thread

  1. Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Full name: Manchester United Football Club Nickname(s): The Red Devils Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C. League: Premier League Website: ManUtd.com Ground: Old Trafford, (Capacity: 74,994) - Pitch 105m x 68m Co-Chairmen (Owners): Joel na Avram...
  2. Utafiti wa kina nilioufanya kuhusiana na thread nyingi zinazoanzishwa humu JF

    Thread nyingi zinazoanzishwa humu JF kawaida huwa zinachukua muundo wa aina hii: Kuanzia page ya kwanza mpaka ya tano, watu wanakuwa wanajadili mada husika kwa umakini unaotakiwa na wnakuwa wako ndani ya mada muda Kuanzia page ya sita mpaka ya kumi linaanza kujitokeza kundi dogo la watoto na...
  3. Thread kumi bora zitakazo funga mwak 2020.. Kuanzia tarehe 1 desemba

    Vigezo na mashart kuzingatiwa Thread lazima iwe kati ya 1dec 2020 mpaka 1.1.21 Jukwaa lolote Yenye views weng Yenye likes nyings Yenye pages nying Yenye comment nying Ni ipi??? Muda bado...tuendelee kuzitafuta Deadline ni 1.12021 Dau halipo ilA pongezi na HONGERA.. atatangaza mwenyewe...
  4. Ufafanuzi kuhusu thread yangu ya kununua wazo la biashara

    Salaam wakuu naomba kutoa ufafanuzi kidogo kama watafutaji na wapambanaji wazo ndio kila kitu ukiwa na wazo ni rahisi kutengeneza pesa! Napokea ujumbe mwingi pm watu ambao wako serious tunajadiliana naomba watu mjue kuhusu kiwango ambacho ninacho kinafit kwa wazo dogo na hata kubwa half of one...
  5. Hard to choose thread nimeona niwashirikishe wakuu tuanze na ipi hapa?

    Naandika nafuta maana nikiandika hii nyingine inakuja naona kama iko mzuka kuanza nayo nikitaka kuanza nyingine inakuja sasa nimekaa hapa hata sielewi nianze ipi nimalize na ipi 😫😀😀 Wazee list yenyewe hii hapa inayovuruga kichwa Quincy Jones - Producer nambari moja dunia kwa upande wangu...
  6. The UEFA Champions League 2020/21 Special Thread

    Wakuu Salaam: Mashindano ya ligi ya Mabingwa barani Ulaya kwa hatua ya makundi yanaanza rasmi leo kwa mechi mbalimbali kupigwa viwanja tofauti. Ni timu ipi huenda ikaibuka mshindi kwa mashindano haya? Ratiba (20/10/2020). GROUP E Chelsea Vs Sevilla (22:00pm) FT: 0-0 Rennes Vs Fc Krasnodar...
  7. Katiba ya shirikisho la Afrika Masharki

    Kama tunavyojua kwa sasa, marais wa Jumuiya waliamua kuwa kongamano la kisiasa (confederation) itakuwa muungano wa kisiasa wa mpito wa kukaribisha shirikisho la kisiasa (federation). Tofauti kubwa kati ya kongamano la kisiasa na shirikisho la kisiasa ni kuwa uanachama wa au kuondoka kongamano ni...
  8. SPECIAL THREAD : SIMI . (Simisola kosoka) : An African beautiful woman with beautiful voice

    Embu weka hapa nyimbo yake yoyote unayo ipenda mpaka kesho kutwa , mie naanza 1.jericho (usipime hatari , tena ile AYA ya kwanza unaweza sema imedondoka dhahabu) 2.john 3.duduke (bonge la music) 4.nyingine zipo youtube kwenye channel ake (go end support her) 5. ongezea Dah asee...
  9. M

    Jukwaa linahusu Kenya lakini waanzisha thread karibia wote ni wa TZ

    Wakuu, nimetafakari sana baada ya kupitia threads za kwenye jukwaa hili. Utakuta waanzilishi wa threads zilizo nyingi ni wa TZ badala ya wakenya. Hii imekaaje? Tujadiliane.
  10. Tanzania Tech Gurus Special thread

