soka la bongo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. UMUGHAKA

    Biashara United aliwafunga hao waarabu Koko wakiwa wamoto vibaya mno,Leo nyie mnawafunga wakiwa wamejichokea mnashangalia

    Nsikuchoshe na Usinchoshe,Tusichoshane! Nimesikia mnatamba ya kwamba kwasasa hata aje nani atapigwa tu! Tunaomba hadi tarehe 19 ya mwezi Ujao huyo Mpanzu awe amepewa vibali vya Kucheza maana hatutaki visingizio siku hiyo! Zikipungua sana siku hiyo zitakuwa 5! Soma Pia: FT: Simba SC 3-1 Al...
  2. L

    Wanasimba wenzangu naomba tuwe na shukurani,Manula aheshimiwe

    Hongera sana Simba,timu ya mfano Tanzania na Africa mashariki. Timu wa kipimo Cha timu nyingine, Timu waanzilishi wengine wanafuata,Timu bunifu,wengine wanafuata, Timu yenye hadhi inayolipatiaga taifa heshima. Nawaomba sana tumpe heshima Aishi Manula Aishi Manula ameitoa Simba mbali sana. Huyu...
  3. Shooter Again

    Hatimaye Simba SC yafuzu kombe la walioferi(CAF Cofenderation cup)

    Hatimaye klabu ya simba yafuzu kombe la mbumbumbu walioferi aisee kweli mwaka huu Kuna vichekesho wenzao yanga wapo klabu bingwa ya mabingwa wao wamefuzu kombe la walioferi wanashangilia kama wamechanganyikiwa Fulani hivi haya fikeni fainali Hilo kombe la walioferi maana ndio kipimo hongereni...
  4. D

    Shida ya simba ni namba 10, au winga ya Mpanzu?

    Simba naona shida ni number10. simba aitengenezi nafasi za kutosha , magori ni chances created. Simba inacheza big games, inatengeneza 2-3 chances . ila small games mpira unaonekana sana. huyu Mpanzu winger wa nini simba?? na chances ndo shida yetu. wanasimba ebu tuongee mpira, shida ya hiki...
  5. Mkalukungone mwamba

    Almas Kasongo: Mashindano ya CHAN yatavuruga ratiba ya Ligi NBC na mashindano mengi

    Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Almas Kasongo amesema kuwa michuano ya CHAN itapangua ratiba ya Ligi NBC na mashindano mengi hivyo maofisa wa ligi tangu jana wameanza kukaa kwa ajili ya kufanya mabadiliko ya ratiba ili kwenda sawa na ushiriki wa mashindano ya CHAN. “Tumepokea hiyo ratiba ya Chan...
  6. GENTAMYCINE

    Uongozi wa Simba SC tafadhali nawaomba katika Press Conference ya Kesho na Pre Match Meeting msimteue Shomary Kapombe aende kwani ana Nuksi

    Kama hatoenda Nahodha mwenyewe Mohammed Hussein Zimbwe Jr basi aende hata Kelvin Kijiri tu inatosha sawa?
  7. Waufukweni

    Tetesi: Elie Mpanzu amekamilisha usajili wa kujiunga na Simba SC, mkataba wa miaka mitatu

    Simba ilipambana sana kuisaka saini ya winga machachari aliyeitumikia AS Vita kwa mafanikio, Elie Mpanzu lakini jitihada hazikuzaa matunda baada ya mchezaji huyo wa DR Congo kutimkia Ubelgiji kwa ajili ya majaribio lakini hakufanikiwa na kurudi kwao Congo. Taarifa mpya ni kwamba Mpanzu...
  8. Tajiri Tanzanite

    Kwanini Yanga huwa wanapangiwa timu dhaifu na mbovu?

    Hapo vip!! Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu. 1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja hawana maskini,image wamecheza na Pamba wakafungwa,ni timu ambayo kwa ubora haitatofauti na Mbeya...
  9. ngara23

    Nimeshangaa Mchambuzi TV-E anasema Dube anapigwa misumari( kurogwa) pale Yanga

    Tanzania vituko haviishi yaani Mchambuzi aliyesoma akiwa live kabisa. Anasema Dube kukosa nafasi ni laZima analogwa na washambuliaji wenzake akina Musonda, Mzize na Baleke Huyu bwana haamini katika mpira hajui mpira wa Sasa ni sayansi. Yaani ligi imechezwa mechi 1 na mechi 2 za CAF jamaa...
  10. S

    Kama ningekuwa kwenye benchi la ufundi la klabu ya Simba SC ningependekeza kikosi hiki

    Simba SC ni timu ambayo imeshajijengea jina kubwa barani Afrika hivyo ukubwa huo unatakiwa kuonekana kwenye kila mashindano inayoshiriki. Kuna wachezaji ambao hawasitahili kuanza kwenye first eleven ya mwalimu, baadhi ya wanyezaji hao ni; Balua, Shomari Kapombe: ( amekuwa uchochoro wa adui...
  11. Komeo Lachuma

