Nimekuwa nikifuatilia sana mahojiano ya huyu muha akizungumzia kufungwa kwa Simba na Yanga kila mara.
Ninaanza kuwa na mtizamo tofauti juu ya azma yake kwa Simba. Huyu mtu anahitaji kuwa mwenyekiti na hivyo hata mkifanyaje, ataendelea kushirikiana na adui Simba ifungwe ili mumtimue mwenyekiti...
Hizi ni hujuma na rushwa za waziwazi wameona mechi dhidi ya Yanga imekaribia ndo wameamua kuufungia Uwanja, cha Ajabu Mzunguko wa kwanza wote Tabora wamecheza pale mechi zao zote na huu mzunguko wa pili na Leo hii umetumika
Tff wanajiaibisha sana Anguko la Karia litakua la aibu sana (GSM)...
PAMBA JIJI FC🆚YOUNG AFRICANS SC
📅28.02.2025 | 🏟️CCM KIRUMBA | ⏱️4:15PM
Karibu kwa update za mchezo wa Leo
Kikosi kinachoanza dhidi ya Pamba Jiji
Mpira umeanza
Dakika ya 1
Mwamnyeto amefanya madhambi
Dakika ya 6
Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 7
Max nzengeli anakosa nafasi ya wazi...
Mechi ambazo tunatoka sare unaona kabisa tumezidiwa mambo ya nje ya uwanja na nina wasiwasi sana kuelekea tarehe 8, tulikomaliwa na Fountain Gate kwa mambo ya nje ya uwanja, Azam naye akatuwekea ngumu kwa kusaidiwa na utopolo,
huwa mara nyingi sana Azam wanaombaga msaada utopolo wakitaka...
[emoji599] Taarifa kutoka jijini Mwanza; Mdhamini Mkuu wa Pamba Jiji, GSM ametoa ahadi ya kitita cha Sh milioni 100 kama hamasa kwa wachezaji wa Pamba kuibuka na ushindi dhidi ya Yanga hapo kesho kutwa Ijumaa.
Sasa endeleeni kusema Yanga inapitia kwenye slope.....wakati wapinzani wake wanapewa...
Huu uzi nautoa kama tahadhari ili kama kuna sehemu ya kusafisha ifanyike haraka. Sitaenda kumnyooshea mtu kidole wala kumlaumu mtu bali ninachotegemea ni wahusika kuangalia mambo kwa jicho la tatu.
Baada ya gemu ya Dodoma Jiji kuahirishwa, Simba ililazimika kukaa siku kadhaa zaidi ya timu...
Kumbuka Bakhresa ambaye ni mmiliki wa azam ni mwanachama wa SIMBA na amewahi kuwa muweka hazina wa timu ya Simba kwahiyo sisi ni ndugu wa damu.
Tunakutuma utakapokutana na Yanga mpige chuma 3 bila, tena magoli yote yawe ni magoli ya tobo.
Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kuwa NUJUMU / TABIRI zangu kwa 95% huwa zinaenda vyema na kwa za hivi karibuni Mbili za Simba SC na Singida Fountain Gate FC na Simba SC na Azam FC zimeenda vile vile nikimaamisha kufanikiwa kwa 100%
Hivyo basi GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game...
Simba imefanya usajili mzuri sana msimu huu na imepambana sana katika mashindano yote ambayo imeshiriki mpaka sasa.
Mechi zote ambazo Simba imepoteza msimu huu au kutoka sare ni kwa sababu ya makosa ambayo chanzo chake kikuu ni kupoteza focus au umakini. Hii inaonyesha timu ni imara sana ila...
Kocha badala aelewe goli alilopata limetokana na foul ya Mchongo so awahimize wachezaji na awaite awakumbushe makosa wanayofanya au afanye Substitution ya Ateba na Mpanzu maana second half walikua Liability tu..na Azam alionekana ana dominate sana...
Lenyewe baada ya goli likawa linaonyeshwa...
