Kwema Wakuu!
Ikiwa kazi unayoifanya haijawahi kukuletea Polisi, au haijawahi kukupeleka kwenye vyombo vya kisheria ujue hiyo kazi haiwezi kukufanya kuwa Tajiri.
Utajiri na uvunjifu wa sheria ni pande mbili za sarafu moja.
Huwezi kuwa tajiri bila kuivunja sheria ya nchi, mahali popote Katika...
Kuna waimbaji wanaimba 'mwenye pea' si mwenzako ni kweli mwenye pesa si mwenzako,wengine wanasema mwenye nguvu mpishe, huwezi shindana naye.
Nimeonelea nianze kuhathisia kisa hiki kwa kuanza hivyo pengine huko mbele mtanielewa namaanisha nini?
Mwezi novemba 2019 eneo la Majengo mjini Moshi...
Kulingana na Ripoti kutoka @FortuneMag imeeleza kuwa billionea namba moja duniani Elon Musk anakabiliwa na kesi ya Dola Bilioni 258 kwa madai ya kuwa sehemu ya mpango wa piramidi ya cryptocurrency ya LEGO, Ambapo yeye pamoja na kampuni zake za Space X na Tesla, wanashtakiwa na Keith Johnson...
Huddah Monroe mrembo matata sana mwenye pesa kuliko star yoyote wa Tanzania amejinasibu kuwa hajawai kuachwa na mwanaume, na huwa yeye ndio anawaacha wanaume akishawachoka. Pia alipoulizwa nini hasa anapenda kwa anapokuwa kwenye 6*6 alikiri anapenda kunyonywa mbususu yake; na kama mwanaume ni...
Mfanyabiashra wa madini mkoani Arusha, Pendael Moller ameondolewa kwenye kesi ya mauaji ya mlinzi anayefahamika kwa jina la Steven Jimmy na kuwaacha wenzake wawili ambao ni onesmo Molleli na Deogratius Mollel.
Mwanasheria wa Serikali alimwambia Hakimu Devota Msofe kuwa serikali imeamua...
Shirika la Kuwahudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limedai kuwa mataifa tajiri Duniani yanahatarisha maisha ya watoto kutokana na uzalishaji mkubwa wa gesi za sumu zinazoathiri afya zao.
Kituo cha Utafiti cha UNICEF kimetafiti mataifa 39 ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiuchumi na...
Ilikua ni familia ya watoto watatu, wa kwanza wa kike, wa pili wa kiume na watatu wa kike. Yule mtoto wa kwanza alimaliza darasa la 12 na kupelekwa kwa mama mdogo kujifunza ujuzi. Mume wa mama mdogo ni mbunge na ana biashara nyingi ikiwemo mini supermarket, mgahawa na nyumba ya kulala wageni...
Tukio hilo la kubomolewa Kwa nyumba hiyo limetokea huko Tunduma na nyumba hiyo inasemekana ni mali ya marehemu pamoja na mke wake ambaye yuko hai. Inasemekana marehemu aliacha watoto kutoka kwa wake tofauti na kila mke alikuwa na nyumba yake.
Baadaye watoto wa marehemu Wakafungua shauri la...
Baada ya figisu figisu za muda mfupi kumzuia mkurugenzi mkuu wa kampuni ya space X na mtu tajiri zaidi duniani kwa paper assets bwana Elon Musk hatimaye amefanikiwa kuununua mtandao wa twitter
Mpaka sasa makundi ya haki za binadamu hayaelewi twitter chini ya mmiliki huyo mpya kama itaweza...
Habari za wakati huu wakurugenzi?
Wanahitajika Wauzaji wa Jumla wa bidhaa zifuatazo ambao wanauwezo wa kussuply mzigo wa thamni yoyote kwa bei ya Jumla.Iwapo unao uwezo wa kussuply kiasi hicho cha mzigo tafadhali tuma mawasiliano yako kwa email:masokotz@yahoo.com.Zingatia kwama ni lazima uwe ni...
Msanii Zuchu aliamua kumtambia Shabiki yake kwenye mtandao wa instagram baada ya shabiki huyo kumwambia Zuchu kuwa alikuwa anamzidi uzuri na hadi sasa bado anamzidi uzuri...
Zuchu baada ya kuona maoni hayo ya shabiki yake hakutaka kuyaaacha badala yake alimjibu shabiki huyo kuwa pamoja na ubaya...
HABARI WAKUU, Nimekuwa nikijiuliza hili swali Mara nyingi sana na majibu nilliyokuja kuyapata hakika MTU anaeitwa Tajiri wanapesa nyingi sana, nimegundua hili zaman katika harakati za kutafta tonge ilikuwa hata kuingiza buku3 kwa siku ilikuwa mbinde sana
Yaani nilikuwa nikikaa naamini kabisa...
Naona Tajiri Kijana Afrika anang'aa tu Kimataifa kama Klabu yake huko Shirikisho huku Tajiri Uchwara mwingine Yeye akibung'aa bung'aa zake tu Posta, Kigamboni, Turiani na sasa yuko zake Mkolani Buhongwa Mkoani Mwanza akiitafuta Geita.
Yaani Wewe Pesa zako za Magumashi ( Janja Janja ) mpaka Uuze...
Wapenzi wa timu ya Chelsea na Bilionea Tajiri wenu Roman Abromavich mnachangia mgogoro wa Ukraine bunge uingereza lataka mali za bilionea huyo zikamatwe na anyanganywe timu ya Chelsea kwa sababu yeye rafiki mkubwa wa Putin na ana uhusiano na biashara zake na Russia zinazotakiwa kuwa freezed za...
Jarida la Forbes limetoa orodha ya matajiri barani Afrika ambapo Mohammed Dewji ameendelea kushikilia usukani kutokea Tanzania na kushika nafasi 15 barani Afrika.
Mimi nina maswali kuhusu orodha hii, hivi hapa nchini hamna watu wana unreported wealth? Kuna watu wanaonekana kwa macho wana...
Zinahitajika ngozi za nyoka wafuatao;
1- kifutu 55'' to 61'' shs 380,000/= kwa ngozi
2- sawaka 155'' to 655'' shs 200,000/= kwa ngozi
3-nyoka wa kijani(boomslang) 100'' to 155'' shs 400,000/= kwa ngozi
4- koboko 255'' to 400'' shs 600,000/= kwa ngozi
5-moma 100'' to 200'' shs 300,000/= kwa ngozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.