slaa

Sex and Love Addicts Anonymous (SLAA) is a twelve-step program for people recovering from sex addiction and love addiction. SLAA was founded in Boston, Massachusetts in 1976, by a member of Alcoholics Anonymous (AA). Though he had been a member of AA for many years, he repeatedly acted out and was serially unfaithful to his wife. He founded SLAA as an attempt to stop his compulsive sexual and "romantic" behavior. SLAA is also sometimes known as the Augustine Fellowship, because early members saw many of their shared symptoms described by St. Augustine of Hippo in his work Confessions. COSLAA is another twelve-step fellowship created to support the family members and friends of sex and love addicts.
SLAA encourages members to identify their own "bottom-line behaviors." The organization identifies these behaviors as "any sexual or emotional act, no matter what its initial impulse may be, which leads to loss of control over rate, frequency, or duration of its occurrence or recurrence, resulting in spiritual, mental, physical, emotional, and moral destruction of oneself and others." Maintaining "sobriety" in the SLAA program requires abstaining from one's bottom-line behaviors. However, these behaviors are never set in stone and may change as SLAA members continue in the program. Examples of bottom-line behaviors might include sexual or romantic activity outside the scope of monogamous relationships, anonymous or casual sex, compulsive avoidance of intimacy or emotional attachment, one-night stands, compulsive masturbation, obsessive fantasy, compulsive attraction to unavailable or abusive partners, and a wide variety of addictive sexual, romantic, or avoidant behaviors.
Many of those practicing the SLAA recovery program develop the ability to engage in a healthy committed relationship. SLAA encourages recovery from sexual anorexia, emotional anorexia and social anorexia, three related areas of self-deprivation that lead to isolation and often accompany patterns of addictive behavior.SLAA publishes the book Sex and Love Addicts Anonymous. It is approved by the organization for use in their fellowship. In an article regarding the applicability of 12-Step fellowships to black women, Feminist theorist Christine Saulnier criticized the SLAA book, contending that it ignored the social and political circumstances under which sexual behaviors arise and are labeled deviant.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Waziri Jerry Slaa: Mimi siyo Mtoto wa Maskini, baba yangu alikuwa Rubani. Nimekataa Rushwa ya Milioni 300

    Waziri wa Ardhi mh Jerry Slaa amesema kuna Wanasiasa wanaona Sifa kujiita Watoto wa Maskini Lakini yeye siyo Maskini baba yake alikuwa Rubani na hadi leo anakula hela ya Urithi. Mh Slaa ametuma salamu kwa mafisadi wote kwamba yeye hana Njaa na hapokei Rushwa kwa sababu Biblia imesema mla Rushwa...
  2. chiembe

    Waziri Jerry Slaa, Mtumishi wa Wizara yako akinunua ardhi ikawa na mgogoro, ni kigezo cha kumsimamisha kazi?

    Kidogo nimeshangazwa na habari inayotembea mtandaoni, mtumishi wa wizara ya ardhi anadai kununua ardhi, ardhi ikawa na mgongano na mtu mwingine, je hii ni sababu ya kumsimamisha kazi? Kwamba watumishi wa wizara wakinunua ardhi mitaani, ikawa na mgogoro hata wa mipaka, anasimamishwa kazi? Kwa...
  3. Erythrocyte

    Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika aanza ziara ya Kikazi Nchini Marekani

    Taarifa iliyotolewa na Chama chake imethibitisha .
  4. Nehemia Kilave

    Ni ipi hasa ilikuwa sababu ya kumsimamisha Edward Lowassa kama mgombea wa Urais CHADEMA 2015? Lipi lilikuwa kosa la Dkt. Slaa?

