syria

  1. kimsboy

    Hakuna kamanda wa Hamas aliyeuawa Gaza wala Syria

    Hakuna kamanda wa Hamas aliyeuawa Gaza kama walivyotangaza kuwa Deif keshauawa hizo ni propaganda tu Pia hakuna kamanda wa Iran alouawa Syria hizo ni propaganda za vyombo vya habari vya Israel Pia jiji la Haifa wametangaza marufuku kwa raia kupiga picha ya uharibifu wowote utakaotokana na...
  2. W

    inakuaje Nchi zinaungana kuipiga Israel lakini inashindikana, Yemen, Iran, Lebanon, Syria, Palestina hawaoni aibu?

    Na hapo kumbuka Israel inapigana kwa tahadhari ku target zaidi magaidi ili kupunguza casualities za civilians zisizokwepeka, ni tofauti na nchi hizi zingine ambazo hushambulia zaidi raia wa kawaida wa Israel, lengo lao huwa ni kuua raia wa Israel wengi kadri inavyowezekana. Hii sio mara ya...
  3. MT255

    Ukrainian special forces strike Russian positions in Syria

    The Kyiv Post has published exclusive footage revealing Ukrainian special forces, alongside Syrian opposition fighters, conducting attacks on Russian military positions in the Golan Heights region of Syria. The video captures the Ukrainian unit “Khimik” targeting Russian block posts...
  4. 100 others

    Iran imetangaza kulipiza tena Kisasi kwa Israel baada ya shambulizi huko Syria

    Amiri Jeshi Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran Hossein Salami ametangaza Israel isubiri jibu baada ya mauaji ya mshauri wao wa kijeshi nchini Syria Saeed Abyar. Shambulizi hilo la anga ambalo limetokea Aleppo juzi June 3 limeua watu 17 ambao inaelezwa ni wapiganaji...
  5. I

    Israel yaua Jenerali mwingine wa Iran nchini Syria

    Shambulizi linalodaiwa kufanywa na Israel karibu na mji wa Aleppo nchini Syria mapema jana Jumatatu, lilimuua jenerali wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran Saeed Abiyar, chombo cha habari cha Tasnim cha Iran kinaripoti. Tasnim inamuelezea Abiyar kama mshauri, neno ambalo hutumia...
  6. MK254

    Bomu lapiga karibu na ubalozi wa Iran, Syria na kuua mtu wa karibu sana na Iran

    Mtapigwa tu, juzi rais wenu ameliwa milimani, tena kwenye ndege tatu, ya kwake ndio ilichaguliwa, wiki haijaisha bomu limepiga karibu na ubalozi. One dead after explosion reported near Iranian embassy in Damascus - report By JERUSALEM POST STAFF Published: MAY 25, 2024 10:37Updated: MAY 25...
  7. MK254

    Wakimbizi wa Syria waanza kuondoka Lebanon baada ya chuki dhidi yao kuzidi

    Wapalestina wana cha kujifunza, siku hizi hamna cha undugu, dumisheni amani kwenu hapo hii sio miaka ile mlikua mnapata msaada kisa dini au undugu. Hawa maskini wa Syria wanalazimika kurudi kwao kisa chuki zimekidhiri. More than 300 Syrian refugees headed back home to Syria in a convoy on...
  8. MK254

    Hofu yazidi kutanda, Iran yaanza kutorosha wakuu wake kutoka Syria

    Tatizo Israel hufanya baadaye mnapata matokeo, hivyo haijulikani watafanya wapi au kivipi, hofu imeanza kutanda kote, Iran imetorosha makamanda wake kutoka Syria, pia viongozi wa Hezbollah wameanza kufichwa....... Iran pulling senior officers out of Syria As part of those preparations, Iran has...
  9. G

    Naona Syria inaenda kuwa uwanja wa vita kati ya Iran na Israel; sijui Assad amekubalije nchi yake kila mtu kujikatia kipande chake

    Baada ya shambulio la Mchana kweupe la Israel kwenye ubolozi wa Iran tulitegemea majibu kwa Iran. Lakini mpaka sasa hakuna majibu yoyote kutoka Iran. Ila inaonyesha msafara mkubwa wa magari ya Iran kuelekea Syria. Pia kauli ya kuanza na Jerusalem kama mji mkuu au mashuri wa Israel ni dalili...
  10. MK254

    Syria kunaendelea kuwaka moto, milipuko kote

    Israel inaendelea kutamba..... https://twitter.com/Jerusalem_Post/status/1775634263309783456
  11. ze kokuyo

