soka la bongo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    Nina wasiwasi na aliyekuwa mwenyekiti wa Simba anaitaka tena nafasi yake ili aifunge Yanga

    Nimekuwa nikifuatilia sana mahojiano ya huyu muha akizungumzia kufungwa kwa Simba na Yanga kila mara. Ninaanza kuwa na mtizamo tofauti juu ya azma yake kwa Simba. Huyu mtu anahitaji kuwa mwenyekiti na hivyo hata mkifanyaje, ataendelea kushirikiana na adui Simba ifungwe ili mumtimue mwenyekiti...
  2. Ubaya Ubwela

    Baada ya mechi ya Tabora na Yanga kukaribia TFF waufungia Uwanja waAlly Hasani Mwinyi uliokua unatumiwa na Tabora United

    Hizi ni hujuma na rushwa za waziwazi wameona mechi dhidi ya Yanga imekaribia ndo wameamua kuufungia Uwanja, cha Ajabu Mzunguko wa kwanza wote Tabora wamecheza pale mechi zao zote na huu mzunguko wa pili na Leo hii umetumika Tff wanajiaibisha sana Anguko la Karia litakua la aibu sana (GSM)...
  3. Vincenzo Jr

    FT: Pamba Jiji FC 0-3 Yanga SC | NBC Premier League | 28 Februari, 2025 | CCM Kirumba

    PAMBA JIJI FC🆚YOUNG AFRICANS SC 📅28.02.2025 | 🏟️CCM KIRUMBA | ⏱️4:15PM Karibu kwa update za mchezo wa Leo Kikosi kinachoanza dhidi ya Pamba Jiji Mpira umeanza Dakika ya 1 Mwamnyeto amefanya madhambi Dakika ya 6 Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi Dakika ya 7 Max nzengeli anakosa nafasi ya wazi...
  4. M

    Viongozi wangu wa Simba ongezeni sana jitihada kwenye kamati za ufundi kama wanavyofanya Yanga, leo Azam ametoka sare wakati sisi katukomalia

    Mechi ambazo tunatoka sare unaona kabisa tumezidiwa mambo ya nje ya uwanja na nina wasiwasi sana kuelekea tarehe 8, tulikomaliwa na Fountain Gate kwa mambo ya nje ya uwanja, Azam naye akatuwekea ngumu kwa kusaidiwa na utopolo, huwa mara nyingi sana Azam wanaombaga msaada utopolo wakitaka...
  5. Labani og

    Pamba yaahidiwa 100million na GSM kama itaifunga Yanga

    [emoji599] Taarifa kutoka jijini Mwanza; Mdhamini Mkuu wa Pamba Jiji, GSM ametoa ahadi ya kitita cha Sh milioni 100 kama hamasa kwa wachezaji wa Pamba kuibuka na ushindi dhidi ya Yanga hapo kesho kutwa Ijumaa. Sasa endeleeni kusema Yanga inapitia kwenye slope.....wakati wapinzani wake wanapewa...
  6. SAYVILLE

    Nini kimeikumba timu ya Simba baada ya mechi ya Dodoma Jiji kuahirishwa?

    Huu uzi nautoa kama tahadhari ili kama kuna sehemu ya kusafisha ifanyike haraka. Sitaenda kumnyooshea mtu kidole wala kumlaumu mtu bali ninachotegemea ni wahusika kuangalia mambo kwa jicho la tatu. Baada ya gemu ya Dodoma Jiji kuahirishwa, Simba ililazimika kukaa siku kadhaa zaidi ya timu...
  7. gonamwitu

    Azam wewe ni ndugu yetu wa damu, tunakutuma ukamfunge Yanga mtakapokutana

    Kumbuka Bakhresa ambaye ni mmiliki wa azam ni mwanachama wa SIMBA na amewahi kuwa muweka hazina wa timu ya Simba kwahiyo sisi ni ndugu wa damu. Tunakutuma utakapokutana na Yanga mpige chuma 3 bila, tena magoli yote yawe ni magoli ya tobo.
  8. GENTAMYCINE

    Leo namalizia rasmi Unujumu / utabiri wangu wa uhakika juu ya Simba SC na Ubingwa wa NBC Premier League

    Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kuwa NUJUMU / TABIRI zangu kwa 95% huwa zinaenda vyema na kwa za hivi karibuni Mbili za Simba SC na Singida Fountain Gate FC na Simba SC na Azam FC zimeenda vile vile nikimaamisha kufanikiwa kwa 100% Hivyo basi GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game...
  9. SAYVILLE

    Kinachoigharimu Simba ni kupoteza focus katika nyakati muhimu

    Simba imefanya usajili mzuri sana msimu huu na imepambana sana katika mashindano yote ambayo imeshiriki mpaka sasa. Mechi zote ambazo Simba imepoteza msimu huu au kutoka sare ni kwa sababu ya makosa ambayo chanzo chake kikuu ni kupoteza focus au umakini. Hii inaonyesha timu ni imara sana ila...
  10. THE FIRST BORN

    Fadlu kaharibu game ya leo

    Kocha badala aelewe goli alilopata limetokana na foul ya Mchongo so awahimize wachezaji na awaite awakumbushe makosa wanayofanya au afanye Substitution ya Ateba na Mpanzu maana second half walikua Liability tu..na Azam alionekana ana dominate sana... Lenyewe baada ya goli likawa linaonyeshwa...
  11. holoholo

    Full Time: Mashujaa FC 0-5 Yanga SC| NBC Premier League | Lake Tanganyika | 23.02.2025