    Je, ni kuongeza kura ,wabunge ili kupata Ruzuku kubwa? Au kulikuwa hakuna mgombea anaefaa Chamani . Kama ni ruzuku, je kama hili lilikuwa linatosha kuhalalisha tuhuma zote za ufisadi zilizotolewa na viongozi wa CHADEMA dhidi ya EL na kumfanya awe msafi? Je, aliletwa kwa maslahi ya Wananchi au...
  5. Ngurukia

    Jerry Silaa, kama ulivyotembea kwa miguu kipindi unatafuta kura, tembelea tena uone hali ya barabara ya Kitunda

    Jerry Slaa, ulitembea kwa miguu kutoka Banana mpaka Kitunda kuomba kura. Leo hii baada ya kupata hizo kura hujaonekana tena. Ni fedheha kubwa kwa eneo ambalo ni mkabala kabisa na Airport kuwa na barabara ambazo zinatia aibu. Kuna mahandaki ambayo mtu mwenye gari ndogo anafirikiria mara mbili...
  6. Mwande na Mndewa

    Pauline Gekul ni zao la malezi ya Chadema, rejea Mahojiano ya Dkt. Slaa na Dar24

    Dkt Wilbroad Slaa alipoulizaa kuhusu suala la Tundu Lissu kupigwa risasi,anasema "siwezi kuzungumzia sababu utekaji upo ndani ya Chadema" “Kuna watu wananiuliza kuhusu Tundu Lissu kupigwa risasi, kuwa sipendi kulizungumzia hilo kwa kuwa sina taarifa zake za uhakika. “Nitoe mfano iliwahi...
  7. W

    Hivi 'single' ya Dkt. Slaa kuhusu DP World imeishia wapi?

    Alikuja na single yake ya bandari kwa speed sana. Katika kujaribu kuhakikisha inabamba vema masikioni mwa Watanzania akawashirikisha rapa kadhaa. Hata hivyo single imebuma mazima; haisikiki wala haitakiwi. Hivi shida ni nini wadau single ile kubuma kibudu namna ile? Karibuni.
  8. Roving Journalist

    Waziri Jerry Silaa awataka Watumishi wa Ardhi watoke ofisini waingie mtaani kuhudumia Wananchi

    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amewataka Watumishi wote wa Ardhi nchini kutoka maofisini na kwenda kutoa huduma ya wananchi kwa kuanzisha Kliniko ya Ardhi ambayo itafanua kazi kwa uwazi zaidi. Jerry Slaa ametoa agizo hilo wakati akikabidhi Hati za viwanja katika Mtaa...
  9. Dr Akili

    Dkt Slaa na wenzake wanashindwa kuelewa IGA ya DPW haiwezi kuwepo bila mabadiliko ya sheria yetu ya Natural Wealth and Resources Permanent Sovereignty

    Mikataba ya hadhi ya IGA (Intergovernmental Agreement) au BIT (Bilateral International Treaties) au MIT (Multilateral international Treaties) ni lazima ziendane na sheria za nchi husika vinginevyo ni null and void de novo. Hivyo kwa kuwa mkataba kati ya Dubai Emirate na Jamhuri ya Muungano wa...
  10. chiembe

    Jerry Slaa, ujenzi wa Ofisi za ardhi Kila Mkoa umefikia wapi? Tinazikumbuka zile bilioni 350! Sasa mnazua zogo, wakati Hela mnayo ya kutatua tatizo

    Mwaka huu katika bajeti, Kuna bilioni 350 za ujenzi wa Ofisi za ardhi Kila Mkoa zilizua zogo, sijaona hata dalili ya mtu kuchimba msingi hapa Dodoma Wala Dar es salaam. Basi hizo Hela zielekezwe kununua vifaa vya upimaji, upimaji uwe bure nchi nzima, wanaodai fidia ya viwanja, walipwe humo.
  11. P

    Serikali imeingia kwenye mtego wa kina Dkt. Slaa mazima, wametimiza lengo la kufungua maandano yao!

    Salam wa nyuki wa mama na team kupinga ubadhirifu, unyanyasaji na mikataba yenye kuleta hasara kwa nchi. Akina Slaa na Mwabukusi safari hii wamecheza kama pele, wametumia mtandao vizuri kucheza na akili za viongozi wa serikali na wamefanikiwa kwenye hilo. Sasa mapambano yanafanywa 'kisayansi'...
  12. R

    Dkt. Slaa: Polisi wamezingira nyumba ya Mwabukusi na Mdude

    Salaam , Shalom! Dr. Slaa amesema kuwa amefanikiwa kupata picha ya Police kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi. Ikumbukwe pia, usiku wa kuamkia leo, Police walivamia Nyumba ya Askofu Mwamakula wakimtafuta bila mafanikio. Nia ya kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi haijajulikana hadi sasa...
  13. Poppy Hatonn

    Happy Birthday. Leo ni birth day ya Dr. Slaa.

