slaa

Sex and Love Addicts Anonymous (SLAA) is a twelve-step program for people recovering from sex addiction and love addiction. SLAA was founded in Boston, Massachusetts in 1976, by a member of Alcoholics Anonymous (AA). Though he had been a member of AA for many years, he repeatedly acted out and was serially unfaithful to his wife. He founded SLAA as an attempt to stop his compulsive sexual and "romantic" behavior. SLAA is also sometimes known as the Augustine Fellowship, because early members saw many of their shared symptoms described by St. Augustine of Hippo in his work Confessions. COSLAA is another twelve-step fellowship created to support the family members and friends of sex and love addicts.
SLAA encourages members to identify their own "bottom-line behaviors." The organization identifies these behaviors as "any sexual or emotional act, no matter what its initial impulse may be, which leads to loss of control over rate, frequency, or duration of its occurrence or recurrence, resulting in spiritual, mental, physical, emotional, and moral destruction of oneself and others." Maintaining "sobriety" in the SLAA program requires abstaining from one's bottom-line behaviors. However, these behaviors are never set in stone and may change as SLAA members continue in the program. Examples of bottom-line behaviors might include sexual or romantic activity outside the scope of monogamous relationships, anonymous or casual sex, compulsive avoidance of intimacy or emotional attachment, one-night stands, compulsive masturbation, obsessive fantasy, compulsive attraction to unavailable or abusive partners, and a wide variety of addictive sexual, romantic, or avoidant behaviors.
Many of those practicing the SLAA recovery program develop the ability to engage in a healthy committed relationship. SLAA encourages recovery from sexual anorexia, emotional anorexia and social anorexia, three related areas of self-deprivation that lead to isolation and often accompany patterns of addictive behavior.SLAA publishes the book Sex and Love Addicts Anonymous. It is approved by the organization for use in their fellowship. In an article regarding the applicability of 12-Step fellowships to black women, Feminist theorist Christine Saulnier criticized the SLAA book, contending that it ignored the social and political circumstances under which sexual behaviors arise and are labeled deviant.

View More On Wikipedia.org
  1. P

    Je, kuna siasa katika utatutizi wa migogoro ya ardhi unaofanywa na Jerry Silaa?

    Mimi ni muumini wa watu wote wabunifu wanaopanga kutatua kero za wananchi. Waziri Slaa anaonekana kuwa mbunifu baada ya kuja na clinic za kutatua kero za migogoro ya ardhi. Jana akiwa Mbeya alionekana akitoa maamuzi ya mgogoro wa mtu anayeonekana ni Mchina ambaye kwa mujibu wa Waziri watu...
  2. M

    Jerry Slaa Kumbuka waonee huruma wananchi wa Sae Mbeya

    Leo alfajiri Tarehe 13/4/2024 limepita gari la matangazo katika jiji la Mbeya na vitongoji vyake kwamba waziri wa ardhi atakuwa ukumbi wa mkapa kusikiliza na kutatua KERO. Slaa unajua uamuzi wako uliotofautina na WA mtangulizi wako Lukuvi unavyowatesa wananchi wanaotakiwa kubomolewa makazi Yao...
  3. S

    Jerry Slaa: Nilishirikiana na Msama kupora eneo la shule ili amilikishwe mjane wa kigogo

    Jinai ni jinai tu, hata kama jinai hiyo inatendwa ili kumsaidia mjane wa kigogo. Kwenye clip hii (kuanzia dakika ya 1 na sekunde 3), Jerry Slaa anakiri kushirikiana na Msama kufanikisha mpango wa kumsaidia mjane wa kigogo mmoja kulinunua eneo la shule ya sekondari. Slaa aliitenda jinai hii...
  4. Erythrocyte

    Jerry Silaa: Alex Msama ni tapeli namba 3 wa Viwanja, ajisalimishe

    Promota wa Tamasha la Pasaka, Mtangazaji wa vipindi vya kwaya na Mgombea wa nafasi mbalimbali za uongozi huko CCM, Bwana Alex Msama ametajwa kuwemo kwenye 3 bora ya Matapeli Papa wa Viwanja DSM. ==== Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amemtaka Mkurugenzi wa Msama...
  5. chiembe

