Hakuna kamanda wa Hamas aliyeuawa Gaza kama walivyotangaza kuwa Deif keshauawa hizo ni propaganda tu
Pia hakuna kamanda wa Iran alouawa Syria hizo ni propaganda za vyombo vya habari vya Israel
Pia jiji la Haifa wametangaza marufuku kwa raia kupiga picha ya uharibifu wowote utakaotokana na...
Na hapo kumbuka Israel inapigana kwa tahadhari ku target zaidi magaidi ili kupunguza casualities za civilians zisizokwepeka, ni tofauti na nchi hizi zingine ambazo hushambulia zaidi raia wa kawaida wa Israel, lengo lao huwa ni kuua raia wa Israel wengi kadri inavyowezekana.
Hii sio mara ya...
The Kyiv Post has published exclusive footage revealing Ukrainian special forces, alongside Syrian opposition fighters, conducting attacks on Russian military positions in the Golan Heights region of Syria.
The video captures the Ukrainian unit “Khimik” targeting Russian block posts...
Amiri Jeshi Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran Hossein Salami ametangaza Israel isubiri jibu baada ya mauaji ya mshauri wao wa kijeshi nchini Syria Saeed Abyar.
Shambulizi hilo la anga ambalo limetokea Aleppo juzi June 3 limeua watu 17 ambao inaelezwa ni wapiganaji...
Shambulizi linalodaiwa kufanywa na Israel karibu na mji wa Aleppo nchini Syria mapema jana Jumatatu, lilimuua jenerali wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran Saeed Abiyar, chombo cha habari cha Tasnim cha Iran kinaripoti.
Tasnim inamuelezea Abiyar kama mshauri, neno ambalo hutumia...
Mtapigwa tu, juzi rais wenu ameliwa milimani, tena kwenye ndege tatu, ya kwake ndio ilichaguliwa, wiki haijaisha bomu limepiga karibu na ubalozi.
One dead after explosion reported near Iranian embassy in Damascus - report
By JERUSALEM POST STAFF Published: MAY 25, 2024 10:37Updated: MAY 25...
Wapalestina wana cha kujifunza, siku hizi hamna cha undugu, dumisheni amani kwenu hapo hii sio miaka ile mlikua mnapata msaada kisa dini au undugu.
Hawa maskini wa Syria wanalazimika kurudi kwao kisa chuki zimekidhiri.
More than 300 Syrian refugees headed back home to Syria in a convoy on...
Tatizo Israel hufanya baadaye mnapata matokeo, hivyo haijulikani watafanya wapi au kivipi, hofu imeanza kutanda kote, Iran imetorosha makamanda wake kutoka Syria, pia viongozi wa Hezbollah wameanza kufichwa.......
Iran pulling senior officers out of Syria
As part of those preparations, Iran has...
Baada ya shambulio la Mchana kweupe la Israel kwenye ubolozi wa Iran tulitegemea majibu kwa Iran.
Lakini mpaka sasa hakuna majibu yoyote kutoka Iran.
Ila inaonyesha msafara mkubwa wa magari ya Iran kuelekea Syria. Pia kauli ya kuanza na Jerusalem kama mji mkuu au mashuri wa Israel ni dalili...
Iran kupitia balozi wake wa Umoja wa mataifa umeitaka UN kulaani shambulizi lililofanywa na Israel kwa kushambulia ubalozi wake uliopo Syria.
Iran imesema Israel ni tishio kubwa mashariki ya kati huku ikiapa kulipa kisasi.
Hapo Jana waziri wa ulinzi wa Israel alisema Taifa hilo lipo tayari kwa...
Mtifuano unaendelea huko Mashariki ya kati baada Russia kupeleka meli za kivita huko Red sea na Russia kuanza Kushambulia magaidi wa ISIS [IS Israel] huko Golan. Biden akatangaza kuipatia Israel ndege za F35 na Silaha zingine hapo kitaalamu ni Ligi ya Russia na Israel inaanza...wakati huo huo...
‼️BREAKING:
🇺🇸🇸🇾 An American Boeing H-64 Apache helicopter has reportedly crashed in Syria. Making it the 3rd loss in 72hrs. 8 have now crashed this year.
Looks like the US has lost more choppers during training and scouting missions than Russia has done in Ukraine this year...
Kuna watu wamekua wakiona Urusi kama mkombozi wao dhidi ya Israel na Marekani, haya sasa Israel imejipigia pale Syria na hiyo Urusi haikufanya kitu zaidi ya kulia lia......
Russia has condemned what it said were "completely unacceptable" Israeli strikes on Syria.
Israel carried out its...
Israel imefanya mashambulizi makubwa huko Syria yakilenga wapiganaji, hifadhi za silaha na vituo vinavyotumiwa na wanajeshi wa Iran.
Idadi ya waliouawa ni zaidi ya 30 ikiwemo wanajeshi wa Iran, wapiganaji wa Hezbollah, nk.
Al Jazeera
Hakuna kupumzika, kote mnapigwa.... Urusi walijifanya shobo na nyie watu, wakapokea kibano, huyu Iran wenu mnayemtegemea, naye hasazwi.....
A series of airstrikes targeted sites belonging to Iran's Islamic Revolutionary Guards Corps (IRGC) in the Deir Ezzor region of eastern Syria on Monday...
Explosions were heard at the American Kharab al-Jir airport base in Al-Malikiyah, Hasakah.
Initial reports indicate a missile and drone attack.
At least minuscule 3 missiles reportedly hit inside and surrounding areas of the base. Damage and casualties are yet to be assessed.
Source: Al...
Jamaa wanajua wanawindwa na Israel halafu wanakula kula hovyo hovyo, haya wamewahishwa kwa mabikira....
The poisoning appears to have targeted the leadership, as all four of those killed have been described as commanders or leaders.
Several others were reported injured in the event, including...
Wanaukumbi.
Marekani kuondoka Iraq na Syria ndani ya siku 90
Marekani inajiandaa kuondoa vikosi vyake vyote au sehemu yake kutoka Iraq na Syria ili kukabiliana na ongezeko la mashambulizi ya vikosi vya upinzani vya Iraq, kwa mujibu wa maafisa wakuu wa Marekani.
Bunge la Iraq kwa sasa...
PENTAGON : MAREKANI YAANZA MASHAMBULUZI YA KULIPA KISASI KWA KUPIGA NGOME ZA VIBARAKA WA IRAN NCHINI IRAQ NA SYRIA.
SPECIAL REPORT
https://m.youtube.com/watch?v=ckOSPG_A8AI
Marekani yashambulia mgambo vikaragosi vya Iran ambao walishambulia ngome ya askari wa Marekani nchini Jordan na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.