uchaguzi wa serikali za mitaa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    LGE2024 Arusha: Wagombea 9 wa CCM waenguliwa kwenye mchakato wa Serikali za Mitaa kwa kukosa sifa

    Katika Halmashauri ya Jiji la Arusha, Mkoa wa Arusha, wagombea tisa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameondolewa kwenye mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Hatua hiyo imechukuliwa baada ya wagombea hao kukosa sifa zinazotakiwa kwa mujibu wa kanuni na...
  2. Wakusoma 12

    Bado Chadema na vyama vya upinzani hamjachelewa tangazeni kujiondoa kushiriki uchaguzi wa Tamisemi. Hakuna uchaguzi hapo

    Kwanza Mimi siwezi kuuita uchaguzi wa serikali za mitaa kama hauna mandatory ya kisheria juu ya wasimamizi. Ni mpumbavu pekee atatetea Tamisemi kusimamia uchaguzi ingawa hakuna uwazi na mkuu wake akiwa mwanachama wa CCM. Waziri wa TAMISEMI ni mwanachama wa CCM na kwa Sheria za ushindani na uwazi...
  3. Mndeme jeremia

    Pre GE2025 Vyama vya upinzani vijijenge kitaasisi na sio kusubiri uchaguzi na kuanza kuleta malalamiko

    Kumekuwa na Sintofahamu kuhusu mchakato wa baadhi ya vyama vya siasa kupata wawakilishi kuelekea uchaguzi wa serekali kuu na uchaguzi wa mwakani. Vyama vingi vya siasa vimekua vikilalamika wagombea wao kuenguliwa kwa kukosa sifa za kugombea kwenye Chaguzi hizo, japo madai haya bado...
  4. Pascal Mayalla

    Pre GE2025 Ombi Maalum, Kwa Mtu Maalum Achana na Hizi Mutatis Mutandis Kwenye Chaguzi za SM2024 & U/Mkuu2025, Tumia Ceteris Peribus, Utabarikiwa, Tutabarikiwa!

    Wanabodi Wanabodi, Hili ni ombi mahsus na maalum kwa mtu mahsus na maalum, hivyo hii thread sio thread ya watu wote bali ni thread mahsus maalum kwa mtu mahsus maalum kwa lengo mahsus maalum la kutumia ujumbe mahsus maalum kabisa kwa mtu wetu mahsus maalum kabisa. Ombi kama hili kwanza...
  5. Cute Wife

    LGE2024 Makalla: CCM hatuhitaji upendeleo wala kubebwa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, TAMISEMI itende haki

    Amos Makalla, ametoa msisitizo kwa TAMISEMI kutenda haki kwa vyama vyote vilivyosimamisha wagombea katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji. Amesema katika uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu, wapo wagombea wa CCM ambao wamewekewa pingamizi, hivyo madai ya...
  6. Roving Journalist

    LGE2024 Morogoro: Msimamizi wa Uchaguzi Kilosa amjibu Joseph Haule (Prof. Jay) kuhusu Wagombea wa CHADEMA kuenguliwa

    Michael John Gwimile, Mkurugenzi na Msimamizi wa Uchaguzi Halmashauri ya Kilosa. Soma Pia: Prof. Jay: Wagombea wetu wote Wilaya ya Kilosa wameenguliwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
  7. Mindyou

    LGE2024 Bukoba: Mgombea wa ACT Wazalendo aenguliwa kwenye kinyang'anyiro kisa kushindwa kuelezea wadhfa anaoenda kugombea

    Wakuu, Vuguvugu la uchaguzi wa serikali za mitaa limeendelea kushika kasi. Kupitia mtandao wa X, kada wa ACT Wazalendo amefichua kuwa baadhi ya wagombea wa ACT Wazalendo wameenguliwa kwa kile kilichoonekana kuwa amekosea kuweka mdhamini sahihi na kushindwa kuelezea vizuri wadhfa anaoenda...
  8. Mzee Nyerere

    LGE2024 Makalla: CCM itatumia 4R za Rais Samia katika hatua yake ya kuuteketeza kabisa Upinzani kabla, wakati na baada ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitatumia 4R za Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kufanya kampeni za kistaarabu na kuheshimiana katika uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji. Amesisitiza kuwa viongozi...
  9. Stephano Mgendanyi

    LGE2024 CCM Dodoma Mjini Yaanza Kuwanoa Mabalozi Kujiandaa na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    ▪️Kukutana na Mabalozi zaidi ya 2000 ▪️Mabalozi wagawiwa vitendea kazi ▪️Mwenyekiti Mamba awataka kuhimiza wanaCCM kushiriki uchaguzi ▪️Mbunge Mavunde awahimiza kuhakikisha ushindi wa CCM 𝐃𝐎𝐃𝐎𝐌𝐀 Chama cha Mapinduzi(CCM) wilaya ya Dodoma Mjini kimeanza mikutano ya ndani ya kuwajengea uwezo...
  10. Poppy Hatonn

    LGE2024 Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu utakuwa na matokeo mabaya zaidi kwa Wapinzani kuliko ule uliopita

    Ndio maoni yangu. Uchaguzi huu utakuwa na matokeo mabaya zaidi kwa Wapinzani kuliko ule uliopita. Kama ahueni yoyote itatokea, labda itakuwa katika Uchaguzi Mkuu wa 2025. Lakini mwaka huu unaweza kuleta matatizo. Kwanza wananchi wamekaribishwa kujiandikisha kupiga kura, wamekataa. Ina maana...
  11. K

