Habari,naitwa Titus Devis.. karibu sana tuongee kuhusu viwango vya riba au interest rate kwa lugha ya kigeni
Kwanza kabisa tuanze na viwango vya riba ni nini (what is interest rate)
-Viwango vya riba ni kiasi cha pesa ambacho kinaongezeka kwenye pesa ambayo mkopaji amekopa baada ya muda...
WELCOME TO BORUSSIA DORTMUND OFFICIAL THREAD
Ballspielverein Borussia 09 e. V. Dortmund, commonly known as Borussia Dortmund [boˈʁʊsi̯aː ˈdɔɐ̯tmʊnt],[2] BVB,
Full name
Ballspielverein Borussia 09 e. V. Dortmund
Nickname(s)
Die Borussen
Die Schwarzgelben (The Black and Yellows)
Der BVB...
Wataalam wa AVIATION INDUSTRY watipigie hesabu... Yani How!?? Bomberdier au Dreamliner linapaa juu ..
Hovyohovyo..
Tupeni bili..kodi....
Je!? Ni kodi za mafukara ndo zaMrusha mama!??
Lakini ile ndege ya Rais iko wapi!? TuloambiwA hata tule nyasi..!!!?
Halotel anzisheni special thread tuweze kuwafikia na kutoa malalamiko yetu dhidi ya huduma zenu mbaya.
Mfano. Ukipiga simu huduma kwa wateja haipokelewi.
Unaweza kununua bando ikachukua muda mrefu kabla huduma haijarejeshwa.
Kumbukeni wengi tulihamia halotel baada ya kampuni kubwa kujisahau...
Daah aisee movie za kihindi zamani zilijua kutukamata kulikuwa hakuna watafsiri lakini tulizielewa balaa.
Miaka ya 80's huko wazazi wetu na wenyewe walikuwa na mastaa ambao waliwakubali Kama Dharmendra, Amitha Bachan, Shratugansina, Mithun chaklaboth, jitendra, huku maqueen wao wakiwa Kama...
Kwema wadau,
Katika thread hii tutakuwa tukipeana Habari za usajili wa wachezaji kwa msimu 2021/22 kutoka nchi mbalimbali na ligi mbalimbali duniani.
Kuna baadhi ya timu zimeshakamilisha usajili wa baadhi ya wachezaji ambapo:
ULAYA,
David Alaba from Fc Bayern to Real Madrid
Memphis Depay...
Nimehisi nijaribu kuanzisha huu uzi kwa ajili ya kupeana support ya baadhi ya changamoto. Kwa wale wote wanaoishi Zanzibar au wanaopanga kwenda kuishi Zanzibar, Au kwa wale wanaotaka kwenda kwa ajili ya matembezi na menginayo.
Hii thread tutasaidiana kwa ajili kuelekezana mambo tofauti ikiwemo...
Wakuu kwa wale wapenzi wa Isidingo tuliipenda sana lakini hakuna kisicho na mwisho. Hivyo kwa sisi wafuatiliaji wa ITV wameamua kutuletea tamthilia mpya ya Uzalo, japo sina hakika kama ni mpya kabisa, ni ya muda kidogo. Kama mwaka juzi
Hivyo uzi huu ni wa kupeana sasisho kwa wale watakaokosa na...
FCB , Bayern Munich , or FC Bayern , is a German professional sports club based in Munich , Bavaria. It is best known for its professional football team, which plays in the Bundesliga, the top tier of the German football league system. Bayern is the most successful club in German football...
Wapenzi wa series za Uturuki nikiwa mmoja wapo, japo kuangalia kwa subtitles ni changamoto ila kwenye story wanajitahidi hasa kwenye visa kuanzia vya mapenzi, missions n.k
Zifuatazo ni baadhi ambazo nimezielewa story zake
1. ARIZA
2. Tesklat
3. Zemheri
4. Sol yanim
Ongezea list wale wapenzi...
Mavula:
Kwanini uteuzi wa Togolani Mavula na Hoyce Temu umezua mjadala?
Nimejiuliza why particularly Togolani Mavula anatokea kwenye thread heading, likewise Hoyce Temu kumbe ni hivi: Huyu Togolani Mavila ana historia ya kuwa na ukaribu na Ombeni Sifue aliyekuwa Katibu Mkuu ofisi ya Rais...
What Woman Sir? This is one Here is a Whore.
Kwa wapenzi wa The Boondocks mnatukuwa mnaelewa na ku enjoy hii scene ya Slickback oops 'the pimp named slickback".
Huyu jamaa alinifurahisha sana.
The Boondocks itabaki kuwa adult swim bora miaka yote. Hebu weka scene iliyokufurahisha.
Nimeona nianzishe uzi wa ku-update bei za vitu mbali mbali vinavyotumika katika ujenzi... kama mabati, tofali, kokoto, rangi, misumari n.k
Uzi utakuwa updated kila wakati bei zinapobadilika na kama kuna material mpya ambayo haimo kwenye thread itaongezwa kwenye list katika post namba #2 ambayo...
Huu ni uzi maalum wa kupeana ideas, uzoefu na elimu ya kupamba nyumba, namna ya kusafisha ndani na nje ya nyumba, pamoja na mpangilio wa vitu katika nyumba zetu.
Habari Wanabodi
Uzi huu ni maalumu kwa ajili ya matangazo ya kazi kutoka ITM Tanzania Ltd.
.........
Kufahamu kuhusu ITM Tanzania Ltd tafadhali tembelea:
https://www.jamiiforums.com/threads/itm-tanzania-ltd-tunaomba-ukaribisho-wenu-wanabodi.1834571/
Ahsanteni na karibuni
#WeAreITM
Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu na mijadala inayoendelea hapa kila siku kuhusu masuala ya Katiba na Sheria za nchi yetu. Aidha kuhusu haki za binadamu, rushwa, utawala wa sheria na mengineyo.
Kupitia thread hii maalum; tutapokea maoni, ushauri na hata malalamiko yenu...
Habarini wakuu mimi najifunza javascript japo kuna baadhi ya vitu sivielewi ningependa mnieleweshe muundo wa js kanuni muhimu za js na neno return linatumika vp kufunction code nanjia bora za kujifunza js
Kwa sasa ninajua HTML,CSS
Ahsanten na natumai mtanipa ufunguzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.