Kuna Taasisi zina Hali ambayo hairidhishi kwa kweli. Ziko hoi na zinaelekea pabaya. Sababu ndio nataka tuzijadili hapa, ila zinahuzunisha.
1. Taasisi ya ndoa - hii ndio ina hali mbaya sana
2. Taasisi ya familia - hii nayo inaelekea pabaya kabisa
3. Maadili, na adabu, desturi na mila
4. Weledi...