Leo majira ya saa 10:15 jioni pale katika dimba la LAKE TANGANYIKA Kigoma, Mabingwa watetezi wa NBC PL, YOUNG AFRICAN SC watashuka dimbani kupepetana vikali dhidi ya wenyeji wao MASHUJAA FC!
usikose kufuatilia mchezo huu kupitia Azam Sport HD2 na kupitia TBC Taifa kwa matangazo ya Radio...
Tunahitaji waamuzi wakali wasimamie sharia zote za soka bila kuangalia mtu usoni.
Wachezaji wanapaswa kujua soka ni uwekezaji mkubwa na lazima wawe na nidhamu na soka.Wafanye bidii kwenye mazoezi,sio kuvuta bangi na kupania mechi waliyoahidiwa mapesa na wasiolitakia mema soka letu.
Maana kuna...
MUHIMU
Unaweza kuidhamini timu lakini bado ikawa upande wa adui yako !!
Kuna muda tawi linaweza kukazi upande wao, si kila mechi ni mtelezo
SIMBA
Azam (Timu nyingi zinakuja na kupotea ila azam ni habari nyingine, hawajatoka nje ya tatu bora tangu 2016 )
Coastal Union
Tabora United
JKT...
Tumwinbe Mungu sala ZETU ziwafikie mzifanyie kaziii
NASHAURI kwa MATUKIO machafu yanayoendelea LIGI ya NBC via marefa
Naomba mwakan muwaachie wenyewe wapambane na hali zaooo
Hizi PESA za WAAMUZI zinaonekana aziwatoshi kabisa na sasa wameona wanxe kuharibu mechi za LIGI yetu
Mungu atusaidie...
Yanga msiendelee kupoteza mda wenu kujibizana na wapuuzi kama wachambuzi ambao baadhi yao tunajua wako kwenye payroll ya Mhindi!
Kilichotokea Leo pale Ruangwa Kila mtu kaona kwaiyo msicheke na nyani endeleeni kutoa vichapo kivyovyote ilimradi point 3 ziingie kapuni,,
Tutaendelea kukusanya...
Azam media na NBC bank inamana bado hamjaliona hili...ukiangalia mechi ya leo ya simba na namungo jinsi refa halivyoboronga mechi hakuna mtanzania atakaetamani kulipia 28,000 yake kuangalia uozo kama huu unaoendelea kwenye ligi yetu
Refa anatoa kadi nyekundu ambayo haieleweki...refa ametoa...
Katika mwendelezo wa Ligi Kuu ya NBC, Mabingwa watetezi wa kombe la Muungano Simba SC watashuka dimbani kumenyana vikali kuzisaka alama tatu ugenini dhidi ya Namungo FC mjini Luangwa Lindi majira ya saa 12:30 Jioni
Kila la kheri na mchezo mzuri kwa timu zote mbili.
Updates za vikosi vya timu...
Wonder Boy Chasambi nakupa hongera sana kwa kurudi kibabe mchezoni baada ya kujifunga kwa bahati mbaya na kupelekea majonzi makali kwa mashabiki wa Simba na kupeleka furaha kubwa kwa mashabiki wa Yanga.
Ulitukanwa sana, ulidhihakiwa sana na walitaka kukutumia wewe kama ngazi ya kupeleka tafrani...
Jambo hili linanifikirisha sana hasa nikifikiria wale wanaokula 5 halafu inawasajili kama wachezaji bora huku wanapotoka wanaoneka hawafai.
Kitendo hiki cha nyuma mwiko sio kigeni kwenye ligi yetu.
Unaweza kuta mchezaji akakubali kulipwa mshahara mdogo sana utopolo ila anaifia timu wakati kuna...
Mechi ya leo tutamlaumu bure Chasambi na kumsingizia kila jambo, ila ukweli unafichwa.Ukweli ni kuwa watu wanaosafiri na timu yetu mikoani sio waadilifu, wameanza kutuchomesha mahindi, mimi nilikuwa kimya kwa muda mrefu na nilitamani siku moja niwatahadharishe Simba kabla ya hata mechi na Tabora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.