    Leo majira ya saa 10:15 jioni pale katika dimba la LAKE TANGANYIKA Kigoma, Mabingwa watetezi wa NBC PL, YOUNG AFRICAN SC watashuka dimbani kupepetana vikali dhidi ya wenyeji wao MASHUJAA FC! usikose kufuatilia mchezo huu kupitia Azam Sport HD2 na kupitia TBC Taifa kwa matangazo ya Radio...
  12. C

    Wachezaji wanaotumwa na Yanga kufanya uhuni waadhibiwe

    Tunahitaji waamuzi wakali wasimamie sharia zote za soka bila kuangalia mtu usoni. Wachezaji wanapaswa kujua soka ni uwekezaji mkubwa na lazima wawe na nidhamu na soka.Wafanye bidii kwenye mazoezi,sio kuvuta bangi na kupania mechi waliyoahidiwa mapesa na wasiolitakia mema soka letu. Maana kuna...
  13. R

    yajue matawi ya Simba na Yanga, wanapocheza na tawi lao wanapewa nafuu lakini kwa timu ya tawi pinzani nati zinakazwa

    MUHIMU Unaweza kuidhamini timu lakini bado ikawa upande wa adui yako !! Kuna muda tawi linaweza kukazi upande wao, si kila mechi ni mtelezo SIMBA Azam (Timu nyingi zinakuja na kupotea ila azam ni habari nyingine, hawajatoka nje ya tatu bora tangu 2016 ) Coastal Union Tabora United JKT...
  14. Pdidy

    Hizi pesa za nbc leaugue nashauri benki yetu pendwa nsaidie yatima na wajane kwa matukio ya marefa kaburibuni tuna dhambi kubwa sana

    Tumwinbe Mungu sala ZETU ziwafikie mzifanyie kaziii NASHAURI kwa MATUKIO machafu yanayoendelea LIGI ya NBC via marefa Naomba mwakan muwaachie wenyewe wapambane na hali zaooo Hizi PESA za WAAMUZI zinaonekana aziwatoshi kabisa na sasa wameona wanxe kuharibu mechi za LIGI yetu Mungu atusaidie...
  15. M

    Yanga msipoteze muda kuwajibu wapuuzi, mechi ya Namungo VS Simba leo imemaliza kelele zote, toeni vichapo bila kumuangalia anayebweka!

    Yanga msiendelee kupoteza mda wenu kujibizana na wapuuzi kama wachambuzi ambao baadhi yao tunajua wako kwenye payroll ya Mhindi! Kilichotokea Leo pale Ruangwa Kila mtu kaona kwaiyo msicheke na nyani endeleeni kutoa vichapo kivyovyote ilimradi point 3 ziingie kapuni,, Tutaendelea kukusanya...
  16. Morning Glory1

    Azam media na NBC amkeni kwenye usingizi. TFF, bodi ya ligi na kamati ya waamuzi inawaharibia biashara

    Azam media na NBC bank inamana bado hamjaliona hili...ukiangalia mechi ya leo ya simba na namungo jinsi refa halivyoboronga mechi hakuna mtanzania atakaetamani kulipia 28,000 yake kuangalia uozo kama huu unaoendelea kwenye ligi yetu Refa anatoa kadi nyekundu ambayo haieleweki...refa ametoa...
  17. holoholo

    FT: Namungo FC 0-3 Simba SC | NBC PL | 19.02.2025

    Katika mwendelezo wa Ligi Kuu ya NBC, Mabingwa watetezi wa kombe la Muungano Simba SC watashuka dimbani kumenyana vikali kuzisaka alama tatu ugenini dhidi ya Namungo FC mjini Luangwa Lindi majira ya saa 12:30 Jioni Kila la kheri na mchezo mzuri kwa timu zote mbili. Updates za vikosi vya timu...
  18. L

    Chasambi hilo kapu la Hela litunze kama ukumbusho

    Wonder Boy Chasambi nakupa hongera sana kwa kurudi kibabe mchezoni baada ya kujifunga kwa bahati mbaya na kupelekea majonzi makali kwa mashabiki wa Simba na kupeleka furaha kubwa kwa mashabiki wa Yanga. Ulitukanwa sana, ulidhihakiwa sana na walitaka kukutumia wewe kama ngazi ya kupeleka tafrani...
  19. C

    Hivi kwa nini huwa ni rahisi kwa Yanga kuwashawishi baadhi ya wachezaji wa timu pinzani waharibu na kucheza chini ya kiwango?

    Jambo hili linanifikirisha sana hasa nikifikiria wale wanaokula 5 halafu inawasajili kama wachezaji bora huku wanapotoka wanaoneka hawafai. Kitendo hiki cha nyuma mwiko sio kigeni kwenye ligi yetu. Unaweza kuta mchezaji akakubali kulipwa mshahara mdogo sana utopolo ila anaifia timu wakati kuna...
  20. M

    Ushauri wangu wa bure kwa viongozi wa Simba kama kweli mko serious na mnataka ubingwa msimu huu?

    Mechi ya leo tutamlaumu bure Chasambi na kumsingizia kila jambo, ila ukweli unafichwa.Ukweli ni kuwa watu wanaosafiri na timu yetu mikoani sio waadilifu, wameanza kutuchomesha mahindi, mimi nilikuwa kimya kwa muda mrefu na nilitamani siku moja niwatahadharishe Simba kabla ya hata mechi na Tabora...
Back
Top Bottom