tabora

  1. kavulata

    Tabora United kachukueni pointi zenu 3 kwa Kagoma, mchezo ni batili.

    Kagoma hakupaswa kucheza https://www.youtube.com/watch?v=rCEb85MDopM
  2. Matulanya Mputa

    JE RC TABORA YUPO SAHIHI? BAADA YA ACT-WAZALENDO KURIPOTI AMBAYO YAMETOKEA (W) YA KALIUA

    Baada ya Mharagande wa ACT-WAZALENDO kuripoti mauaji ambayo yametokea (W) ya Kaliua Rc Tabora ataka ajieleze au kueleza alichokisema ni sahihi . Je serikali bado inaendelea kutisha watu? Na je Maharagande akithibitisha kweli watu wameuwawa, wamebakwa, na akaleta ushahidi serikali ipo teyari...
  3. Kaluluma

    Wenyeji wa Tabora Mjini, ukumbi upi unafaa kwa ajili ya semina?

    Habari za muda huu wakuu, Kwa wenyeji au waliowahi kufika Tabora mjini, Ni ukumbi upi unafaa kwa ajili ya semina itakayokuwa na idadi ya watu wasiopungua 150 mpaka 300 hapo, Nimepewa jukumu la kutafuta ukumbi kwa ajili ya shughuli fulani. Natanguliza shukrani wakuu🙏
  4. Majok majok

    Simba kuweni makini na hiyo timu yenu, wekeni akiba ya maneno, ushindi dhidi ya Tabora, Singida fountain gate usiwafanye mkaona mko vizuri

    Nimeona mashabiki na wanachama wa Simba wakifurahia kupitia kiasi ushindi wao wa mechi 2 dhidi ya wagonjwa TABORA united na singida FOUNTAIN GATE lakini Kuna wengine wanaoujua mpira Wala awakufurahi Bali wanasema Simba bado aijaanza ligi kulingana na aina ya timu walizokutana nazo kuwa ni dhaifu...
  5. BigTall

    Baada ya picha za vyoo vya Shule ya Kamama (Uyui - Tabora) kuziweka hapa JF, nimeona wanajenga vyoo vipya

    Ujenzi ukiendelea Wiki mbili iliyopita niliandika kuhusu Shule ya Kamama iliyopo Kata ya Goweko, Kijiji cha Kamama, Wilayani Uyui kuwa ni hatarishi hasa Vyoo na madarasa, hatua zimeanza kuchukuliwa. Kama hukuona andiko langu la awali, lipo hapa ~ Hali ilivyo Shule ya Msingi Kamama (Tabora)...
  6. U

    Baadhi ya wachezaji wa Tabora UTD kucheleweshewa leseni na TFF

    Mjumbe hauwawi. Nimeikuta sehemu wadau wa Tabora UTD wakiilalamikia TFF kuwa wamekuwa wakichelewesha leseni za wachezaji hasa wa kigeni kwa makusudi kwa maslahi yao. Hili limeikumba Tabora UTD kwani wachezaji wao tegemezi mpaka muda huu hawajapewa leseni na TFF. Inawesemekana ni makusudi ili...
  7. OKW BOBAN SUNZU

    FT: Ubaya Ubwela: Simba SC 3-0 Tabora Utd/KMC Complex-18/8/2024

    Ni jioni ya leo saa 10:15 pale KMC Complex. Ubaya Ubwela
  8. Pdidy

    Leonel kawafilisi ama mmewachoka mashabiki simba??mzunguko vs tabora 10000 serious??

    Mfanyabiashara yuko kazini zaidiiiii Lazima turudishe hela zetuuu endeleen kushabikiaa tu wachezajii
  9. JanguKamaJangu

    Mwalimu wa St. Doroth (Tabora) ashtakiwa kwa kumnajisi Mwanafunzi wa Darasa la Pili

    TABORA - MWALIMU Dotto Elias (29) wa Shule ya mchepuo wa Kiingeza ya Mtakatifu Doroth iliyopo maeneo ya kidatu Manispaa ya Tabora anayedaiwa kumnajisi mwanafunzi wa darasa la pili chooni amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Tabora. Akisoma mashtaka hayo jana Agosti 15, 2024...
  10. A

    KERO Mwenendo wa uendeshaji wa treni ya Tabora-Mpanda

    Wakuu Naomba mnisaidie kupaza sauti kwa Serikali ifanye marekebisho kwenye reli ya Tabora-Mpanda hali ni mbaya mno, Yaani treni imekuwa na huduma za Hovyo Mno, unaandikiwa kwenye ticket treni litafika saa tisa mchana ila cha ajabu treni linafika saa Tatu usiku. Kwa ufupi wananchi wa huku...
  11. Pdidy

    Hivi Tabora United mlipata zile milioni 50 mlizoahidiwa na Mkuu wa Mkoa?