    Leo ni birth day ya Dr Slaa. Nimeona katika internet. Ingawa yeye alitamka October 28 ndiyo birth day yake. Namtakia Dr. Slaa afya njema na mambo yote mema;yeye,familia yake na rafiki zake.
  14. Teko Modise

    Jerry Slaa akagua daraja la Bilioni 17 jimboni kwake

    Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto. Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo. Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya...
  15. B

    Mwabukusi, Dkt Slaa, Mdude, Sauti ya Watanzania waongezewe Ulinzi

    Huu ni wito wa tahadhali kabla ya hatari. Beberu akiuita "security alert." Hali ya hewa imebadika, matumaini ya watanzania yaliyokuwa yamefifia mno, hatimaye ghafla yamefufuka. Mungu atupe nini Ya-Rabi sisi? Zama zile zilizokuwa zimepotea, ghafla zimerejea. Tena si kitoto, bali kwa...
  16. R

    Dkt. Slaa amerudi rasmi kwenye viwango vya juu vya siasa Tanzania; kuvuliwa Ubalozi kumempa umaarufu kuliko ubalozi wenyewe

    Dkt. Slaa ataendelea kuwa bingwa wa siasa za upinzani Tanzania. Atazidi kuchota wafuasi wengi awapo Duniani na baada ya kuondoka. Alitambua kwamba amefungwa kifungo cha kidiplomasia akapambana hadi akaondolewa minyororo ya kidlomasia na sasa amekuwa mtu huru. Amechanga karata na huku tuendako...
  17. Kamanda Asiyechoka

    Dkt. Slaa akamatwa kwa kufanya mkusanyiko usio halali huko Busokelo Rungwe

    Mwambata wa 'SAUTI YA WATANZANIA' na Mwanaharakati Dkt. Wilbroad Slaa, ameshindwa kufanya mkutano wake na waandishi wa habari uliotakiwa kufanyika mapema Jumatatu hii (Oktoba 09.2023) jijini Mbeya baada ya kuchukuliwa na maofisa wa Jeshi la Polisi kutoka hotelini alipofikia kwenda Ofisi ya...
  18. Poppy Hatonn

    Ni muhimu Dkt. Slaa na wenzake wasikamatwe

    Tunasikia mambo yanayotokea Mwanza. Hawa watu wanataka tu nafasi ya kutoa maoni yao. Kwa vile hawana nguvu,hakuna mtu anayetaka kuwasikiliza. Polisi wanatumia ukali sana kwa vile wanafikiria askari lazima awe mkali. Lakini mimi namkumbuka Brigadier General Moses Nnauye alivyokuwa mpole sana...
  19. Poppy Hatonn

    Dkt. Slaa na wanaharakati lazima watafute stove ya kujipikia chakula

    Sasa ni mambo gani yanaendelea Mwanza? Wanaharakati wataendelea kutafuta ukumbi wa mkutano au wataamua kuondoka Mwanza? Mimi nadhani wanahitaji kuwa na subira na atatokea mtu atawakaribisha mahali ambapo wanaweza kufanya mkutano. Siyo mkutano wa siku moja tu. Wanahitaji ukumbi wa kufanya...
  20. U

    Je, Dkt. Wilbroad Slaa anajipenyeza CHADEMA kiaina kuimaliza kazi aliyopewa na CCM?

    Siku chache kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015 Dr Wilbroad Slaa wakati huo akiwa GS wa CHADEMA na akiwa mchezaji tegemeo ktk safu ya ushambuliaji aliwatosa wenzake dakika chache kabla ya mchezo kuanza... Kila mtu (nikiwemo mimi) alipigwa na butwaa na mioyo ya matumaini ya ushindi dhidi ya CCM...
Back
Top Bottom