takukuru

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwamuzi wa Tanzania

    Ushauri: TAKUKURU ivunjwe, haina manufaa yoyote bali inaongeza gharama za uendeshaji wa serikali

    Habari! Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) au PCCB ivunjwe maana inaiongezea serikali gharama za uendeshaji. Manufaa yake ni kidogo sana, taasisi zingine ndani ya serikali hii ya JMT zinaweza kufanya majukumu yanayofanywa na PCCB. Nina miaka 7 ndani ya serikali, sijawahi kuona...
  2. Jidu La Mabambasi

    Tamu ya Force Account, watendaji Muheza watimuliwa kazi, TAKUKURU kufanya uchunguzi, shule haijakamilika

    Kwa wanasayansi, wanasema" don't re-invent the wheel". Ndicho tunachoona kwa baadhi ya miradi ya serikali kwa sasa inayojengwa kwa FORCE ACCOUNT. Serikali mkoani Tanga inalia na watendaji wake. Waliagizwa huko Muheza kujenga shule ya sekondari, darasa moja kwa milioni 20, wao kwa ubishi na...
  3. BARD AI

    TAKUKURU waagizwa kuchunguza jengo la zahanati lililotumia Tsh. Milioni 75 na halina milango wala madirisha

    Mwonekano wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Mtakuja iliyopo Wilaya ya Ruangwa ambayo imeshatumia Tsh. Milioni 75 hadi sasa. Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deogratius Ndejembi amemwagiza Kamanda wa TAKUKURU wilayani Ruangwa kufanya uchunguzi wa...
  4. J

    Selasini: Tumemfikisha Mbatia Takukuru kwa kuuza Nyumba 2 za ghorofa na Shamba ekari 45 mali ya NCCR

    Makamu mwenyekiti wa NCCR mzee Selasini amesema aliyekuwa mwenyekiti wao Mh Mbatia ameuza shamba hekari 45 Bagamoyo, Nyumba mbili za ghorofa Bunju DSM na Nyumba moja mkoani Mara na Fedha kuzichukua yeye binafsi. Tumekabidhi swala hili Takukuru ili kushughulikiwa kwani lilishahojiwa hata na CAG...
  5. Lady Whistledown

    Singida: TAKUKURU kuchunguza Ubadhirifu wa TSH. Milioni 800 za UVIKO katika kukarabati Chuo cha Ufundi Stadi Sabasaba

    Waziri Ndalichako ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kufanya uchunguzi katika chuo hicho kuangalia matumizi ya zaidi ya Sh. milioni 800 zilizotolewa kwa ajili ya ukarabati wa chuo. Ubadhirifu alioubaini ni katika ununuzi wa vifaa vya ujenzi ambavyo vimenunuliwa kwa...
  6. Chief Ortambo Ikumenye

    Takukuru na sekretarieti ya ajira chunguzeni haraka kinachotokea DUCE, ni aibu

    Wakuu nimetimba hapa Duce aisee ni aibu. Kuna mazingira yote ya urasimu unaendelea kwenye interview zilizofanyika jana. Tulitegemea matokeo yawekwe kwenye sekretarieti ya ajira lakini haikuwa hivo. Nimefika hapa asubuhi naambiwa eti waliofaulu walipigiwa simu. Mpaka sasa hatujui waliopiga...
  7. Khadija Mtalame

    What's the Tofauti between POLISI na TAKUKURU?

    What's the Tofauti between POLISI na TAKUKURU? Maana Kila kitu anafanya TAKUKURU, mtu mpaka kagombana na mkewe TAKUKURU! Naombeni majibu
  8. M

    Ajira za TAKUKURU walitoa majibu?

    Waungwana naomba kujua mdogo wangu aliombaga ajira takukuru hivi walishatoaga au bado maana ilkua kimya mpaka leo?
  9. mirindimo

    Upigaji Uyui: Waziri Mkuu ashangazwa kibanda cha Mlinzi VETA kujengwa kwa Tsh. milioni 11, aagiza waliyosimamia ujenzi kukamatwa

    Tozo ilivyojenga ofisi ya 11,000,000, unaambiwa ni ofisi ya kisasa zaidi. - Waziri Mkuu Majaliwa akiwa ziarani Wilayani Uyui, Tabora amekagua ujenzi wa Chuo kipya cha VETA na ameonesha kutoridhishwa na gharama za ujenzi wa kibanda cha Mlinzi ambacho ujenzi wake ni Tsh. Milioni 11 “TAKUKURU...
  10. Z

    Rais Samia chukua hatua dhidi ya TAKUKURU; Wanatumia taarifa za rushwa kwa manufaa binafsi

