tatizo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Huruma kwa wala rushwa ndiyo tatizo namba moja!

    Naona sasa hili tatizo la kuwaonea huruma wala rushwa hata serikali imeanza kuliona 1. Badala kuwafukuza viongozi wanaofuja wamekuwa wakihamishwa 2. Rushwa kama hizi za Polisi barabarani kuonekana sio rushwa! 3. Kesi kuchukuwa muda mrefu bila sababu za msingi 4. Madaktari na manesi kushinda...
  2. GENTAMYCINE

    Je, tatizo Kuu la Kizazi cha Kupambana Kimaendeleo, Kujinyima na Kivumilivu haliwezi kuanzia huu Utafiti wangu Binafsi?

    95% ya Watoto wa Kitanzania hasa waliozaliwa kuanzia mwaka 1990 hadi leo (sasa) wanapenda zaidi Kula Ubwabwa (Wali) na Kuuchukia kabisa Ugali (GENTAMYCINE ninaoupenda) uliotukuza Kaka na Dada zao Geniuses tuliozaliwa kuanzia 1989 kurudi nyuma. Wazazi wa sasa nawashaurini kwa nia njema tu...
  3. BigTall

    KERO Foleni ya kuweka gesi Dar kwenye magari ni tatizo

    Mchangamoto tunaopitia wakati wa kujaza gesi kwenye magari ni kero kubwa ya foleni inayotokana na wingi wa wenye uhitaji huku sehemu za kujazia zikiwa chache. Hicho ni kikwazo kikubwa pia kwa madereva hasa wale ndugu zangu wa Taksi Mtandao kwa kuwa wanatumia muda mwingi kwenye foleni ya gesi...
  4. Mtu Asiyejulikana

    Wanawake wa hivi tatizo huwa ni nini au wanasaidiwaje? Mimi yamenikuta

    Mwanamke ana kifua kizuri lakini hana chuchu.... yaani ni kama zimeingia kwa ndani. Mmoja alishawahi kuzaa sielewi sasa why awe hivyo. Mwingine hajawahi zaa. Ana kifua kimesimama na kujaa vyema. Ila chuchu hazijajitokeza. Inanikata stim kiukweli.
  5. M

    Tatizo la Simba ni kocha au wachezaji?

    Mimi nikiwa kama mpenzi na shabiki wa Simba sports club sifurahishwi na mwenendo wa timu pamoja na matokeo mazuri ya uwanjani. Timu haiko vizuri hatuna beki ukuta unavujisha na upande wa ushambuliaji ni butu. Wapenzi wa mpira wa miguu karibuni nanyi mseme chochote maana mwenzenu nina wasiwasi...
Back
Top Bottom