Twitter () is an American microblogging and social networking service on which users post and interact with messages known as "tweets". Tweets were originally restricted to 140 characters, but on November 7, 2017, this limit was doubled to 280 for all languages except Chinese, Japanese, and Korean. Registered users can post, like, and retweet tweets, but unregistered users can only read them. Users access Twitter through its website interface, through Short Message Service (SMS) or its mobile-device application software ("app"). Twitter, Inc. is based in San Francisco, California, and has more than 25 offices around the world.Twitter was created in March 2006 by Jack Dorsey, Noah Glass, Biz Stone, and Evan Williams, launched in July of that year. The service rapidly gained worldwide popularity. In 2012, more than 100 million users posted 340 million tweets a day, and the service handled an average of 1.6 billion search queries per day. In 2013, it was one of the ten most-visited websites and has been described as "the SMS of the Internet". As of 2018, Twitter had more than 321 million monthly active users. Since 2015 Twitter has been a hotbed of debates and news covering politics of the United States. During the 2016 U.S. presidential election, Twitter was the largest source of breaking news on the day, with 40 million election-related tweets sent by 10:00 p.m. (Eastern Time) that day.
Taarifa zimesambaa kupitia mtandao wa Twitter kuwa Waitara amelazwa jijini Dodoma ambapo imedaiwa anaugua maradhi ya Corona.
Wacha tusubiri lakini hii ya kulazwa labda inaweza kuwa ni kweli, ila kuhusu aina ya ugonjwa, muda utathibitisha.
--- UPDATE---
Mheshimiwa Mwita Waitara amethibitisha...
Mtandao wa Twitter umesema umezifuta akaunti 170,000 zilizokuwa zinahamasisha maandamano Hong Kong, kutoa mtazamo wa uongo kuhusu COVID19 na kuhusu maandamano ya Marekani ya George Floyd
Twitter imesema akaunti 23,750 zilizoandika jumbe hizo na 150,000 zilizosaidia kusambaa zaidi jumbe hizo...
Kigwangalla awacharua wanaomsema hajui kingereza asema sio sifa kuijua
Waziri wa Maliasilia na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla amesema kuna watu huwa wanajaribu kumkosoa lugha yake ya kingereza.
“Huwa nina washangaa sana maana kwanza siyo sifa kujua lugha hiyo mimi naitumia kama njia ya...
Kwa mtazamo wangu,inawezekana kabisa baadhi ya wale waliounga mkono juhudi na kisha kupewa vyeo,baadhi yao walipandikizwa huku wakiwa wamepewa kazi maalumu na moja ya kazi wanayofanya ni hayo yanayoendelea huko twitter ambapo tunaona nyaraka zinavujishwa kila kukicha.
Pia,inawezekana wako...
Akizungumza katika kipindi cha Jicho letu ndani ya habari mwandishi nguli Pascal Mayalla amewataka TCRA kuwafuatilia wale wanaoandika uchafu kwenye mtandao wa Twitter na kama wameshindwa basi waufungie mtandao huo hapa nchini.
Na kama hayo yote hayawezekani basi Watanzania wazalendo wajulishwe...
Sio kwamba kwenye utawala wa BM na JK siri za serikali na viongozi wake zilikuwa hazivuji zilivuja ila sasa imekuwa too much.
Alianza Mange kuvujisha mambo very sensitive na alileta taaruki kweli na baadhi ya mambo ulikuwa ukitizama unaona kabisa yanatoka ndani jikoni.
Sasa hivi Kigogo kuna...
Rais Donald Trump wa Marekani jana Alhamisi alisaini Amri ya Utendaji (Executive Order on Preventing Online Censorship) inayolenga kuongeza uwezo wa serikali kusimamia na kuibana mitandao ya kijamii. Amri hiyo inalenga kampuni zilizopewa ulinzi wa kisheria kupitia kifungu cha 230 cha Sheria ya...
