Twitter () is an American microblogging and social networking service on which users post and interact with messages known as "tweets". Tweets were originally restricted to 140 characters, but on November 7, 2017, this limit was doubled to 280 for all languages except Chinese, Japanese, and Korean. Registered users can post, like, and retweet tweets, but unregistered users can only read them. Users access Twitter through its website interface, through Short Message Service (SMS) or its mobile-device application software ("app"). Twitter, Inc. is based in San Francisco, California, and has more than 25 offices around the world.Twitter was created in March 2006 by Jack Dorsey, Noah Glass, Biz Stone, and Evan Williams, launched in July of that year. The service rapidly gained worldwide popularity. In 2012, more than 100 million users posted 340 million tweets a day, and the service handled an average of 1.6 billion search queries per day. In 2013, it was one of the ten most-visited websites and has been described as "the SMS of the Internet". As of 2018, Twitter had more than 321 million monthly active users. Since 2015 Twitter has been a hotbed of debates and news covering politics of the United States. During the 2016 U.S. presidential election, Twitter was the largest source of breaking news on the day, with 40 million election-related tweets sent by 10:00 p.m. (Eastern Time) that day.
Matokeo ya Uchaguzi wa Marekani yamemtangaza Joe Bidden kuwa Rais wa Marekani baada ya kumshinda Donald Trump.
Trump ameonekana kutoridhika na hali hiyo ametweet kuwa alishinda kwa kiasi kikubwa.
Mtandao wa twitter umeongezea link kwenye tweet ya Trump kuonyesha matokeo halisi yaliyotangazwa.
Wakati kura zikiendelea kuhesabiwa kufuatia Uchaguzi Mkuu nchini Marekani, mtandao wa Twitter umetoa tahadhari kuhusu chapisho la Rais wa Marekani, Donald Trump alilochapisha katika mtandao wake wa kijamii wa Twitter akiwashutumu wapinzani wake (Joe Biden) kuiba kura.
Trump aliandika...
Some anonymous accounts blackmailing Tanzanian government, have been verified and sponsored same day when US embassy joint latter with Germany embassy went viral on the internet revealing their support to opposition parties which later they claimed to be fake on their twitter account.
According...
AFISI mpya ya Kamishna wa Kulinda Data italinda maelezo kuhusu Wakenya yanayohifadhiwa na kampuni za kubwa za kiteknolojia kama vile Facebook, Twitter na Google, Immaculate Kassait ambaye ameteuliwa kushikilia wadhifa huo amewahakikishia wabunge.
Bi Kassait, ambaye kabla ya Rais Uhuru Kenyatta...
Ahead of tomorrow's election in #Tanzania, we're seeing some blocking and throttling of Twitter. #TanzaniaDecides2020 Internet shutdowns are hugely harmful, and violate basic human rights and the principles of the #OpenInternet #KeepItOn
Najaribu kuingia YouTube lakini inagoma, kama nusu saa iliyopita nilikuwa naipata.
Kuna yeyote anapata tatizo kama langu?
Natumia Mtandao wa Tigo
PIA SOMA
= >...
Watumiaji wa mtandao wa twitter, Telegram, wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.
PIA SOMA
= > Leo Mitandao ya kijamii Tanzania Bara imekuwa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter na Telegram zimeguswa
Habari za hivi punde zinazoashiria upepo wa matumaini unazidi kuvuma, ni kuwa Twitter imeverify account zifuafazo, tena kwa mkupuo.
Tundu Lissu
Fatma Karume
Chadema Tanzania
John Mnyika
Zitto Kabwe
Carherine Ruge
ACT Wazalendo
Najua kuna watakaokuja na kubeza na hata kutaka kulinganisha na...
Kwanzia Leo taarifa rasmi za simba sc za lugha ya kingereza zitatoka kupitia official page yao ya lugha hiyo itakayo julikana kama "Simba sc English"
Utopolo mpooooo?
