Kwema Wakuu!
Kuna mambo yananishangazaga sana. Mpaka wakati mwingine najiuliza kwa NINI ipo hivyo.
Mimi ninatabia sijui niite ya ajabu au ya namna gani. Iko hivi;
Mimi sionagi shida mtu akiniita Mjinga, akiniona hamnazo, akiniita hata majina ya namna yoyote Ile. Kwangu sioni shida.
Yaani...
Toa\taja tofauti tano (5) kati ya
1)Aliyeona akikusimulia na,
2)aliyesikia akikusimulia
Mimi nitaanza kwa kujibu tofauti ya kwanza.
A} ALIYEONA AKIKUSIMULIA
B} ALIYESIKIA AKIKUSIMULIA
1.Alikuwepo eneo la tukio
1.Hakuwepo eneo latukio
2.
3.
4.
5.
Heri ya Maulid waislam wote na nadhani mmekula chakula kitamu nakuenjoy
Eti mtu aliyezaliwa 1989 mpaka 1995 na hawajaolewa mnawaitaje?
Maana nimekuta hii video
https://vm.tiktok.com/ZMh8XnhSP/
Niambie
Naomba nilielekeze swali hili kwa viongozi, wanachama, wapenzi, wakereketwa, wafiatimu, mashabiki wa Simba Sports Club.
Mmejipangaje na shirikisho msimu huu.
Hivi mnajua kuna kutolewa kwenye mashindano hayo.
Mtaliambia nini taifa siku yakiwakuta ya wana lambalamba na wagosi wa kaya.
Sioni...
1. Chai (uongo) asili yake ni nini ?
2. Kwanini mliwaza chai pale mtu anaposema uongo ?
3. Kwani chai na uongo vina uhusiano gani ?
NB: Nasikia ubongo wa binadamu unaogelea kwenye fluid fulani sijui inaitwaje na haujawa attached kwenye kitu chochote.
Ahsante.
Tangu kazi ya kuteka na kuua raia ianze katika nchi hii, sijawahi kusikia kada wa CCM kapotezwa na kukutwa ameuawa. Ijapokuwa mauaji kwa njia ya kuteka yalikuwepo tangu awamu ya kwanza lakini nimejaribu kuvuta kumbukumbu zangu sijapata jina la kada hata mmoja wa CCM aliyewahi kutekwa na kuuawa...
Tanzania tumewazoea ni Watu wa Amani pamoja na Upendo na hata Sisi wengine tunajifunza Kwenu kuwa na Amani na huo Upendo.
Kwanini sasa Taifa lenu kuna matukio mabaya ambayo tulizoea kuyaona na kuyasikia huku Kwetu?
Majibu yenu ni Muhimu sana ili niwajibu na waache Kunisumbua kwa Maswali yao...
Je bado spika na bunge lake wanaamini watanzania wako salama dhidi ya utekaji?
Je spika una maoni gani tunaomba tamko la wabunge wetu kupitia bunge kuhusu usalama wa watanzania dhidi ya watekaji. Mods msifute wala kuunganisha uzi huu hili ni swali la raia kwenda kwa mamlaka yenye dhamana ya...
Kwamba sasa hivi ndugu yako akiitoweka na watu wasiojulikana hautamuona tena au utakutana na maiti yake.
Mbona hapa kwetu haya mambo hayakuwepo? Hata kama yalikuwepo sio kama hivi.
Style ya special branch ya makaburu.
Style ya State research bureau ya Amin.
Je, wakala wa mitandao ya simu inawezakana kulipia bill ya Maji DAWASCO ama Kulipia DStv kwa kutumia M-pesa, Tigo pesa, Airtel Money, au Halopesa.
Na je pia unaweza kununua umeme kwa kupitia njia hizo ukiwa kama wakala.
Hapo anakuwa mteja amekuja ofisini kwako anaomba umpatie huduma hizo je...
Wakati Dk Salaa anahama chama, yule dada Pondeza , mlikuwa kila dakika mnaandika katika mitandao kuwakosowa waziwazi.
Lakini hili swala la Kwao kimya, hata kutype tu kwenye account zao zimekuwa ngumu
Hii ndio inampa nguvu Msigwa kuishambulia Chadema.
KUNANINI?
Mimi sio mnywaji wa pombe ila mara kadhaa nimesikia wanawake wakilamikia waume zao wenye hizo tabia, Malalamiko yanakuwa makubwa zaidi wakinywa nje kuliko wakinywea nyumbani.
Iwe ni bar, lounge, pub, kilabuni, n.k. mtu aliezoea kukesha kiasi cha kurudi nyumbani usiku au kulalia huko huko huwa...
ESTHER MALLEKO AMUULIZA SWALI WAZIRI MKUU, WAZIRI MKUU ATOA MAELEKEZO KWA HALMASHAURI ZOTE NCHINI
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Esther Edwin Malleko leo tarehe 29 Agosti, 2024 amemuuliza swali bungeni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa ambaye...
Ungepata nafasi ya kuuliza swali kwenye tume ya uchaguzi ungeuliz swali gani?
Huenda wengi tuko na maswali ambayo tungehitaji kuyauliz kwenye tume ya uchguzi ila hatujui tunayauliza wapi.
Basi ni vyema tutumie uzi huu kuyauliza hyo maswali, mimi nawaomba Mods wayakusanyanye wawape tume ya...
Na. M. M. Mwanakijiji
Tanzania imewahi kukumbwa na kashfa kubwa tu zilizokuwa zinahusisha mali ya asili au mali ya umma (Hakuna mali ya serikali). Kashfa kubwa zaidi ambazo zilizizima katika taifa letu zilianza miaka mingi nyuma lakini hakuna ambayo iligusa akili na fikra za Watanzania kama...
Kuna vitu vinachosha sana.
Mtu anakuona anasema “ Una macho mazuri” au una vidole vya kike (sababu ni vizuri),
Au anakuangalia anasema unanywele laini lama za mwanamke.
Sasa kwani wanaume ndo wameumbiwa kua na vitu vibaya na vya rough? Ni bora ukae kimya kuliko ku compliment mtu kwa style...
Mzee mwenzangu Mpaji Mungu umeuza kwenye Meme za Jamii Forums kule telegram channel ya Jamii forums. Nimeweka hii Meme tupate majibu.
Ms R jibu hilo swali🤣🤣🤣🤣
Nina box la zawadi yako hapa au tukupe mji?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.