    Ukiangalia mtandao wa TAKUKURU kuna njia nyingi za mawasiliano ambazo wanazitaja kama njia mojawapo ya kutoa taarifa za siri kuhusiana na rushwa/ufisadi. Tumefanya majaribio tukiwa watu watatu kwa kuwapa taarifa tofauti nne; tatu zikieleza matatizo ya rushwa ktk idara za serikali na moja ndani...
  11. Bujibuji Simba Nyamaume

    USHUHUDA:- Jinsi Mesenja wa benki alivyowazidi akili mashushushu wa Takukuru, na polisi

    Hiki ni kisa Cha kweli kabisa kilichotokea miaka ya nyuma NCHINI KENYA NA WALA SIO TANZANIA Miaka kadhaa nyuma kulikuwa na utawala mbovu sana, ubadhirifu, wizi, hujuma na ufisadi ulitamalaki nchi nzima, kule kwa shangazi yangu Kenya Kuna benki ambayo ilikuwa ikimilikiwa na serikali lakini...
  12. JanguKamaJangu

    Mtuhumiwa wa Ufisadi atinga TAKUKURU na gari la Jeshi

    Ukurasa wa mbele wa Gazeti la Raia Mwema la Leo Jumatano ya Agosti 24, 2022
  13. B

    DOKEZO Mawasiliano na TAKUKURU

    Mtaani kwetu Manzese kuna tatizo kubwa la rushwa. Yawezekana wengine mkaliona dogo lakini kwa watu wa chini ni maumivu makubwa iko hivi. Kila mwezi kwenye baadhi ya serikali za mitaa ya kata ya Manzese anakuja mgambo ajiitaye afisa mazingira, na kazi yake kwa kushirikiana watendaji wa mitaa...
  14. saidoo25

    Mamlaka ziko wapi? Waziri Makamba anavunja Sheria za nchi mchana kweupe

    Wakati anaapishwa kuwa Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliapa kuilinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyowekwa kwa mujibu wa sheria. Pia wakati anakula kiapo cha Maadili ya Viongozi wa Umma aliapa kutotumia cheo chake kutoa upendeleo kwa ndugu yake au rafiki yake...
  15. Boss la DP World

    Nawauliza TAKUKURU: Barbara aliihonga nini hii Kamati ya Maadili?

    Marekebisho: Dhalilisha ndiyo neno sahihi.
  16. M

    TAKUKURU Tanga ingieni kazini dhidi ya wahusika wanaolea mhujumu na kumdharau DPP

    Amani iwe nanyi wanajukwaa Bila kupoteza muda ninaenda kwenye mada. Niliwahi kutoa uzi hapa jukwaani juu ya mtuhumishi aliyetuhumiwa na DPP kwa kesi ya uhujumu lakini ameendelea kushikilia ofisi kama afisaelimu kata. Mwalimu huyo ameenda mbali zaidi kwa kumkaimisha mtumishi mwenzake ofisi...
  17. M

    DCI Kingai anza na Januari Makamba

    DCI mpya Kingai fungua file la uchunguzi dhidi ya tuhuma zinazomkabili Waziri Januari Makamba za kuvunja Sheria za nchi . Fuatilia Kashfa inayoendelea sasa ya kati yake na Kampuni Kubwa ya kuuza gesi ya Taifa gas
  18. M

    SI KWELI Deusdedit Kakokonwa TPA akamatwa nyumbani na begi lenye USD 1,625,800

    Kuna madai kuwa Takukuru wameingia nyumbani kwa Kakoko leo ghafla na kumkuta na begi lenye $1,625,800 taslimu baada ya kusimamishwa kazi jana! Haijulikani hizo alizichota lini, lakini kama ni kweli inawezekana alikuwa akizichota pole pole kwa muda mrefu kidogo na huenda sasa hivi ana...
  19. M

    Ziko kampuni za kuuza gesi za kupikia. Kwanini Serikali inatangaza kampuni moja?

    Kwa Mujibu wa Tovuti ya EWURA hadi Septemba 2020 yapo Makampuni 12 kwanini SERIKALI YA TANZANIA inafanyia promotion kampuni moja inapeleka ujumbe gani kwa wananchi na hizo kampuni nyingine LIST OF LICENSED LPG WHOLESALERS IN TANZANIA AS OF SEPTEMBER 2020 Manjis Logistics Limited of P.O. Box...
  20. S

    TAKUKURU Tanga mnaendeshaje kesi na mtumishi ambae bado ameshikilia ofisi? RAS achunguzwe

    Ninawasalimu wanajukwaa nimatumaini kumekucha salama na mnaendelea na majukumu. Kuna wakati niliandika uzi kuelezea namna ambavyo aliyekua mkurugenzi Tanga jiji alishiriki kuwatuliza Takukuru wasimzonge dada mmoja hivi ambae alifanya ubadhirifu wa mchana kweupe na akawa haogopi. Tena ili...
Back
Top Bottom