ufundi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Moody Rutunga Jr.

    Naomba msaada nahitaji kujifunza ufundi simu

    Habari wana jukwaa naomba msaada nahitaji kujifunza ufundi simu especially upande wa hardware, nipo bagamoyo naomba msaada labda mtu mwenye idea nianzie wapi? Au kama kuna fundi pia wa simu upande wa hardware tunaweza kuongea zaidi. Naomba kuwasilisha.
  2. B

    Ufundi wa pikipiki gani unalipa?

    Habari za muda huu rafiki na jamaa, Mimi napenda kujifnza ufndi wa pikiki, lakini sijui ni aina gani ya pikiki ukijua kuztengeza huweza kuleta kipato zaidi na kujifnza huko huweza kuchukua muda gani kwa mwenye uelewa? Naomba ufafanuzi zaidi.
  3. Sky Eclat

    Elimu ya sanaa na ufundi shuleni irudishwe

    Sisi tuliosoma enzi za awamu ya kwanza, enzi za Chama kushika hatamu, tunakumbuka elimu ya sanaa na ufundi. Hili lilikua somo kamili, kulikua na walimu waliohitimu mafunzo hayo. Shule zilikua na karakana, wavulana walifundishwa useremala (labda nimekosea) na uwashi. Hata ujenzi wa madarasa na...
  4. Roving Journalist

    Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), kuanza kuandika Vitabu vya Kiada kwa Masomo ya Ufundi Kidato cha Kwanza hadi cha nne

    Akizungumza katika hafla ya utiaji saini wa makubaliano hayo jijini Dar es Salaam leo Alhamisi Juni 17, 2021 Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dk. Leonard Akwilapo amesema ni wazi kuwa wataalamu wa masomo ya ufundi wapo kwenye vyuo vya ufundi na hana shaka na wataalamu...
  5. J

    Rais Samia, isaidie Bodi ya Ununuzi na Ugavi wa Umma (PSPTB)

    Bodi ya wataalamu na Ufundi wa Ununuzi wa Umma ni miongoni mwa Bodi muhimu zinazosimamia utaalamu hapa nchini.Bodi hii inahusika katika kuhakikisha wataalam wanaosimamia shughuli za Manunuzi hapa nchini wanakuwa na ujuzi pamoja na weledi wa kutosha katika kufanya shughuli za Manunuzi ya Umma...
  6. Paa

    Naomba kujuzwa gharama za ufundi pamoja na bei za vitu vifuatavyo

    To design and install video recording studio Installation of an acoustic wall to improve silence in the range of 60-70dB Installation of ceiling panels to improve silence in the range of 60-70dB Installation of LED lighting Installation of air-conditioning system Painting and decorations...
  7. Mlenge

    Kwani Ufaulu Kidato cha nne ni lazima ili Kusomea Ufundi?

    Kwani Ufaulu Kidato cha Nne ni Lazima ili Kusomea Ufundi? Kwa mfano, kijana anataka kusoma mafunzo ya ufundi (VTC/VETA/NTA Level IV): Kwa nini baadhi wanaweka masharti ya kwamba alete cheti cha ufaulu kidato cha nne? Nielimisheni tafadhali.
  8. Fohadi

    Elimu ya Ufundi ni muhimu lakini inategemea sana mambo yafuatayo ili ilete tija na matokeo katika kupambana na Tatizo la ajira

    Natambua na nathamini sana mawazo ya Mh. Rais ya kubadili mitaala yetu ya elimu ili kuwawezesha vijana kupata elimu ujuzi itakayowasaidia kujiajiri na kuajiri watu wengine. Licha ya umuhimu wa elimu ya ufundi katika kutatua tatizo hili, bado elimu hii hii ya ufundi inaweza kuturudisha kule kule...
  9. Chaliifrancisco

    Ufadhili Wa Mafunzo ya Ufundi Stadi

    Ofisi ya Waziri Mkuu imetangaza kutoa ufadhili wa nafasi zaidi ya 12,000 katika fani mbalimbali za ufundi stadi. Fursa hii tuichangamkie vijana. Fungua attachment kwa maelezo zaidi. Pia unaweza kutembelea tovuti hii. www.kazi.go.tz
  10. Elisha Sarikiel

    Taarifa ya kubadilisha combination kwa kidato tano na kozi za vyuo vya ufundi

    Taarifa muhimu kwa Wanafunzi waliomaliza Kidato cha Nne, mwaka 2020 Waziri Jafo ametangaza utaratibu wa wahitimu wa Kidato cha Nne mwaka 2020 kubadilisha Tahasusi(Combination) za Kidato cha Tano na Kozi za Vyuo vya Elimu ya Ufundi kwa njia ya mtandao kwenye mfumo wa Kieletroniki wa uchaguzi wa...
  11. Mlenge

    Swali LA KIZUSHI: Je, wahitimu ufundi VTC si mahiri kama mafundi wajifunzao chini ya mwembe?