    Hero wakuu, poleni na mihangaiko ya kila siku. Mimi ni mdau na schoral wa field ya IT na lengo langu kubwa ni kuja kufanya kitu ambacho ni remarkable na nipo chimbo kwa sasa, back to topic nakua inspired sana na wakubwa waliotangulia mfano kwa mbele watu kama Elon Musk, Mark Zuckerberg, Jeff...
  11. Trucks and truckers special thread. Uzi maalum kwa wadau wa magari ya mizigo na wasafirishaji

    Sekta ya usafirishaji wa mizigo kwa kutumia magari (malori) ni muhimu sana hapa nchini na duniani kwa ujumla. Magari ya mizigo yanafika jirani zaidi na mlaji wa mwisho au sokoni ambako meli, reli na ndege haviwezi kufika. Uzi huu ni mahususi kwa kupeana taarifa mbalimbali kuanzia kwenye...
  12. Thread titlejamanii Naomba kuuliza nini kinasababisha mtoto kutosimama

    Message…habari Nina tatizo la mtoto kachelewa kusimama ana mwaka na miezi hata ukimsimamisha hasimami kabisa sijui tatizo litakua nini nimeenda hospitality wakaniambi calcium iko chini ana dawa anatumia nimempeleka kwenye vipimo Nairobi wanasema hana shida daktari kaniambi nimpeleke kwenye...
  13. Kuendelea na shughuli zao za kawaida je Watanzania wamekubaliana na Rais wao!?

    Pamoja na janga la Covid 19 kuendelea kuukumba Ulimwengu na karibu Nchi nyingi kuwafungia wananchi wao lakini hali ni tofauti kwa upande wa baadhi ya mataifa ikiwa pamoja na Tanzania. Watanzania wengi wameendelea na shughuli zao za kawaida kama wanavyoaswa na Rais wao na inaonyesha hawana...
  14. N

    Mshahara wa dereva wa lori unaanzia kiasi gani hapa Tanzania?

    Habari zenu wana jamvi, Kwa kipindi kirefu sasa nimekuwa nikitamani kujiunga na tasnia ya udereva particularly udereva wa malori (truck driver), nilikua naomba kujulishwa mshahara wa dereva wa lori apa Tanzania. Asanteni
  15. Diana Spencer na Financial Service wa JF (Special thread)

    Wanabodi habari, Hawa dada zetu avatar zao ni threat katika moyo wangu, Warembo, macho yao, midomo midogo, pua ndogo, nahisi mnawaonaga, wanapendeza mnoooo, kichwa kinauma last seen yao tangu saa sita mchana kipindi hiki na hii korona. Mh!, nilizoea kuwa hata na like post zao lakini Leo moyo...
  16. Bahati nasibu ya Mchina 'Korokoro' special thread

    Wakuu habari, Inawezekana kuna wadau humu wamekuwa 'addicted' na mchina ama korokoro kama inavyoitwa katika sehemu mbalimbali. Naomba kwa anayefahamu adondoshe hapo tip jinsi gani unaweza kubashiri vizuri katika bahati nasibu hii. Asante
  17. Jaribu kufanya haya unapotaka kujifunza programming

    Nafikiri umekuwa ukijiuliza maswali mengi juu ya programming, kwamba ni kitu gani, kinafanya nini na utawezaje kukifanya, siko hapa kukufundisha maana haiwezekani ila nitakueleza njia ambazo nimekuwa nikizitumia kujifunza programming tangu siku ya kwanza niliposikia msamiati huu. Nafikiri...
  18. Mwanamke njoo usimulie ulivyompata mme wako wa ndoa!!

    Wanawake hupata wanaume wa kuwaoa kwa njia mbalimbali kama vile: 1.ulimpa tunda kimasihara baadae akawa mmeo 2.ulienda kuombewa kwa mchungaji 3.ulitafta mtandaon 4.alikuwa mwalimu wako darasan 5.alikuwa mpangaji mwenzio 6.alikuchumbia Wanawake karibun mtaje njia mlizotumia kuwapata wanaume...
  19. Wana (Zuchu) Vs Dodo (Ali Kiba)

    Hizi nyimbo zote ni mpya, na zina mahadhi yanayofanana... Dodo iliachiwa jana chini ya Kings music na Wana imeachiwa leo chini ya Wasafi label Kwa mtazamo wako upi wimbo ni mkali kuliko mwingine bila ya kujali jina wala label aliyopo msanii husika
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…