweka namba yako ukipgiwa hupokei au unakata au ukipokea unasema nitakupigia badaye sijui nini, blah blah nyingi.
Kwahiyo naomba mnatangaza nafasi za ajira...
Habari zenu wana JamiiForums nahitaji mke alie na utulivu wa nafsi na siyo mwenye tamaa. Awe MUSLIM na pia awe bado hajazaa, umri awe 18-32.
Awe mweusi au mweupe, pia awe na umbo zuri (shape). Mimi ni mweupe, mrefu kiasi, umri wangu 33, ni mfanya biashara.
Kama upo serious karibu PM au ni...
Habari zenu!!!
Natafuta mwanamke wa kuwa nae kwenye mahusiano serious.
Awe anaishi Dar es Salaam
Sifa kuu na ya kwanza awe ana asili ya kiarab au colored wa asili yoyote.
Umri kuanzia miaka 23.
Dini yoyote
Kabila lolote
Elimu yoyote.
Awe na hofu ya Mungu.
Awe msafi
Mimi sifa zangu
Rangi...
Katika taarifa yake kuhusu ajali ya pale Inyala Mkoani Mbeya iliyoua watu kadhaa pamoja na DED wa Igunga, Gazeti la Mwananchi limetoa taarifa kwamba ajali hiyo imetokea ikiwa ni siku tatu zimepita baada ya Makamu wa Rais Dkt. Mpango kutoa maagizo kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kuanza ukaguzi...
Ukiwa serious sana kwenye mahusiano au ndoa utakeyeumia ni wewe.
Nimejifunza kutokuwa serious kwenye ndoa au kwenye mahusiano yeyote yaani utapendwa tu automatically.
Wanawake wanapenda Sana wanaume ambao they don't care about anything Ila wanaojitambua. Don't fall in love but kuwa na upendo...
Ni kama routine tu ya kibaolojia kwamba itabidi uende haja ndogo na kubwa ili mwili uendelee ku operate, ni kama routine kwamba itabidi ule ili u survive.
Ndivyo ilivyo reports za CAG kwa Tanganyika na Zanzibar, pesa zinapigwa kwelikweli, reports zinasomwa kila mwaka upigaji unaongezeka nobody...
Wanajukwaa Mimi binafsi ni mfuatiliaji mzuri wa mambo mengi tu, mpaka nimeleta Uzi huu nimejiridhisha kuna tatizo sehemu au kuna kitu sisi binadamu au niseme Watanzania kuna sehemu tumekosea, sitaki kuhusisha dini labda Mungu tu ndio tumuhusishe.
Katika utafiti wangu usiyo rasmi nimeshuhudia...
Nimetembelea Kijiji fulani huko mkoa wa Geita nimekumbana na shida ya umeme. Wenyeji wanasema Transformer lao limeharibika siku kadhaa sasa.
Kijiji kizima hakina umeme hadi nilivyoondoka leo.
Ndugu zangu TANESCO mje kurekebisha hitilafu ikitokea wananchi wanateseka.
Comrade Kinana amepasua jipu.
Hili lilikuwa halisemwi na viongozi wengi maana Polisi ni chombo nyeti cha Ulinzi na Usalama.
Lakini vitendo vya Askari wetu wa Traffic vimekithiri kwa fines zinazoingizia serikali mapato na vile vile hela ya pembeni wanayopata askari.
Ni jambo la kawaida sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.