Tabia is a small town and rural commune in Taroudannt Province of the Souss-Massa-Drâa region of Morocco. At the time of the 2004 census, the commune had a total population of 2329 people living in 487 households.
Huu ni upuuzi mkubwa sana tunauendekeza, unakuta mtu akiwika ama akifanya vizuri basi anapewa jina la mtu mwingine mpaka linafifisha jina lake.
Utasikia Kelvin John Mbape, mara Juma Mgunda Pep Guardiola Mnene, hebu waacheni watengeneze utambulisho wao.
tabia sio ya kiungwana ni ya kishenzi sana..unakuta makazi ya watu fulani wanamiaka zaidi saba na zaidi hawana huduma ya maji wala umeme.
Ila unakuta huduma hii haiko mbali na makazi yao ni kama mita 2000 tu,unawaomba kwamba jamani wenye shida ni sisi tuisitegemee sana hawa watu wa...
Mliyo na dhamana ya kusimamia vitengo serikali kwanini mnalea uzembe,uwizi wa watumizi wenzenu?Mara nyingi unakuta mtumishi anafika oficini anasaini halafu anafanya kazi kidogo anaenda mtaani kuzurula au kwenye mishe binafsi ndiyo mana nasema uzembe,uwizi mana analipwa na mshahara ambao mi...
Athari za mabadiliko ya tabia nchi zimekuwa kubwa mno ikiwemo Joto kali lisilostahimilika, Mafuriko yanayoharibu makazi na miundombinu, Ukame unaosababisha kupotea kwa rotuba ya ardhi na Kuzorota kwa sekta ya kilimo.
Katika kupaza sauti juu ya suala hili ambalo linahitaji nguvu kubwa ya wadau...
Ndoa Kwa wenzetu wenye I.Q kubwa sio kama vile tuzaniavyo sisi huku afrika, kwao ndoa huwa zinaenda au huwa na malengo ya ndani zaidi, ambayo pengine ni ya kitabia, akili za familia fulani na kadhalika.
Mimi binafsi katika kufuata logic hii niliangalia mapungufu yaliopo ndani ya familia yetu...
Weekend inaanza Ijumaa na watu wanakuwa na stress za kutosha.
Mitundi ya kutosha ndo suluhu ya karaha za maisha haya ya kibongo. Leo hii Kg 1 ya mchele imefikia 3500, kodi za nyumba ndio kero maana miezi inakatika kama barafu inayeyuka.
Unakula mabia ya kutosha na uzuri unapiga Mackotail ya...
Moja kwa moja..
Huu mtindo umeshamiri haswa kwa vijana unakuta mtu ameanza kukutext au wewe umeanza kumsalimia baada ya kujibu text yake inayofuata "nipange "au "niambie" mimi mara nyingi hapo huwa mwisho wa kuchat isipokuwa kwa wachache ambao ninawajua kuwa bado Wana utoto.
Leo hii mshikaji...
Nikiwa mdgo sikumbuki Umri lkn nakumbuka matendo waliokuwa wakifanyiana watoto.
Sijui Kwa nini nilikubali kuvutwa na katoto lakini kalinizidi Umri kidogo akanivua bukta na kuanza kunilawiti Kwa kweli hakina kitu inaniuma kama Hii kumbukumbu.
Uwa nakutana naye na ana watoto wa kike na amemuoa...
Kuna kitu nimekuwa nikikitafakari kwa muda mrefu, nikahisi yawezekana ni mimi tu fikra zangu ndiyo mbovu au za kizamani, lakini baada ya kumsikia Jaji Warioba akizungumzia suala hilo, nami nimepata nguvu kuamini kuwa ninachowaza kuwa ni tatizo basi inawezekana ni tatizo kweli
Zamani nakumbuka...
Haina haja ya salamu.
Hawa wavaa vibaya na wasema hovyo wanatabia nyingi mbovu. Hapa nielezee kidogo nauli. Wandugu kama hujui bei watakukanyaga watakutoza kiasi wanachotaka wao.
