Ukiona yafuatayo yanakuandama jitafakari:
1. Kutumwa tumwa na hata uliowazidi umri,
2. Kuombwa kuchinja, kukata kuni, kuosha magari, kutafuta ng'ombe/mbuzi wa kitoweo, n.k
3. Kutoshirikishwa kwenye maamuzi ya familia/ukoo,
4. Vikao vinaendelea wewe unawekwa busy kuandaa maakuli,
5. Kuombewa lift...