Iko hivi
1. Mimi sinywi pombe, sigara wala siendi club hivyo sina sababu ya kwenda sehemu za starehe kama bar.
2. Sina ushabiki wa mpira, hivyo sina sababu ya kujichanganya kwenye stori za mpira au mabanda ya mpira.
3. Sina account ya mitando ya kijamii kama instagram, Facebook au Twitter, nk...