story

  1. M

    NIMELIA LIPOSIKIA HILI

    Iko hivi Kuna video moja ipo katika mtandao ambayo inazungumzia mtu mmoja aliekuwa na madaraka katika nchi 1 iliopo Mbali dunia inayoitwa - JAMAINA Kiongozi huyo alikuwa nafasi ya uwaziri ya kusimamia watu kazi ambao waliopo kwenye adhabu Siku 1 vijana walipewa kazi ya kulima shambani kama ni...
  2. Mshana Jr

    Kama umelewa njoo tupige story

    Kuna maneno ya msahafu yanasema .. Mpe kilevi mwenye tabu ANYWE ALEWE asahau shida zake! Maisha yana changamoto na stress nyingi sana.. Ukiziendekeza utakufa uache wengine wanaendelea kufaidi.. Ukiona hakusomeki moja haikai.. Mbili haikai..jongea maeneo hata kama ni kwa mama muuza agiza hata...
  3. Balqior

    Baadhi ya wadada ukipiga nao story, utasema wife to be huyu hapa, ingia nao kwenye mahusiano ndo utajua hujui

    Habarini, Kuna baadhi ya wadada ni majirani zangu, kimuonekano ni wazuri tu, wameajiriwa, wapo kwenye umri wa kuolewa lakini hawajaolewa, kwa nyakati tofauti nilibahatika kupata wasaha wa kukaa nao chini na kupiga story kuhusu mahusiano ya kimapenzi waliowahi kupitia. Tuliongea mengi ila...
  4. stakehigh

    Umejifunza nini kutoka kwenye hii story

    https://twitter.com/INFLUENCERjr/status/1825939604475883727?t=Py1DhG3ZNuqOUE-_d0wNdA&s=19
  5. jerrytz

    Case File 2: Mahusiano yalianzia mtandaoni yakaishia kwa mwanamume kumwagiwa tindikali (True Story)

    Tarehe 22 Mei 2018 taarifa ilitoka kwenye vyombo vya habari kuwa mwanamke anayeitwa Berlina Wallace, mwenye miaka 49 amekutwa na hatia ya kumjeruhi mpenzi wake wa zamani Mark van Dongen umri miaka 29, kwa kumwagia tindikali (acid) kiasi cha kumsababishia upofu wa macho na kumuunguza sura...
  6. jerrytz

    Case File 1: Mwanaume aliyekodi watu ili kumuua mkewe wakiwa Honeymoon (True Story) Part 1

    Miaka ya mwanzoni mwa 2000 maisha yalikuwa yakienda vizuri kwa dada aliyejulikana kama Ani Hindocha, mwenye asili ya India ambaye alizaliwa na kulelewa nchini Sweden. Akiwa amemaliza shahada ya Engineering na alikuwa amepata kazi katika kampuni ya Erricson kama Mwandisi wa umeme katika kampuni...
  7. Robert Heriel Mtibeli

    Binti amkataa Baba mlezi siku ya Harusi, ampa heshima zaidi Baba mzazi.

    Kwema Wakuu! Hii inavunja moyo kwa wanaume walioamua kuoa single Mothersl. Haiwezekani binti umelelewa tangu ukiwa mtoto, ukasomeshwa na Baba mlezi(wakambo) ukamaliza mpaka chuo cha usimamizi wa fedha. Miaka yote huyo Babaako mzazi hakuwepo. Hakujua unakula nini wala unavaa níni. Wala...
  8. D

    A story of an idiot rat

    A Rat Swallowed A Diamond. The Owner Of The Diamond Contacted A Man To Kill It. When The Rat Hunter Arrived, There Were More Than 1000 Rats Bunched Up And One Sitting By Itself Away From The Rest. He Spotted & Killed The One Sitting By Itself & To The Owners Surprise, It Was The One That Had...
  9. Mr Bakari Yusuph

    SoC04 Maandiko ya Story of Change yanaafiki hitaji la mfumo wa elimu wa nchi 2025-2030

    Toka mtandaoni UTANGULIZI Nchini Tanzania, Swala sio kutoa elimu juu ya umuhimu wa elimu, wala kutumia nguvu kubwa katka kunadi sera za elimu pekee bali tunahitaji kufanya mchunganuo na uchambuzi bali nguvu ielekezwe kwenye utekekezaji wake ili kuleta matokeo chanya kila mwaka na ni nini...
  10. H

    Jason Derulo akubali kufanya kazi na diamond baada ya kupost kupitia insta story yake