    Sakata la Jerry Silaa kuvunja majumba ya watu nchi nzima: Johnson Mahululu aidai serikali ya Tanzania bilioni 20

    Source: Youtube-wakiliTv, taarifa ya Wakili Dickson Matata Nilisema kwamba haya mambo ya kujifanya mwendesha mashitaka na hakimu anayofanya Jerry Silaa yasipoangaliwa, ataitia nchi hasara kubwa sana. Sasa watanzania wataingia hasara ya bilioni 20 ili kumlipa Johnson Mahululu baada ya Jerry...
  6. R

    Waziri Jerry Slaa una dhamira ya kutatua changamoto za ardhi, lakini unakiacha chanzo cha tatizo ambacho ni watumishi Idara ya ardhi utakwama

    Idara y ardhi matatizo wanayoyasababisha ni haya 1. Double allocation hii inafanywa makususdi na maafisa wa ardhi waandamizi 2.Vishoka ambao wanashirikiana na watumishi waandamizi wa Idara ya ardhi. Kwa kushirikiana na vishoka wanavamia eneo la mtu, wanapima kinyemela kwa kumtumia kishoka, idara...
  7. THE BIG SHOW

    Wilibrod Slaa na CHADEMA waache dharau kwa umma wa Watanzania

    Friends and Our Enemies, Sote tuna Kumbuka namna ambavyo Padre wilbroad slaa alivyokihama chama Hiko Cha chadema Kwa mbwembwe na mikogo na kusema kwamba Hawezi kukaa meza Moja na Fisadi Papa ambae by that time alikuwa anamaamisha ni marehem Lowasa. Slaa aliweka wazi wazi kwamba hakushiriki...
  8. M

    Kosa ambalo Mbowe analifanya katika siasa ni kumrudisha CHADEMA Dkt. Slaa

    Hili ni kosa kubwa la kisiasa ambalo Mbowe anataka kulifanya. Dkt. Slaa kama Lipumba wenye tamaa ya madaraka na waroho wa mali. Dkt. Slaa aliondoka CHADEMA kwa mbwembwe na kuimiza chadema kimkakati na kiakili. Hivi sasa baada ya kuona aliopo madarakani sio wa aina yake kaamua kuingia...
  9. Mjanja M1

    Pre GE2025 Dkt. Slaa athibitisha kushiriki maandamano ya CHADEMA jijini Mwanza

    Maandalizi ya maandamano ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), mkoani Mwanza yamefikia asilimia 90 huku miongoni mwa waliothibitisha kushiriki ni mwanasiasa mkongwe, Dk Wilbrod Slaa. Taarifa hiyo imetolewa jana Jumanne Februari 13, 2024 na Katibu wa Chadema Kanda ya Victoria, Zacharia...
  10. Juma Wage

    Dkt. Slaa: Viongozi kuwa mstari wa mbele kwenye maandamano sio lazima

    ALIYEKUWA Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Dkt.Wilbroad Slaa amesema pamoja na kutokushiriki katika siasa za jukwaani lakini hataacha kushirikisha uzoefu wake kwa vijana ili wautumie katika harakati zao. Slaa amezungumza hayo leo katika mahojiano maalum na Mwandishi wa JAMBOTV nyumbani kwake...
  11. Jaji Mfawidhi

    Jerry Silaa anaweza kupunguza matapeli Ardhi? Wana mtandao, wamejazana wizarani, wana makampuni!

    Kwenye ardhi kuna utapeli wa kila aina ndio mana lukuvi alipokuwa waziri wa ardhi alipiga marufuku baadhi ya makampuni yaliyokuwa yanapima viwanja na kuuza maana walisababisha migogoro mingi sana ya ardhi. Viwanja vinatangazwa kwenye maspika katika vituo vya daladala kama vile nguo za ndani...
  12. Jaji Mfawidhi

    Samia tangu arithi Urais 2020's, Jerry Silaa Pekee ndio mtendaji, Wengine wapeni jina!

