soka la bongo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Rais wa Yanga Eng. Hersi Said Aalikwa Mkutano wa ECA nchini Ugiriki

    Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa vilabu Barani Afrika, Eng.Hersi Said amealikwa kwenye Mkutano mkubwa wa vilabu Barani Ulaya [ECA], unaofanyika katika Mji wa Athen, Ugiriki. Hersi amepata Mwaliko huu kutoka kwa Mwenyekiti wa ECA na Rais wa PSG, Nasser Al-Khelaifi. Pia, Soma: => CAF Yapendekeza...
  2. FK21

    Maono yangu kuhusu mpira mwaka huu World Wide

    Haya yafuatayo ni mambo niliyo yaona Kwa mbele mwisho wa msimu huu katika soka itakavyokuws(FORESIGHT) 1. ARSENAL ACHAGUE KATI YA UEFA AU EPL. kitu Cha kwanza baada ya kuona uchezaji wao na wanavyo kaba compact wakifunga dirisha moja wapo wa kombe moja ni uhakika ngoja na captain ordegard aje...
  3. Waufukweni

    Tizi la Mnyama Simba wakijiandaa na mechi ya dabi dhidi ya mtani wao wa jadi Yanga SC

    Tazama sehemu ya mazoezi ya Simba wakiwa kambini kwao Mbweni Jijini Dar es Salaam. Kumbuka leo ni siku maalum ya waandishi wa Habari (Media Day) kufanya mazungumzo na viongozi, wachezaji na benchi la Ufundi la Simba.
  4. D

    Hakuna timu CAF ya kuitoa Simba makundi Wala robo fainali

    I will be short a big team is a big team. Simba is a big team. Big team is seen in big stages. Simba cafcc group it's Simba vs mid arabs teams. Simba has bigger budget. bigger fan base. bigger presence, no hard feelings but Simba will win almost all game in that group. am rooting for...
  5. covid 19

    Hivi CAF wanajua kwa huku Tanzania tukio la kupanga makundi tu limekuwa ni habari ya kitaifa?

    Nadhani wenyewe hawajui ila bora wangeweka HQ yao iwe Dar tu kwakeli. Huku Tanzania toka jana habari ya mjini ni makundi yaliyopagwa huko CAF champions league na CAF confederation cup. Hii nchi watu wanapenda mpira kuliko chochote nadhani serikali ifanye jambo kuifanya Tanzania kuwa kama...
  6. Metronidazole 400mg

    Yanga hamna kitu; Kombe la shirikisho (CAFCC ) mnaliponda alafu hapo hapo mnalisifia

    Droo imepangwa, lakini ni Kama mashabiki wa utopolo imewaumiza kuona Simba anaenda fainali kabla hata ya kucheza. Kinachonishangaza wameanza kuikisoa CAFCC ( Ambao wao pia walicheza ), na kusema ni kombe la "WAMAMA" kwa maelezo Yao kuanzia hapa JF, mitandaoni na hata mitaani Ila kinachoniacha...
  7. Brojust

    Kati ya Simba SC na CRDB Plc ni ipi inafaidika na udhamini?

    Salaam Big thinkers Kwanza angalia hii picha vizuri kwenye nembo ya CRDB kwanini imewekwa BLACK Then, watalamu wa Branding na marketing tusaidieni kujibu haya maswali. 1. Kwanini CRDB hajaweka green kama kawaida ameweka Black. 2. GSM na ukubwa wake wote still ameweka Black pia kwenye logo...
  8. MwananchiOG

    Simba SC yapewa ONYO na BMT kuhusu uvunjanji wa Katiba na Uongozi mbovu

  9. L

    Mambo 15 ya Kuwashauri Viongozi wa Simba baada ya kuambulia Sare vs Coastal Union Leo

    Mambo 15 ya kuwashauri viongozi wa Simba 1. Mikakati ya Yanga ni migumu nyie kuijua hivyo Yanga anaweza kubeba ndoo miaka 10 mfululizo 2. ⁠Msitumie neno Ubaya Ubwela vibaya coz mwisho wa msimu mtakosa cha kutuambia mashabiki wenu 3. ⁠Bado kuna wanafiki wapiga dili ndani ya timu yetu ambao sio...
  10. feyzal

    Baada ya kufanya mazoezi KMCC, Simba imeanza kufeli

    Napata sana mashaka na hili jambo. Iko hivi siku zote inajulikana uwanja wa mazoezi wa Yanga ni Avic town huko ndo kuna kambi yao na mazoezi yao. Lakini baada ya msimu kuanza na simba kua na speed kali ya kutia watu dozi kubwa katika uwanja huo,utopolo nao wakaenda kufanya mazoezi hapo jambo...
  11. William Mshumbusi

    Mgunda alishindaje gemu zake na akina Chasambi na Kabaraka. Tena bila upendeleo. Huyu ana Mavambo, Ahoua, Ateba anawaua na refa lakini wapi

