tarura

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    DOKEZO Dar: Utata wa Barabara ya Mtaa wa Chato, Mikocheni A

    Ni mwaka mmoja umepita hivi sasa, lakini hali ya barabara ya mtaa wa Chato inaleta utata kati ya wananchi na wakandarasi. Urefu wa barabara hii ni mita 600. Imekuwaje mpaka leo hii barabara haijakamilika? Ujenzi wa barabara hii ulianzishwa kwa nia ya kuweka bomba kuu la maji machafu chini...
  2. F

    TARURA na uzembe unaofanyika na mkandarasi Chato Street

    Mwezi wa sita sasa mkandarasi anawejenga njia ya maji taka hajafika hata mita mia. Inasemakana analindwa na wakubwa. Kachimba Mashimo mpaka kuta za fence za wakazi zinaanza kubomoka na hakuna kazi inayoendelea. Akiulizwa anasema yeye anakula na wakubwa hakuna wa kumgusa. Nchi hii imerudi...
  3. R

    Baadhi ya Wakusanya Ushuru wa Maegesho Kariakoo na Posta wakamatwa na Halmashauri

    Baadhi ya Wafanyakazi wa kutoza ushuru wa maegesho ya magari Dar maeneo ya Posta na Kariakoo (zaidi ya 40) wamekamatwa na magari ya Halmashauri na kupelekwa Polisi kufuatia mkataba wa mzabuni kuisha. Wafanyakazi hao wamehoji, kama issue ni mkataba wa mzabuni kuisha kwanini wanakamatwa...
  4. Ndengaso

    Tetesi: TARURA MWANZA: Huu ni wizi, mkaliangalie hili haraka sana

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri, Kwanza kabisa mimi na raia mwema na sina nia ya kukwepa ushuru wa tarura tena ukizangitia fees zao ni ndogo sana kwa sasa (reasonable). Niendelee, leo nimeangalia ushuru wa maegesho kwenye website ya TARURA nakukuta nadaiwa nilipoangalia maelezo ya Tiketi...
  5. Pang Fung Mi

    WIMBI LA MAKATO YASIYOELEWEKA BENKI: Je, benki zimepewa mamlaka ya kukata fine za trafiki, deni, tozo ya luku na malipo ya maegesho kwa TARURA?

    Benki zina wajibu mkubwa sana juu ya kuheshimu misingi ya kazi zao na mikataba na miongozo ya kuanzisha kwake. Ambao hamjashtukia hivi karibuni kumekuwa na wimbi la watu Kupokea meseji za makato mbalimbali kutoka kwenye mabenki kama CRDB, NMB, na etc. Kwa msiojua kuna namna mamlaka za serikali...
  6. N

    TARURA Temeke, matengenezo ya kipande cha barabara Kibonde Maji si yakuridhisha

    Kuna kipande cha barabara Kibonde Maji, ambacho inasemekana linapita bomba la mafuta la TAZAMA kwenda ZAMBIA. Tulifurahi tulipoona wanaweka kifusi kwa ajili ya kuziba barabara ilivyoharibika. Mara nyingine huwa nawaza kuwa Tanzania kuna mainjinia waliosoma kweli, hasa baada ya kuona mwisho wa...
  7. J

    Ziara ya Mtendaji Mkuu TARURA yaleta faraja kwa wananchi Kaliua mkoani Tabora

    Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor H. Seff ameleta faraja kwa wakazi wa Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora baada ya kutembelea barabara ya Mpandamlowoka-Mwaharaja na Kazaroho-Mpandamlowoka zenye urefu wa Km 90 na kusema hatua za matengenezo...
  8. mgt software

    DOKEZO Utatuzi wa wizi wa TARURA kupitia kimulikwa ni mgumu, tutaendelea kuumizwa

    Wana JF, Nimekumbwa na tatizo la kumulikwa na watu wa maegesho. Nilienda kulipia nikashangaa deni linaongezeka kucheck majumuisho nikakuta kuna sehemu ambazo nilipita lakini sikusimama wala kiegesha lakini nakuta nadaiwa fedha za maegesho. Kuna sehemu nyingine natajiwa hata sipajui lakini...
  9. Jidu La Mabambasi

    Spot on Mh PM Majaliwa, Mkandarasi na TARURA wawajibishwe

    Miradi ya mingi ya TARURA ina matatizo ya usimamizi. Makandarasi walio chaguliwa kwenye tenda za TARURA wengi ni wababaishaji na hivyo kukosa viwango vya kutekekeza miradi. Waziri Mkuu Majaliwa kalionyesha hilo wazi baada ya ukaguzi wa barabara huko Ukerewe. Mkandarasi kapewa siku kumi na...
  10. J