Kabla mafuta hayajapanda Kwa sababu za vita ya Ukraine vs Russia nauli ilikuwa 750 kutoka pande zote za mbali. Hapa...
Kutokana na ukuaji wa shughuli za binadamu za uzalishaji kumekuwa na uharibifu mkubwa wa mazingira Hali inayopelekea kubadilika kwa tabia ya nchi. Aidha shughuli za kibinadamu Kama vile ukataji miti, viwanda, kilimo na usafirishaji vimepelekea mabadiliko hayo kwa wingi.
Baadhi ya madhara...
Bukheri ndugu na wanamemba wa jamii forum,..!leo umefanyika utafiti usio rasmi na kugundua kwamba mtu yeyote akinywa pombe akalewa huwa anaonyesha tabia zake halisi yaani zile zilizojificha...mfano kama mtu ni muongeaji sana lakini hujificha kwenye kichaka cha upole....basi mtu huyo akilewa...
unaweza kuona ni rahisi kuacha kwasababu wewe hauna hili tatizo lakini kwa mtu ambae ni mraibu huu ni mtihani mzito, ni sawa na kumwambia mtu aache uraibu wa simu, aache ulevi wa pombe, aache sigara, aache kamali, n.k.. sio rahisi kihivyo, Nimekuja kwa unyenyekevu humu ndani muwezi kunipa...
Kijana kama unataka kufanikiwa maishani, epuka tabia zifuatazo:
1: KUKOSA UAMINIFU KAZINI
Vijana wengi sio waaminifu kabisa, wengi wana tamaa ya mali nyingi ndani ya muda mfupi, hata kama ni kwa njia isiyo halali. Kuna vijana kila wakipewa kazi wanawaza namna ya kupiga madili tu kama vile...
Paka ama nyau kama wengi tunavyo mtamba ni mnyama wa aina yake na ana sifa za kipekee sana hasa ukija kwenye suala la utafutaji au uchakalikaji kwa lugha zetu za mitaa.
Mnyama huyu ambaye yupo katika makundi mawili yaani paka wa nyumbani na paka wa porini anaweza kutufunza mambo kadha wa kadha...
Paka ama nyau kama wengi tunavyo mtamba ni mnyama wa aina yake na ana sifa za kipekee sana hasa ukija kwenye suala la utafutaji au uchakalikaji kwa lugha zetu za mitaa.
Mnyama huyu ambaye yupo katika makundi mawili yaani paka wa nyumbani na paka wa porini anaweza kutufunza mambo kadha wa kadha...
Hello Wadau!
Kama heading inavyojieleza. Usithubutu ukaruhusu gari ikaenda kituo cha polisi ikalala huko, wanachofanya ni kubadili vifaa na kuweka vya zamani wanaenda mbali zaidi kung'oa vioo na hata kubadili siti.
Mwisho wa siku gari ni kushinda gereji ukibadili vifaa leo hiki kesho hiki. Na...
Waziri wa Nishati, January Makamba amesema Tanzania inahitaji dola 150 milioni za Marekani (Sh345 bilioni) kwa mwaka kujenga uwezo wa kukabiliana na athari za mabadili-ko ya tabianchi.
Makamba amesema fedha hizo zinatakiwa kutumika kujenga uwezo katika sekta ya kilimo, afya, miundombinu...
Kuna watu ambao walipitia shida nyingi sana enzi za utotoni na ujanani mwao; kuanzia kula yao, kusoma kwao, kulala kwao, kuvaa kwao, nk kulikuwa ni kwa shida sana. Kiufupi tu ni kwamba walipitia maisha magumu sana. Watu hawa waliushinda umasikini kupitia elimu, biashara au shughuli nyingine na...
Habari za wakati huu wana jamii forum.
Ni siku nyingine tena ya kuelimishana ili kila mmoja wetu aweze kuwajibika kwa nafasi aliyokuwa nayo katika jamii. Leo ningependa kuongea na baadhi ya kondakta wa daladala ambao kiukweli wanapaswa kujirekebisha kwenye baadhi ya maeneo.
Kila kazi ina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.