Mambo ya Barbara Gonzalez hayo endeleeni kumsubiri senzo aige
Hii ni next level iga ufe
Ubalozi wa China nchini Uingereza umeomba mtandao wa Twitter kufanyia uchunguzi akaunti ya Liu Xiaoming Balozi wa nchini humo baada kuonesha kupenda maudhui ya picha ya ngono kupitia mtandao huo.
Tukio lilitambuliwa mara ya kwanza na Mwanaharakati wa haki za binadamu Uingereza na kusababisha...
Mtandao wa Twitter umethibitisha kudukuliwa kwa akaunti hiyo na kueleza kuwa wadukuzi wakuwa wakiwaomba wafuasi michango ya fedha kupitia sarafu za mtandaoni (cryptocurrency)
Tukio hili linajiri ikiwa ni wiki kadhaa tangu akaunti za Twitter za watu mashuhuri zidukuliwe
Uongozi wa Twitter...
Tundu Lissu alijua kuwa atashinda Urais alimchukulia poa Rais Magufuli, alipokuwa akisoma comments za twitter akaona tayari ameshashinda.
Hali halisi ameiona mitaani, alikuwa ameisahau CCM kuwa ndio chama tajiri kilicho kitaasisi.
Ametembea kukusanya wadhamini kila pahala amekutana na maajabu...
Twitter imezuia akaunti ya kampeni ya Donald Trump kwa kukiuka sheria zake zinazohusu usambazaji wa taarifa za upotoshaji, baada ya kuposti video ya Rais huyo wa Marekani akisema watoto wana kinga dhidi ya Coronavirus.
Twitter imesema kuwa tweet kutoka akaunti ya @TeamTrump, ambayo ilionesha...
Mamlaka katika Jimbo la Florida zimemkamata Graham Ivan Clark kama mtuhumiwa mkuu wa Udukuzi uliotokea kwa watu maarufu wakiwemo Barack Obama, Elon Musk, Bill Gates na Kanye West katika mtandao wa Twitter
Graham anatuhumiwa kwa makosa 30 likiwemo la udukuzi na atashtakiwa kama mtu mzima pamoja...
Wakuu wote kama taifa tumepatwa na msiba baada ya kuondoka kwa Rais mstaafu Ndugu Benjamin W. Mkapa na tumetangaziwa kuwa na maombolezo ya kitaifa kwa siku 7. Katika pita pita zangu nimeona kuwa kuna bonanza kubwa lililopangwa kufanyika tarehe 25/07/2020 katika viwanja vya posta jijini Dar es...
Uongozi wa Mtandao huo umekiri kuwa Wadukuzi walifanikiwa kuingilia akaunti za watu maarufu wakiwemo Barack Obama, Elon Musk, Kanye West pamoja na Bill Gates
Akaunti hizo zenye idadi kubwa ya wafuasi zilishuhudiwa zikiweka taarifa ya matangazo kuhusu sarafu ya mtandaoni ya Bitcoin
Twitter...
Ni ndani tu ya saa moja lililopita, wadukuzi wamefanikiwa kuingilia faragha za akaunti za Twitter za Bill gates na Elon Musk na kutuma ujumbe ukiwataka watu watume kiasi cha pesa kwa njia ya bitcoin kisha, Watatumiwa mara mbili ya hiko kiasi.
Mashambulizi yamekuwa makubwa maana kila Twitter...
Habari wadau,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni mtumiaji wa mtandao wa twitter toka mwaka 2015 lakini mpaka sasa nimefanikiwa kuwa na followers 500+.
Kwa mujibu wa wadau, followers wa twitter ni hela kuna namna mbalimbali ya kuingiza pesa kwa kutumia mtandao wa twitter lakini...
Mtandao wa Twitter umezificha posts za Rais Trump zinzotishia kutumia nguvu kumaliza maandamano. Hatua hii imekuwa ni ya kwanza kwa mtandao huo kuchukua hatua ya kuficha maudhui ya vitisho
Kitendo hiko cha twitter kimefanya katika maudhui aliyoyaweka Trump kwa kuweka kiunga kinachompeleka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.