    Jerry Slaa pamoja na mapungufu yake kisiasa hasa kulaumiwa kwa ubovu wa Barabara za Kivule na Gongo la Mboto kitu ambacho kinahitaji bajeti kubwa na inatoka kwenye wizara na ni nje ya uwezo wake, amejifumua uozo na urasimu uliopo kwa makamishan wa ARdhi Pale Wizarani Dar es salaam na Kibaha...
  13. Mr Sir1

    KERO Jerry Slaa, jimbo lako linakuhitaji barabara mbovu mno

    Jerry Slaa hebu weka muda kidogo kutoka kukataa hongo ya mil. 300 uje uangalie njia za Ukonga hasa ya Kitunda kuelekea Mwanagati. Hali ni mbaya mno huku. Hatujakuona toka ulipokuja kupiga kampeni.
  14. Sildenafil Citrate

    Pre GE2025 Wakili Mwabukusi: Mwaka 2020 nilikamata masanduku manne ya kura bandia za Rais

    Fuatilia yanayojiri kwenye mkutano wa waandishi wa Habari wa Dkt. Slaa, Mdude na Wakili Mwabukusi. https://www.youtube.com/watch?v=rm8wI2pHQ4s Mabadiliko ya Sheria yanayotaka kufanyika yanapasaswa kuendana na mabadiliko ya katiba. Huwezi kujenga. Tunashauri kwamba katiba ibadilishwe, tazama...
  15. P

    Dr. Slaa: Fungu la 23 la Ikulu halikaguliwi na CAG, tusipopiga kelele sasa milioni 150 keshokutwa itafikia bilioni 3

    Kwenye mazungumzo yaliyofanyika club house Dr. Slaa amesema kwa utaratibu anaoufahamu Rais hana mafungu makubwa kiasi hicho (milioni 150) kwaajili ya eneo moja, na fedha hizi zinawekwa katika kifungu cha Ofisi ya Rais na balaa ni kwamba fedha hizi hazikaguliki kwasababu fungu la 23 la Ikulu...
  16. R

    Pre GE2025 Dr. Slaa: Ni dhahiri Milioni 150 zilizotolewa na Rais Samia zimeingia kwa sura ya kampeni, anayebisha abishe!

    Kwenda kwenye ujenzi wa kanisa moja na kutoa milioni 150 wakati wananchi wanaishi maisha magumu, milioni 100 ingepelekwa maeneo hayo ya Moshi bei ya chakula ikashuka, ingesaidia maelefu, hii ndio kazi ya fedha za umma. Fedha hizi zinazotapanywa namna hii zinaingia kwa sura ya kampeni kama...
  17. R

    Ushauri: CHADEMA, Mrudisheni Dkt. Slaa chamani kuongeza morali ya ushindi

    Salaam, Shalom!! Ndugu Mnyika anafanya vizuri, lakini Bado hajafikia viwango vya Dr Slaa, Mnyika anaweza kupewa nafasi nyeti kuelekea uchaguzi huku Dr Slaa akifanikisha njia nyeupe Kwa chama. ZIFUATAZO, ni sababu kwanini CHADEMA inamuhitaji zaidi Dr Slaa. 1. KUFAIL KWA MARIDHIANO. Jambo hili...
  18. M

    Dr Slaa: RC Chalamila anaropoka hovyo kama na kujipendekeza kwa Rais Samia

  19. GENTAMYCINE

    Nasikitika wengi Wenu hamjatumia Akili Kubwa kumuelewa Waziri Jerry Slaa na Kauli yake juu ya Kupokea Rushwa

    Tuliosoma vyema Somo la Critical Thinking / Logical Reasoning Chuo Kikuu changu cha Geniuses watupu nchini cha Saint Augustine University of Tanzania ( SAUT Mwanza 'We Build the City of God' ) mwaka 2009 tumemuelewa Waziri wa Ardhi Jerry Slaa katika Angles zifuatazo.... 1. Kusema Kwake kuwa...
  20. J

    Jerry Silaa ni mtoto wa Dkt. Slaa?

    Kuna huyu waziri namsikia sana sasa hivi, Jerry Silaa. Je, huyu ni mtoto wa Dkt Slaa? Yule aliyekuwa Chadema? Maana wanasema mtoto wa simba ni simba. Naomba kuwasiliana
Back
Top Bottom