Donald Trump anatarajia leo Alhamisi kutia saini kwenye agizo linalolenga mitandao ya kijamii, maafisa wa Ikulu ya White House wamesema, saa chahe baada ya rais huyo kutishia kudhibiti au kufunga makampuni ya mitandao yote ya kijamii, akiyatuhumu kujaribu kuzuia uhuru wa kujieleza.
Wawakilishi...
Mmiliki wa Facebook (Instagram, WhatsApp na Facebook yenyewe) bwana Mark Zuckerberg amepingana na Twitter kuhariri tweets za watu na kusema wao hawahariri tweets za wanasiasa.
Mark amesema mitandao ya kijamii inapaswa kuacha kuwa polisi wa maoni ya watu. Twitter Facebook na mitandao mingine...
Mimi niko kwenye mitandao ya kijamii kadhaa kkiwemo Twitter kwa muda mrefu kidogo.
Hivyo kwa muda nilikua nikifurahia michango ya watanzania wenzangu ya kisomi kabisa Twitter na JF ila sasa Twitter imekua ya hovyo sijawahi kuona.
Twitter ya sasa imevamiwa na makundi ya wavuta bangi wanajiita...
Kenyans Ranked as the Worst Bullies on Twitter by UN body
A survey by the United Nations Office on Drugs and Crime (UNODC) has ranked Kenyans as the worst bullies on Twitter.
In the survey which Kenya tops and Canada comes last at position 171, Kenyans excelled in their ability to come together...
Tumewachagua wabunge au viongozi kidemokrasia, tukitarajia watakuwa wajibikaji na kutusemea huko kwenye vyombo stahiki kama Bunge.
Hali imekuwa tofauti kwa wabunge wengi ambao mara nyingi wamekuwa wakija kuandika kwenye mitandao ya kijamii na kuanza kujibizana na wananchi au kujitetea kuhusu...
President Trump kaifutia WHO msaada wa fedha akidai WHO imekuwa upande wa China kwa kuipongeza kwenye kupambana na Coronavirus. Cha ajabu hata yeye aliisifia China January 24.
Najiuliza ni nin kimemsukuma Greyson Msigwa wa Ikulu kupost picha hizi katika mtandao wa twitter asubuhi ya leo?
Ameandika "kumbukizi" bila shaka akimanisha kumbukumbu.
Je,ni hivi hivi tu?
Upendo huu umeanza lini?
Hii hawezi kuwa ni damage control?
Jamani, mbona tunatia aibu hivi. Ukipitia page ya Aston Villa kuhusu mchezo wao na Man City jana (hasa pale walipoiweka picha ya Samatta), matusi ya vijana wa Bongo yameendelea kurindima. Hii ni tofauti kabisa na maoni ya wengine walioyatoa kwa lugha ya Kiingereza. Karibu maoni yote ya...
Habari Jamii yangu ya humu ndani.
Nasikitika sana baada ya masaa kadhaa kupita ndio napata notification kwamba kuna mtu/kikundi cha watu wameweza kuingia kwenye account yangu ya twitter na kufanya walichofanya then wakatoka.
Nimeshindwa kuscreenshot ule ujumbe kwa sababu zangu binafsi ...
Rais wa Marekani, Donald Trump mnamo Ijumaa alimuonya kiongozi mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, kuwa "mwangalifu sana na maneno yake," baada ya kiongozi huyo wa Iran kuitumia hotuba adimu kwa taifa hilo "kuidharau Marekani" na kulitetea jeshi la Iran.
Trump aliandika katika ukurasa wake wa...
Mtandao wa kijamii wa Twitter umesema leo kuwa umezifuta akaunti 6,000 zilizokuwa sehemu ya juhudi kubwa ya serikali ya Saudi Arabia na watu binafsi ya kutanua maslahi ya kisiasa na kieneo ya taifa hilo.
Twitter imesema akaunti hizo zimekuwa zikisambaza maudhui ya kupigia upatu mamlaka za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.