    Meneja wa TARURA Wilaya ya Kilombero aondolewa

    MENEJA WA TARURA WILAYA YA KILOMBERO AONDOLEWA Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor H. Seff amemuondoa kwenye majukumu yake aliyekuwa Meneja wa TARURA Wilaya ya Kilombero kwa kushindwa kusimamia kikamilifu miradi ikiwemo ujenzi wa Boksi Kalavati...
  11. peno hasegawa

    DOKEZO VIDEO: Karavati lililojengwa kata ya Mofu laanza kubomoka kabla ya kutumika, TARURA iingilie kati kuepusha maafa zaidi

    TARURA, TARURA! Tunakoelekea sio eneo salama iwapo utendaji wa Serikali utakuwa kama TARURA wanavyofanya.
  12. J

    TARURA: 85% ya Barabara Kupitika Ifikapo 2025

    85% ya Barabara Kupitika Ifikapo 2025 Na Immaculate Makilika – MAELEZO Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff ameeleza kuwa katika Mpango Mkakati wa Pili utakaoanza mwaka 2021 hadi 2026 taasisi yake itatekeleza shughuli zake kwa kuzingatia...
  13. Z

    Pongezi kwa TARURA Manispaa ya Ubungo kwa kazi nzuri katika jimbo la Kibamba /Kiluvya Gogoni

    Leo tarehe 2/10/2022 nimepita maeneo ya Kiluvya Gogoni kuelekea kwa kawawa/pamoja na shule za sekondari hondogo nimekuta mabadiliko makubwa ya miundombinu, barabara imepigwa mkeka safi kabisa. Pongezi kwa viongozi lakini Pongezi nyingi kwa Rais Mama Samia kwa kuidhinisha mabilioni kwa TARURA...
  14. Mtemi mpambalioto

    Ushuru wa Maegesho: Sitaki kuamini kama uhuni huu wa TARURA una baraka ya Serikali

    Suala la Parking fee kwa kweli naanza kuamini kuna upigaji mkubwa! Kitendo cha kutokuweka karatasi kwenye gari mara baada ya kupiga picha si kitendo cha uu gwana kabisa! tunaibiwa sana sana sana kupitia uhuni huu. Hebu fikiria mtu anakupiga picha ukiwa kwenye FOLENI! kwenye foleni jamani...
  15. PendoLyimo

    Mtendaji mkuu TARURA: Ujenzi teknolojia ya mawe unaokoa gharama

    Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amesema ujenzi wa barabara na madaraja kwa kutumia teknolojia ya mawe na matofali ya kuchoma unaokoa gharama kwa asilimia 50. Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dodoma, Mhandisi Seff alisema...
  16. Nyalotsi

    Jiji la Mbeya kuna TARURA?

    Pamoja na Jiji kuwa na makusanyo mengi ya Kodi lakini ni Jiji ambalo liko nyuma kwa upande wa barabara za mitaa! Mitaa ya zamani kama Mwanjelwa, Nzovwe, Soweto, Uyole barabara hakuna ni mashimo tu. Mitaa mipya ambayo wakati mwingine imepimwa na viwanja kuuzwa na Jiji hakuna hata barabara nzuri...
  17. J

    TARURA yaondoa kero ya wananchi Same kwa kufungua barabara mpya

    Ujenzi wa barabara mpya ya Mpirani Dispensari – Dindimo Primary School (4.30 KM) inayojengwa kwa kiwango cha changarawe katika kata ya Bombo Wilaya ya Same utawapunguzia wananchi kero ya kutembea kwa takribani kilomita 18 wakitumia barabara ya mzunguko ya Maore – Vuje – Bombo. Akizungumza mbele...
  18. Mparee2

    TARURA - Naomba ufafanuzi tozo za parking

    Naomba kuuliza mtu anatakiwa apaki gari kwa dakika ngapi mjini ndio aanze kuchajiwa/kumulikwa? Nilipaki gari ndani ya dakika moja kununua maji ya kunjwa nikachajiwa, naona kama haijakaa vizuri! Naamini Muheshimiwa Kinana akikumbana na hii hali, atatusaidia kuwajulisha wahusika watoe muongozo
  19. Z

    TARURA wilaya ya Ubungo fanyeni utafiti

    Jana tarehe 14/8/2022 Mhe. Rais amewaonya watendaji wa TARURA kutokutoa zabuni kwa wakandarasi wababaishaji. Wananchi wa Wialaya ya Ubungo kata ya Kibamba eneo la Kikuvya gogoni/kituo cha polisi, tunaomba viongozi wa TARUARA wachunguze ujenzi wa barabara inayo anzia Kikuvya GOGONI kituo cha...
  20. B

    Tarura na bili za kubambika

    Wadau, mara kadhaa sasa napata bili ya gari wakati likiwa limepaki kwa ubovu au sababu nyingine. Ninawasihi angalieni bili zenu. Maeneo wanayosema gari limepaki hata siyafahamu. Huu wizi tuukomeshe
Back
Top Bottom