    Komasava ya diamond inazidi kumpa mashavu zaidi baada tu ya chriss brown kuucheza wimbo wake na kuwa gumzo duniani kutokana na ukubwa wa breezy. Jason derulo amekubali kufanya wimbo na diamond kwenye kipindi hiki ambacho ngoma yake ya kovasava ikishika chart kila kona. Ukiachana na Derulo...
  11. M

    SoC04 Dhamira ya Tanzania miaka 5 - 25 ijayo

    Hili ni suala dhamira ya kuelekea mustakabali wa Tanzania katika miaka 5 hadi 25 ijayo. Kwa muhtasari, maudhui muhimu yanayoweza kuzingatiwa ni: 1. Maendeleo endelevu na upatikanaji wa rasilimali: - Kuchambua mikakati ya kutumia rasilimali za asili kwa njia endelevu na kuweka mipango ya...
  12. Gambino X

    Wazo La Kukuza Uchumi kwa Wakulima an Vijana

    Mabadiliko ni Muhimu sana. Tufanye wenyewe kama mtu na mtu au serikali kwetu au taasisisi cha umuhimu ni mabadiliko. Tunashindana kupata stories bora ambazo zitaleta maendeleo chanya. Natamani kuona mawazo ya Wa Tanzania wenzangu ya kiuchumi na tuangalie namna gani kwa pamoja tunaweza...
  13. P

    SoC04 Uwekezaji wa vijana

    Napenda kushiriki katika story of change kwa kutoa mawazo, mapendekezo na maoni yangu juu ya Tanzania tuitakayo. Yapo mengi ambayo ningependa kuyazungumzia katika mada hii lakini ushiriki wangu utaangazia zaidi juu ya suala la Uwekezaji kwa Vijana. Nini maana ya uwekezaji kwa vijana? Uwekezaji...
  14. Sean Paul

    The interesting story about two friends-Japanese and African

    An African businessman visited Japan and he was impressed by their systems, so asked his Japanese host: How come you are all so smart and were able to build such a country? The Japanese man replied: actually you, Africans are smarter. The African surprised: how come? The Japanese replied...
  15. Uncle Mabiki

    Bado nampenda Sumaiya ingawa nimeshaoa - True Story

    Karibuni kwenye simulizi yangu ya maisha yangu ya kweli,Yenye Mapenzi na uchawi juu yake. Story inaanza mwaka 2018 nikiwa mwaka wa kwanza pale udsm main campus,mwaka huo nilikuwa mwaka wa kwanza,nilikuwa nakaa hostel za chuo pale mabibo hostel block D ,basi maisha yalikuwa yanasonga tu...
  16. Mwl.RCT

    SoC04 Tanzania's Green Revolution: A Story of Hope and Resilience

    The Crisis and the Promise The sun beats down on Mwanahamisi's weathered face as she surveys her farm, a stark reminder of the agricultural crisis gripping Tanzania. Once vibrant fields are now cracked and parched, a consequence of decades of unsustainable farming practices and a changing...
  17. Z

    SoC04 Njia ya kupunguza tatizo la ajira kwa vijana waliosoma na Wasiosoma na kuongeza pato la taifa nchini Tanzania

    Ajira ni tatizo kubwa linalozikumba nchi nyingi duniani, tatizo hilo linajulikana kama (Global Problem) likiwa na maana ya tatizo la kidunia. Kutokana na ripoti iliyotolewa na Decent Job for Youth 2024, inaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 13.3% ya vijana wenye umri kuanzia miaka 15 hadi 35...
  18. S

    TRUE STORY: Historia ya maisha yangu na jinsi ambavyo nilitaka kujiua

    Habari za muda huu wana JF, natumai ninyi ni wazima wa afya na kama kuna mgonjwa kati yenu basi mwenyezi mungu amponye. Bila kupoteza muda tuje kwenye mada husika iliotuleta hapa kwenye huu uzi. Tuvumiliane jamani kwa changamoto zozote za kiuandishi kama zitajitokeza kwani sio fani yangu bali...
  19. Abana

    SoC04 THE TANZANIA WE WANT: Amina Success Story during Education Summit 2024

    “It was the morning” Once upon a time in the vibrant and diverse landscape of Tanzania, there existed a young woman named Amina. Amina hailed from Katunguru a remote village found in Kibondo District in Kigoma Region where educational opportunities were scarce, and dreams often succumbed to the...
  20. mkalamo

    Miracle: Acharya Krishnam hails first Hindu Temple of UAE, praise PM Modi for taking India story to the world

    Coming out in more praise of Prime Minister Narendra Modi for spreading the word on India's growing global profile and prestige in the far corners of the country on the campaign trail for the Lok Sabha elections, expelled Congress leader Acharya Pramod Krishnam said the construction of the BAPS...
Back
Top Bottom