tangazo

  1. J

    DAWASA yatangaza kuzimwa kwa mtambo wa uzalishaji maji Ruvu Juu Jumamosi April 15

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inawatangazia wateja na wananchi wanaohudumiwa na Mtambo wa kuzalisha maji Ruvu Juu kuwa, kutakuwa na ukosefu wa huduma ya maji kwa wastani wa saa 16 siku ya Jumamosi , Aprili 15, 2023. Muda: Kuanzia Saa 12 jioni hadi Saa 4...
  2. L

    Kila siku mabasi mapya yanaingia bongo lakini hutosikia tangazo la nafasi za kazi, hizo ajira wanawapa akina nani?

    Habari wakuu! Nadhani kwa kipindi hiki wengi mnaelewa katika tathnia ya usafirishaji abiria (mabasi) kumekuwa na ushindani mkunwa sana. Yaani katika ushindani huo imefikia kipindi watu wanaingiza mabasi nchini kwa wingi kuliko kawaida, lengo ni kuweza kuhimili ushindani huo kwa kuboresha huduma...
  3. Wizara Maendeleo ya Jamii

    Kuzikumbusha Asasi za Kiraia (NGOs) kuwasilisha taarifa zao za mwaka 2022 na kulipa ada

    TANGAZO KWA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali anayatangazia Mashirika Yasiyo ya Kiserikali kuwasilisha taarifa zao za mwaka 2022 na kulipa ada. Mwisho wa kulipa ada na kuwasilisha taarifa ni tarehe 15 Aprili, 2023. Baada ya tarehe hiyo malipo yote ya...
  4. Dr Madam

    Tangazo la kazi

    LIZONA ENTERPRISES LTD iliyopo mkoani Mwanza inawatangazia nafasi za kazi kwa watu wote wenye sifa. Nafasi Za kazi ni kama ifuatavyo :- Msimamizi mkuu na Mtawala(1) Wauzaji wa bidhaa(15) Wasambazaji na wapangaji wa bidhaa(18) Wapokeaji na waelekezi wa wateja sehemu husika(11) Usafi wa...
  5. benzemah

    Tangazo la kuitwa Kazini kutoka Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

    Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili tarehe 23-11-2022 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya...
  6. TRA Tanzania

    Tangazo kwa umma: Utaratibu wa kuingiza makontena kwa kuchangia

  7. Kwitogelo

    Serikali kupitia Wizara ya Afya imeona hili tangazo?

    Kuna tangazo lipo kwenye mtandao wa kijamii wa facebook linahusu kutibu HIV, ni mwezi wa sita huu kama sikosei tangu nimeanza kuliona. Nimeweka hapo jina la daktari na wakala wake kwa hapa Tanzania. Ninachoweza kufahamu hakuna kitu kama hicho na mbaya zaidi watu inaonekana wanatapeliwa sana...
  8. Determinantor

    Tangazo la Raja Club Athletic linatangaza Utalii wa Tanzania, tunalo la kujifunza!

    Nimeguswa sana na Tangazo la Hamasa la Timu Raja Club Athletic kwenye CAF kuhusu ujio wao Tanzania kucheza ball. Natamani Tanzania tujifunze na sisi kutengeneza matangazo kama haya, jamaa wanauonyesha Mlima Kilimanjaro, Hiking, Mbuga halafu wanamalizia COMING FOR THE SERENGETI.
  9. S

    Hatua ya Pili ya Mchakato wa Ajira ni Kuandaa Tangazo la Kazi

    - Tangazo la kazi huandaliwa kwa kuzingatia sifa kwa mujibu wa Muundo wa kada husika uliowasilishwa na Mamlaka ya ajira husika. - Tangazo pia huzingatia masharti ya jumla yanayotolewa na Sekretarieti ya Ajira ambayo yanatafsiri Sera, Sheria Kanuni na Miongozi mbalimbali inayohusu michakato ya...
  10. chiembe

    Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania watoa tahadhari ya uwepo wa tishio la shambulio la kigaidi

    Sasa CHADEMA mkiambiwa msikusanye watu mpaka tishio liishe, mtasema mnaonewa, aliyesema ndio moja ya watu wenu. Na mtu wenu akiambiwa asifanye mkutano wa hadhara analia, akiachiwa akadhurika, anaililia serikali.
  11. Jamii Opportunities

    Nafasi 320 za kazi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)

    Director General of the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) wishes to invite qualified Tanzanians to fill vacant posts in District Offices as shown below: 1.0 INVESTIGATION OFFICERS II (220 POSTS) 1.1 Required Qualifications: 1.1.1 Academic Qualifications: Applicants...
  12. maishapopote

    Sitakaa nilisahau tangazo la CocaCola la mwaka 1995

    Cocacola walitoa tangazo lao mwezi wa December 1995, likiitwa CocaCola Caravan, nilikuwa nimemaliza darasa la saba. Aisee nilivyoliona nilichanganyikiwa, lina uubunifu wa kuanzisha hisia zako hata kama huipendi Christmass. Tokea mwaka huo CocaCola walilirusha tena mwaka 1998 na nafkiri 1999 ila...
  13. Ri ri

    Tangazo lililowakutanisha Messi na Cr 7

    Kwa haraka haraka unavoona hili tangazo la LV limegharimu kiasi gani?
  14. paxbrothers

    Tangazo la kazi

    TANGAZO LA AJIRA PAX BROTHERENS CAMPANY LTD iliyopo mkoa wa Songwe wilaya ya Mbozi inawatangaza nafasi ya kazi kwa watanzania wote wenye sifa Cheo – msimamizi MKUU na mtawala. SIFA muombaji anatakiwa kuwa na Diploma na kuendelea katika fani zifuatazo. Accounting , Business Administration...
  15. GENTAMYCINE

    Tafadhali mwenye Tangazo la Pole kutoka kwa ATCL kwenda kwa Precision Air aniwekee hapa tafadhali

    Zawadi Nono itatolewa na Wadau.
  16. Boqin

    SI KWELI Tangazo la fursa za masomo nchini Norway 2022/2023

    Tovuti moja inadai kutangaza nafasi za ufadhili wa masomo katika chuo kikuu nchini Norway na kusambaa katika mitandao ya kijamii. Tovuti hiyo ina ujumbe wa Kiingereza ulioandikwa vibaya unaotafsirika: "Kasome Nchini Norway Kozi Yoyote Uliyochagua Bila Malipo kwa Muda wote wa programu"...
  17. Samba

    Tume ya Ajira, mbona interview za UDOM hamjatoa tangazo kwa website ya PSRS kama zilivyo nyingine?

    kama ilivo kawaida nilitegemea shortlisted candidates wa nafasi za kazi UDOM iwekwe kwa website ya PSRS . au kuna exceptions UDOM? watu wamepigiwa simu kwenda interview nini agenda ya siri hapo?
  18. witacha matiku

    Tangazo la Kazi za Ualimu (12)

    Hello teachers! our organization is working closely with private and government schools, we admire to serve young people who possess marvelous performance in the learning and teaching field. The organization is recruiting teachers on behalf of private schools in Tanzania's Mainland. The...
  19. Superbug

    Star tv na tangazo lenu la corona na kuvaa barakoa leo hii siwaelewi.

    Star tv ina mambo ya kishamba sana sasa lile tangazo lenu la kuvaa barakoa leo hii linamaana gani?
Back
Top Bottom