    Kuna vitu huwezi kufoji kabisa. Ukiwa na kocha mbovu utalaumu wachezaji bure tu. hamtaki onana, fred na mh. Hilo linauzi mnooo. Kocha ashindwe kila timu aje aibukie simba. Hakuna mtu kabisa hapo
  12. Dalton elijah

    Anayefahamu kwanini Lamek Lawi hakuwa sehem ya Mchezo wa leo dhidi ya Simba

    Mechi Imetamatika Ikishuhudiwa Simba akiondoka na Sare ya goli Mbili Kwa Mbili Dhidi ya Coastal Union (Wana Mangushi). Lakini Mjadala Unabaki Kwa Nini Lamek Lawi Hakuwa Sehem ya Kikosi Cha Coastal union kilicho Cheza Mchezo Wa Leo Dhidi ya Simba. Soma Pia: Simba wakubali yaishe kwa Lameck...
  13. Boss la DP World

    Laana za kocha Mgunda zimeanza kututafuna.Tajiri mwenzangu Mo tafadhali omba radhi

    Huyu kocha Juma Mgunda ameitendea mengi timu yetu lakini huwa tunamtreat vibaya mno. Juzikati tumemfukuza kazi, na leo ameanza makeke. Tukienda mkwakwani tunakula 2-0. Hongera sana Camara, kipa la NBCPL. Soma Pia: FT: Simba SC 2-2 Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024
  14. King Jody

    Simba SC siyo timu ya kuiamini

    Nilitegemea Simba watapata ushindi tena mnono kulingana na status za timu zote mbili ni kama mbingu na ardhi, Leo Simba wamenikera sana, mbaya zaidi wamenichania mkeka, nimekwazika mno. Hata dabi ya October 19 nina wasiwasi inaweza kuahirishwa tofauti na hapo Simba inaweza kuchapwa kwa mara...
  15. William Mshumbusi

    Simba Kama ilitaka kocha mzungu, Mpenda vijana na mkuza vipaji basi Julien Chevalier wa Asec. Kama ni huyu Fadlu. Bila bahasha tunaweza shuka daraja

    Julien yupo Asec toka 2017. Kila mwaka anauza nyota wote lakini msimu unaofata anakiwasha kimataifa. Kajaza nyota kibao ulaya na Africa. Tunaenda kuchukua kocha mshusha viwango. Aliishusha kiwango Orando Pires wakamfukuza. Akarudi timu ya awali Murtzsburg akaishusha daraja kabisa. Na huko...
  16. L

    Mambo 12 niliyoyaona leo Simba Vs Coastal Union

    1. Kocha Fahdu na Jean Charles Ahoua ndio walioiua Simba leo, Ahoua yuko slow, mchoyo na hajui kupiga faulo, kila nikitoa maoni mnatukana leo mmeona 2. Jean Charles Ahoua kama ndio MVP ligi ya kwao basi Ditram Nchimbi ana uwezo wa kucheza soka Ivory Coast 3. Kama Simba ingecheza na timu nzuri...
  17. ngara23

    Mtego wa Yanga, Sasa umeanza kunasa

    Watu walianza kushangilia ushindi wa goli nyingi Kwa kucheza na wagonjwa yaani team ya Fountain gate na Tabora United ambao wachezaji wao walikuwa hawajakamilisha vibali mkawapiga mkataba mpaka BBC, Yanga tukawachek tukaaema mtanasa tu Sisi taratibu tukaanzia Away mechi mbili za mwanzo...
  18. William Mshumbusi

    Kocha mwenye sifa za kuporomosha kila timu anayopewa. Fadlu David kaishaua uwezo wa kila mchezaji Simba Na mbeleko zote toka mechi ya Azam

    Sikuwaelewa Simba kwa Fadlu David. Record mbovu mno aakiwa kocha mkuu. Anakuja kupewa timu kwa record za akiwa asistance kocha. Kila timu ikienda mapumziko inarudi ikiwa mbovu kuliko awali. Timu ilishinda kwa uwezo binafsi tu wa wachezaji sio mfumo. Mechi ya mbili za awali Simba inabebwa...
  19. Shooter Again

    Refa amepiga filimbi ya kumaliza mpira baada ya kuona Simba SC wanataka kufungwa goli nyingine

    Leo tumeona maamuzi mabovu ya refaree mechi ya Simba SC vs Coastal Union Mwamuzi kamaliza mpira mchezaji akiwa kwenye move ya kufunga goli hivi hizi mbeleko mpaka lini Hawa Simba SC aisee naagiza huyu refa afungiwe Simba SC hoi huko KMC Complex tukiwaambia timu hamna hapo wanakataa haya Leo...
  20. Mkalukungone mwamba

    FT: Simba SC 2-2 Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024

    Simba SC VS Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024 Mechi itachezwa uwanja wa KMC Complex saa 10: 15 Jioni
Back
Top Bottom