Full name: Manchester United Football Club
Nickname(s): The Red Devils
Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C.
League: Premier League
Website: ManUtd.com
Ground: Old Trafford, (Capacity: 74,994) - Pitch 105m x 68m
Co-Chairmen (Owners): Joel na Avram...
club
english
everton
kuangalia
kuhama
man
man united
man utd
manchester united
mbappe
mchezaji
mechi
miaka
miaka 24
msimu
package
premier
premier league
psg
rasmi
thread
umri
united
utd
Thread nyingi zinazoanzishwa humu JF kawaida huwa zinachukua muundo wa aina hii:
Kuanzia page ya kwanza mpaka ya tano, watu wanakuwa wanajadili mada husika kwa umakini unaotakiwa na wnakuwa wako ndani ya mada muda
Kuanzia page ya sita mpaka ya kumi linaanza kujitokeza kundi dogo la watoto na...
Vigezo na mashart kuzingatiwa
Thread lazima iwe kati ya 1dec 2020 mpaka 1.1.21
Jukwaa lolote
Yenye views weng
Yenye likes nyings
Yenye pages nying
Yenye comment nying
Ni ipi???
Muda bado...tuendelee kuzitafuta
Deadline ni 1.12021
Dau halipo ilA pongezi na HONGERA.. atatangaza mwenyewe...
Salaam wakuu naomba kutoa ufafanuzi kidogo kama watafutaji na wapambanaji wazo ndio kila kitu ukiwa na wazo ni rahisi kutengeneza pesa!
Napokea ujumbe mwingi pm watu ambao wako serious tunajadiliana naomba watu mjue kuhusu kiwango ambacho ninacho kinafit kwa wazo dogo na hata kubwa half of one...
Naandika nafuta maana nikiandika hii nyingine inakuja naona kama iko mzuka kuanza nayo nikitaka kuanza nyingine inakuja sasa nimekaa hapa hata sielewi nianze ipi nimalize na ipi 😫😀😀
Wazee list yenyewe hii hapa inayovuruga kichwa
Quincy Jones - Producer nambari moja dunia kwa upande wangu...
Wakuu Salaam:
Mashindano ya ligi ya Mabingwa barani Ulaya kwa hatua ya makundi yanaanza rasmi leo kwa mechi mbalimbali kupigwa viwanja tofauti.
Ni timu ipi huenda ikaibuka mshindi kwa mashindano haya?
Ratiba (20/10/2020).
GROUP E
Chelsea Vs Sevilla (22:00pm)
FT: 0-0
Rennes Vs Fc Krasnodar...
Kama tunavyojua kwa sasa, marais wa Jumuiya waliamua kuwa kongamano la kisiasa (confederation) itakuwa muungano wa kisiasa wa mpito wa kukaribisha shirikisho la kisiasa (federation). Tofauti kubwa kati ya kongamano la kisiasa na shirikisho la kisiasa ni kuwa uanachama wa au kuondoka kongamano ni...
Embu weka hapa nyimbo yake yoyote unayo ipenda mpaka kesho kutwa , mie naanza
1.jericho (usipime hatari , tena ile AYA ya kwanza unaweza sema imedondoka dhahabu)
2.john
3.duduke (bonge la music)
4.nyingine zipo youtube kwenye channel ake (go end support her)
5. ongezea
Dah asee...
Wakuu, nimetafakari sana baada ya kupitia threads za kwenye jukwaa hili. Utakuta waanzilishi wa threads zilizo nyingi ni wa TZ badala ya wakenya.
Hii imekaaje?
Tujadiliane.
Hero wakuu, poleni na mihangaiko ya kila siku.
Mimi ni mdau na schoral wa field ya IT na lengo langu kubwa ni kuja kufanya kitu ambacho ni remarkable na nipo chimbo kwa sasa, back to topic nakua inspired sana na wakubwa waliotangulia mfano kwa mbele watu kama Elon Musk, Mark Zuckerberg, Jeff...
Sekta ya usafirishaji wa mizigo kwa kutumia magari (malori) ni muhimu sana hapa nchini na duniani kwa ujumla. Magari ya mizigo yanafika jirani zaidi na mlaji wa mwisho au sokoni ambako meli, reli na ndege haviwezi kufika.
Uzi huu ni mahususi kwa kupeana taarifa mbalimbali kuanzia kwenye...
Message…habari Nina tatizo la mtoto kachelewa kusimama ana mwaka na miezi hata ukimsimamisha hasimami kabisa sijui tatizo litakua nini nimeenda hospitality wakaniambi calcium iko chini ana dawa anatumia nimempeleka kwenye vipimo Nairobi wanasema hana shida daktari kaniambi nimpeleke kwenye...
Pamoja na janga la Covid 19 kuendelea kuukumba Ulimwengu na karibu Nchi nyingi kuwafungia wananchi wao lakini hali ni tofauti kwa upande wa baadhi ya mataifa ikiwa pamoja na Tanzania.
Watanzania wengi wameendelea na shughuli zao za kawaida kama wanavyoaswa na Rais wao na inaonyesha hawana...
Habari zenu wana jamvi,
Kwa kipindi kirefu sasa nimekuwa nikitamani kujiunga na tasnia ya udereva particularly udereva wa malori (truck driver), nilikua naomba kujulishwa mshahara wa dereva wa lori apa Tanzania.
Asanteni
Wanabodi habari,
Hawa dada zetu avatar zao ni threat katika moyo wangu, Warembo, macho yao, midomo midogo, pua ndogo, nahisi mnawaonaga, wanapendeza mnoooo, kichwa kinauma last seen yao tangu saa sita mchana kipindi hiki na hii korona.
Mh!, nilizoea kuwa hata na like post zao lakini Leo moyo...
Wakuu habari,
Inawezekana kuna wadau humu wamekuwa 'addicted' na mchina ama korokoro kama inavyoitwa katika sehemu mbalimbali.
Naomba kwa anayefahamu adondoshe hapo tip jinsi gani unaweza kubashiri vizuri katika bahati nasibu hii.
Asante
Nafikiri umekuwa ukijiuliza maswali mengi juu ya programming, kwamba ni kitu gani, kinafanya nini na utawezaje kukifanya, siko hapa kukufundisha maana haiwezekani ila nitakueleza njia ambazo nimekuwa nikizitumia kujifunza programming tangu siku ya kwanza niliposikia msamiati huu. Nafikiri...
Wanawake hupata wanaume wa kuwaoa kwa njia mbalimbali kama vile:
1.ulimpa tunda kimasihara baadae akawa mmeo
2.ulienda kuombewa kwa mchungaji
3.ulitafta mtandaon
4.alikuwa mwalimu wako darasan
5.alikuwa mpangaji
mwenzio
6.alikuchumbia
Wanawake karibun mtaje njia mlizotumia kuwapata wanaume...
Hizi nyimbo zote ni mpya, na zina mahadhi yanayofanana...
Dodo iliachiwa jana chini ya Kings music na Wana imeachiwa leo chini ya Wasafi label
Kwa mtazamo wako upi wimbo ni mkali kuliko mwingine bila ya kujali jina wala label aliyopo msanii husika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.