    Iran yataka Umoja wa mataifa (UN) kulaani shambulizi la Israel nchini Syria

    Iran kupitia balozi wake wa Umoja wa mataifa umeitaka UN kulaani shambulizi lililofanywa na Israel kwa kushambulia ubalozi wake uliopo Syria. Iran imesema Israel ni tishio kubwa mashariki ya kati huku ikiapa kulipa kisasi. Hapo Jana waziri wa ulinzi wa Israel alisema Taifa hilo lipo tayari kwa...
  12. green rajab

    Urusi yalaani shambulio la Israel huko Syria

    Mtifuano unaendelea huko Mashariki ya kati baada Russia kupeleka meli za kivita huko Red sea na Russia kuanza Kushambulia magaidi wa ISIS [IS Israel] huko Golan. Biden akatangaza kuipatia Israel ndege za F35 na Silaha zingine hapo kitaalamu ni Ligi ya Russia na Israel inaanza...wakati huo huo...
  13. green rajab

    Apache za Marekani zinashushwa kama maembe huko Syria

    ‼️BREAKING: 🇺🇸🇸🇾 An American Boeing H-64 Apache helicopter has reportedly crashed in Syria. Making it the 3rd loss in 72hrs. 8 have now crashed this year. Looks like the US has lost more choppers during training and scouting missions than Russia has done in Ukraine this year...
  14. MK254

    Urusi yaambulia kulalamika tu kuhusu kipigo kilichofanywa na Israel pale Syria

    Kuna watu wamekua wakiona Urusi kama mkombozi wao dhidi ya Israel na Marekani, haya sasa Israel imejipigia pale Syria na hiyo Urusi haikufanya kitu zaidi ya kulia lia...... Russia has condemned what it said were "completely unacceptable" Israeli strikes on Syria. Israel carried out its...
  15. ze kokuyo

    Israel yafanya mashambulizi makubwa Syria, wanajeshi wa Iran miongoni mwa waliouawa

    Israel imefanya mashambulizi makubwa huko Syria yakilenga wapiganaji, hifadhi za silaha na vituo vinavyotumiwa na wanajeshi wa Iran. Idadi ya waliouawa ni zaidi ya 30 ikiwemo wanajeshi wa Iran, wapiganaji wa Hezbollah, nk. Al Jazeera
  16. MK254

    Viongozi wa jeshi la Iran wauawa kwenye shambulizi la Israel kule Syria

    Hakuna kupumzika, kote mnapigwa.... Urusi walijifanya shobo na nyie watu, wakapokea kibano, huyu Iran wenu mnayemtegemea, naye hasazwi..... A series of airstrikes targeted sites belonging to Iran's Islamic Revolutionary Guards Corps (IRGC) in the Deir Ezzor region of eastern Syria on Monday...
  17. 2 of Amerikaz most wanted

    Explosions were heard at the American Kharab al-Jir airport base in Al-Malikiyah, Hasakah

    Explosions were heard at the American Kharab al-Jir airport base in Al-Malikiyah, Hasakah. Initial reports indicate a missile and drone attack. At least minuscule 3 missiles reportedly hit inside and surrounding areas of the base. Damage and casualties are yet to be assessed. Source: Al...
  18. MK254

    Viongozi 4 wa jeshi la Iran wauawa kwa sumu Syria

    Jamaa wanajua wanawindwa na Israel halafu wanakula kula hovyo hovyo, haya wamewahishwa kwa mabikira.... The poisoning appears to have targeted the leadership, as all four of those killed have been described as commanders or leaders. Several others were reported injured in the event, including...
  19. Ritz

    Marekani kuondoka Iraq na Syria ndani ya siku 90

    Wanaukumbi. Marekani kuondoka Iraq na Syria ndani ya siku 90 Marekani inajiandaa kuondoa vikosi vyake vyote au sehemu yake kutoka Iraq na Syria ili kukabiliana na ongezeko la mashambulizi ya vikosi vya upinzani vya Iraq, kwa mujibu wa maafisa wakuu wa Marekani. Bunge la Iraq kwa sasa...
  20. B

    Pentagon ya Marekani yaanzisha mashambulizi ya kulipiza kisasi nchini Syria, Iraq baada ya vifo vya wanajeshi

    PENTAGON : MAREKANI YAANZA MASHAMBULUZI YA KULIPA KISASI KWA KUPIGA NGOME ZA VIBARAKA WA IRAN NCHINI IRAQ NA SYRIA. SPECIAL REPORT https://m.youtube.com/watch?v=ckOSPG_A8AI Marekani yashambulia mgambo vikaragosi vya Iran ambao walishambulia ngome ya askari wa Marekani nchini Jordan na...
Back
Top Bottom