    Nimemuona Kagoma. Simba imrudishe Kagoma ni mali yetu. Acheni figisu ni bonge la mchezaji

    Simba wametufanyia uhuni. Kagoma jana aliwafanya waarabu wakimbie pale kati. Wakaamua kukimbilia pembeni. Jamaa si mwoga kabisa. Na ni mjeuri jana kacheza kama vile ni mzoefu. Yanga hii mali tuliiwahi. Simba wamekuja kutupora. Mungu anawaona nyie Mkia. Tunawapeleka CAS. Soma Pia: Mwanasheria...
  12. Waufukweni

    Simba wakubali yaishe kwa Lameck Lawi, aanza kwenye kikosi cha Coastal Union dhidi ya Mashujaa FC

    Beki wa kati, Lameck Elias Lawi, ameanza rasmi leo katika kikosi cha Coastal Union kinachocheza dhidi ya Mashujaa FC, mechi ya ligi kwenye uwanja wa KMC Complex. Lawi amejiunga na Coastal Union baada ya majadiliano ya muda mrefu kati ya Simba Sports Club na Coastal Union, ambapo Simba ilikubali...
  13. Waufukweni

    Rais Samia ameizawadia Serengeti Girls Milioni TSh 30 kwa Kutwaa Ubingwa wa Unaf

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameizawadia timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 17 ‘Serengeti Girls’ kiasi cha Sh30 milioni baada ya kutwaa ubingwa wa Unaf huko Tunisia wiki iliyopita. Fedha hizo zimekabidhiwa Septemba 11, 2024 na Waziri wa Utamaduni...
  14. The introvert

    Kengold FC wavaa jezi yenye udhamini tofauti juu Puma chini Nike

    Wakuu tujadili kidogo huu udhamini upoje ndani ya timu inayoshiriki kwenye ligi nambari 6 kwa ubora Barani Africa, juu PUMA dhahabu chini NIKE kijani.
  15. M

    Gamondi hamna kitu ana bahati ya kuwa na wachezaji wazuri na ndio wanaombeba!

    Ana bahati ya kuwa na wachezaji wazuri na ndio wanaombeba!! Anapewa sifa asizostahili!! Wachezaji wa Yanga hata ukimpa Julio anaweza kutinga fainali CAF champions league!! Gamondi hamna kitu!!
  16. Waufukweni

    Mwigulu: Feisal ukishatoka Simba uje Singida

    Mdau wa michezo, Mwigulu Nchemba ambaye pia ni Waziri wa Fedha, ameeleza matamanio yake ya kuona kiungo wa Azam FC na timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars", Feisal Salum (Fei Toto) akiichezea klabu ya Singida Big Stars baada ya kuvitumikia vilabu vya Yanga, Azam na Simba. "Mwanangu buana...
  17. Allen Kilewella

    Watu wa Mpira Bongo jifunzeni Kifaransa. Mtaendelea kuaibika mpaka lini?

    Kama timu za Tanzania zitaendelea kuchukua makocha na wachezaji toka nchi zinazozungumza kifaransa, basi kuijua lugha ya kifaransa ni muhimu na lazima. Wachezaji wetu wa ndani,wachambuzi wa Mpira, waandishi wa habari na makocha wetu, lazima wajue pamoja na kuujua Mpira, lakini mafanikio ya...
  18. Waufukweni

    Ahmed Ally atoa kauli kuhusu sakata la Yusuph Kagoma na Yanga SC

    Mmesikia huko 😂 Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, ametumia ukurasa wake wa Instagram kuelezea kuhusu mchezaji wao, Yusuph Kagoma, na uvumi unaozunguka hatma yake. Ahmed Ally ameandika: "Klabu yenu inampenda sana Yusuph Kagoma, yaani kila mkilala mnamuota. Roho zinawauma...
  19. Waufukweni

    Tetesi: Mpanzu alilia Simba baada ya kufeli KRC Genk, hataki tena ucheza AS Vita

    Inaelezwa kuwa Winga hatari wa DR Congo, Ellie Mpanzu amefeli majaribio yake na KRC Genk, kwa sasa amerejea Kishansa kuangalia mustakabali wa maisha yake, ukweli ni kwamba Mpanzu hataki tena kucheza AS Vita Club, ingawa bado wanajaribu kumshawishi. Inaelezwa kuwa Simba wapo kwenye nafasi nzuri...
  20. Labani og

    Taifa stars inaweza beba Hadi world cup kama ipo chini ya benchi la ufundi la Yanga SC

    Salaam wakuu.... Leo nilikua nafuatilia mechi za Yanga plus mazoezi yao ....na Yale mazoezi ya mchezaji mmoja mmoja .... kwakweli hawa jamaa wanatisha Ndipo nmeamini Kwann makolo walikuwa wanasema wachezaji wa Yanga wanatumia sawa za ku boost nguvu.....Ili kuwa na Kasi zaidi So Kwa huu...
Back
Top Bottom