Ndugu watanzania wenzangu,
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo.
Kwa kifupi sana, nadhani baada ya Tundu Lissukuona trend ya kampeni za Mh. Magufuli: Dodoma, Tobora, Shinyanga, Simiyu, Mara, na baadaye mapokezi yake kule Mwanza, wanamwanza ndiyo walivunja rekondi...