    Hivi karibun hii timu ilishiriki kujinasua kubaki NBC Ghafla mkuu wa mkoa akahaidi mil 50 Wengi sana wakashangaa kwanini hawakupatiwa wakati wakiwa kwenye ligi wakijipambania Wamejitahidi wamerudi nauliza Hivi walizipata zile hela?
  12. M

    Tabora: Mwanamke auawa, chanzo wivu wa mapenzi

    Jeshi la Polisi linamshikilia mwanamume kwa tuhuma za kumuua kwa kumnyonga mkazi wa Mtaa wa Maselele, Kata ya Cheyo B Manispaa ya Tabora, Juliana Mbogo (40) kisha mwili wake kuuficha uvunguni mwa kitanda, chanzo kikidaiwa ni wivu wa mapenzi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao...
  13. L

    Enyi Wanyamwezi wa Tabora United Simba ya fungua dimba imewakosa sana mmepigwa kono la nyani jumapili

    Nawaasa washabiki na wanachama wa Simba, suala la usajili limekwisha na sasa tuunge mkono chama letu. Simba itakaa sawa baada ya mechi tano au sita, huyo Mukwala mnayedhani sio striker atawanyamazisha muda c mrefu. Kama wewe umekuja kwenye football kama Baba levo au Mwijaku tafadhali jitoe...
  14. GENTAMYCINE

    KERO Vijana Mkoani Tabora wanapenda 'Kupiga Chabo' Wanawake wanaojifungua kwenye Zahanati ya Isevya

    Baadhi ya wanawake waliopata huduma ya kujifungua kwenye Zahanati ya Isevya iliyopo Manispaa ya Tabora wameiomba Serikali kujenga uzio mrefu kuzunguka zahanati hiyo ili kukomesha watu wasio na maadili wanaowachungulia. Wanawake hao wanasema wakati wa wakijifungua kuna baadhi ya watu wenye rika...
  15. Roving Journalist

    Serikali yalipa fidia ya kupisha Reli ya SGR kwa Wananchi wa Tambukareli, Kata ya Nsololo (Uyui-Tabora) waanza kuhama

    Baada ya JamiiForums.com kuripoti juu ya malalamiko ya Wananchi wa Tambukareli, Kata ya Nsololo, Wilaya ya Uyui mnamo Mei 2024 kuwa Serikali haijawalipa malipo yao ya fidia kupisha ujenzi wa Mradi wa Reli ya Kisasa ya SGR, imeripotiwa wahusika hao wamelipwa. Hoja la malalamiko ya awali...
  16. BigTall

    DOKEZO Hali ilivyo Shule ya Msingi Kamama (Tabora) inasikitisha, vyoo ni chakavu na vichafu, madarasa ndio usiseme

    Juzi kati nilikuwa Tabora, Kata ya Goweko, Kijiji cha Kamama niliendea kumtembelea ndugu yangu wa karibu pande za Uyui mkoani hapo, kuna kitu ambacho nilikiona na nikajiambia hii sasa ni hatari. Nimekuta Wanafunzi na shule nzima ya Msingi Kamama iliyopo Wilayani hapo ina changamoto nyingi...
  17. Jeep wrangler

    DOKEZO Waziri Ummy Mwalimu, tunaomba uingilie kati, Zahanati ya Hosiana Mission Tabora tunanyanyaswa na uongozi wa mkoa

    Utangulizi: Kituo cha Hosiana mission dispensary kinapatikana katika Manispaa ya Tabora. Kituo hiki cha afya kimekuwa ni kimbilio kwa watu wenye matatizo mbalimbali ndani na nje ya manispaa ya Tabora. Kituo hiki kina madaktari, wauguzi na watumiahi wengine wasiopungua 10. Baada ya maelezo...
  18. Mike Moe

    Mafunzo kwa waandishi wasaidizi na waendeshaji wa vifaa vya bayometriki

    Leo tarehe 18/7/2024, Mkoani Tabora yamehitimishwa mafunzo ya waandishi wasaidizi na waendeshaji wa vifaa vya bayometriki kwa ajili ya zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura. Huku zoezi rasmi la uandikishwaji likitarajiwa kuanza siku ya jumamosi tarehe 20/7/2024 na...
  19. Wauzaji wa containers

    Huku Tabora kilo moja ya mchele imefika 800 (mia nane)

    Nitashangaa kusikia MTU analalamika kuhusu njaa wakati mchele umeshuka Sana bei. Nunua chakula cha kutosha uweke ndani itasaidia kuishi vizuri wewe na familia yako. Tuwe Kama wazungu sio kila siku MTU unawaza chakula na kodi tujitahidi kuishi kwa mipango na mikakati ya Muda mrefu.
  20. Roving Journalist

    Rais Samia: Barabara ya Tabora - Mpanda unateleza na lami tu

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameeleza kuwa Serikali inaendelea kuboresha miundombinu ya barabara katika Mkoa wa Katavi ambapo sasa barabara ya kutoka Tabora hadi Mpanda (km 352) ni ya kiwango cha lami. Rais Dkt. Samia ameeleza hayo leo Julai 13, 2024 wakati...
Back
Top Bottom