May 18, 2020
Onesmo Ole Ngurumwa mratibu wa asasi za kiraia.
Mwaka 2015 Asasi za kiraia zilishiriki kwa ukamilifu kabisa kutoa elimu ya uraia kupitia TWAWEZA, REDET UDSM, TEMCO , vyombo vya habari AJM , LHRC , Taasisi za Dini , Polisi n.k
Mwaka 2020 uchaguzi unakaribia kuna changamoto kubwa...