    LGE2024 Tundu Lissu: Kupata wagombea 380,000 Serikali za Mtaa ni changamoto kubwa

    Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amekiri wazi kuwa chama chake kinapata wakati mgumu kupata wawakilishi wa Uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa kutoka na hitaji la wingi wa Wagombea. Amesema hayo katika mahojiano na Chief Odemba wa Star TV. Unadhani kwa kauli hii ndio kusema Lissu...
  12. Chachu Ombara

    LGE2024 Amos Makalla: CHADEMA hawakuwa na kura za maoni kupata wagombea uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Ndugu Amos Makalla amesema stori zote mtandaoni wakati wa kura za maoni zilikuwa zinahusu CCM kuendesha mchakato huo katika kuwapata wawakilishi wa chama hicho katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Ameongeza kuwa kuna vyama vinajiita vya Demokrasia lakini vimeshindwa kuwapata wagombea wao kwa...
  13. Roving Journalist

    LGE2024 ACT Wazalendo: Tumesikitishwa na Hujuma, ubabaishaji na udanganyifu wa Uandikishaji Wapigakura uliolenga kuipendelea CCM

    Leo Novemba 2, 2024 Kiongozi wa ACT Wazalendo, Dorothy Semu ameongoza Kikao cha Kamati ya Uongozi iliyokutana leo katika Ukumbi wa Juma Duni Haji ulioko katika Jengo la Maalim Seif Makao Makuu ya chama hicho Magomeni Dar es Salaam. Kikao hicho kilichojaa vigogo wa ACT Wazalendo kimekutana...
  14. N

    LGE2024 CUF: Zoezi la kuchukua na kurejesha fomu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa lilikuwa na dosari, tunashauri muda uongezwe

    Chama cha Wananchi CUF kimetoa wito kwa mamlaka inayosimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kuongeza muda wa wakuchukua na kurejesha fomu kwa wagombea. Katika tamko ambalo wamelitoa November 1, 2024 majira ya mchana ikiwa yamebakia masaa machache kwa muda rasmi uliotolewa na TAMISEMI...
  15. Dalton elijah

    Pre GE2025 Wajibu Wa Vyombo vya Habari katika Uchaguzi

    Vyombo vya habari vina wajibu mkubwa wa kuripoti kwa umakini na usahihi habari mbalimbali hasa zinazohusu uchaguzi ili kuipa jamii kile ambacho inachostahili. Wakati wa kampeni waandishi wa habari wana wajibu wa kutopendelea vyama vya siasa kwa kuegemea kuripoti habari za chama fulani na kuacha...
  16. Mkalukungone mwamba

    LGE2024 Isihaka Mchinjita: Katika baadhi ya maeneo wagombea wetu wametakiwa ili wapewe fomu ni lazima wapeleke vitambulisho vya uraia

    Hali inakuwa si nzuri kwa vyama pinzani nchini kwenye uchaguzi huu wa serikali za mitaa ambapo kila leo unasikia wanakutana na vibwanga. Leo ACT Wazalendo wanasema wagombea wao bila NIDA basi fomu awapati. Mbona tuliambia kwamba uchaguzi huu utakuwa wa uhuru na haki! Lakini hali na kasoro kibao...
  17. Mindyou

    LGE2024 Njombe: Wananchi wataka wanasiasa kufanya kampeni za kistaarabu na zisizo na matusi kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa

    Wakati zoezi la uchukuaji fomu za kugombea uenyekiti na ujumbe wa serikali za mitaa likiendelea nchini, wakazi wa Mtaa wa Kambarage mjini Njombe wameomba kampeni za kistaarabu zisizo na lugha za matusi pindi zitakapoanza. Wananchi hao wamesisitiza umuhimu wa kampeni zenye kujenga umoja na...
  18. Mindyou

    LGE2024 Dar Es Salaam: TGNP na LHRC zaungana kutoa elimu na kuwahasa wananchi kushiriki kwenye kampeni za Uchaguzi wa Serikali za mitaa

    Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024, wananchi wamehimizwa kushiriki kikamilifu katika kampeni za wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi. Wito huo umetolewa na Afisa Uchaguzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Wakili Maduhu William...
  19. Torra Siabba

    LGE2024 CHADEMA Uyui Wanyimwa Fomu za Wagombea na Afisa Mtendaji

    Wana jamvi, kazi yangu ni kuzunguka tuu na kuwaletea yanayojiri, jioni hii nikiendelea na harakati zangu za utafutaji, nimekutana na wazee wa CHADEMA eneo la Ndala lililopo Wilayani Uyui Tabora. Wazee wa CHADEMA wanadai kwamba wameenda kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Serikali...
  20. ngara23

    LGE2024 Waziri Mchengerwa jiuzulu, umeshindwa kusimamia mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa

    Waziri Mchengerwa ni kiongozi ulijibebea sifa nyingi kutokana na utendaji wako Hivyo Kwa tu wa chini yako kuharibu mchakato huu muhimu Kwa maendelea ya vijiji na Miata ni busara achia ngazi. Mchakato umegubikwa na upuuzi ufuatao 1. Kuandikisha watoto chini ya umri wa 18 Watoto wa kigamboni...
Back
Top Bottom