    Swali la KIZUSHI: Je, wahitimu ufundi VTC si mahiri kama mafundi wajifunzao chini ya mwembe? Fundi magari. Fundi cherehani. Fundi ujenzi. Fundi umeme. n.k. Hudaiwa huku mitaani kwamba wale waliojifunza vyuoni "hujua ya vitabuni tu, lakini ukimleta mtaani, huwezi kumlinganisha na aliyejifunza...
  12. Mechanic 97

    Natafuta kazi ya ufundi na nyinginezo

    Habarini wanajamiiforum mbele yenu ni kijana wa miaka 24 ninatafuta kazi kwa Sasa nipo dar. Elimu yangu ni NTA level 4 in mechanical engineering na Advanced certificate of secondary school in PCM. Vya ziada Nina uwezo wa kufundisha, kuchora kiasi na computer kidogo. Jamani mwenye connection...
  13. T

    Dkt. Kimei na Spika Ndugai, watoto wenu mliwasomesha ufundi simu?

    Mhe. Kimei, Mbunge wa Vunjo, amekosoa vikali mazoea ya kutukuza elimu ya "ma degree na ma PhD," akidai yanapotezea watoto muda. Hoja iliyoungwa mkono kwa nguvu na Spika Ndugai aliyelitaka bunge limsikilize Kimei kwa makini, na akamwongezea muda arudie na asisitize hoja yake. Badala yake watoto...
  14. M

    TFF, Benchi la Ufundi la Taifa Stars huko CHAN 2021 nimeshamaliza Kazi kwa Kikosi hiki Namibia leo na Guinea Wiki ijayo wanakufa!

    ANGALIZO Tafadhali kisibadilishwe na pia Kicheze kama ambavyo nimekipanga kwani Kiunyangindo kimeonyesha Mafanikio na tutashinda mechi zilizobakia. Kikosi cha Kuanza kiwe hiki tu.... 1. Aishi Manula 2. Shomary Kapombe 3. Yassin Mustafa 4. Ibrahim Ame ( kama bado hajapona aanze Dickson Job )...
  15. P

    Chuo gani Dar kinafundisha Ufundi pikipiki?

    Msaada kwa anaefahamu veta inayofundisha ufundi wa pikipiki kwa DSM
  16. Sosoma Jr

    Mafunzo ya Jeshi, Ufundi Magari na Sabato

    Kijana mwenye umri wa miaka kumi aliketi ametulia akisikiliza kwa makini hotuba yake ya kwanza katika Kanisa la Waadventista wa Sabato. Mhubiri alieleza kuhusu mfanyakazi wa Posta ambaye alipokea barua inayoenda kwa Santa Claus (Babu Krismasi). Kijana mdogo alikuwa ameandika barua kwa Babu...
  17. Rebeca 83

    Tuwe na vyuo vya ufundi vingi sasa

    Hello JF... Nimeona kilio cha wahitimu wetu wa University kuongezewa deni la mkopo. Hii ipo nchi nyingi duniani. I understand, deni linafidia na kuwasomesha wengine. ila ingependeza kama serikali ingejenga colleges ambazo zinatoa course almost similar but at cheaper price, kiasi kwamba...
  18. L

    Muundo wa Utumishi wa Wahandisi watakaofundisha shule za ufundi sekondari

    Jamani mambo mengi, muda mchache. Naombeni kujuzwa scale sahihi wanayotakiwa kulipwa wahandisi walioajiriwa na TAMISEMI kwenda kufundisha shule za ufundi sekondari mwaka 2021
  19. Edsger wybe Dijkstra

    Eneo la kufungua biashara ya huduma za ufundi simu, laptop, smart Tv nk kwa Dar kwa mwenye mtaji mdogo

    Niaje wadau, ni wapi Dar panafaa kwa biashara ya ufundi tajwa hapo juu kwa mtu anaenza na hana mtaji wa kukodi frem sehemu zilizochangamka kama Kariakoo na zinginezo? Yaani namaanisha sehemu yenye idadi kubwa ya watu na bei ya frem iwe chini sana angalau isizidi elfu 50 kwa mwezi, msaada mimi...
  20. Kelela

    Maelezo kwa kifupi ya jinsi ya kuanzisha chuo cha elimu ya ufundi stadi nchini

    MAELEZO KWA KIFUPI YA JINSI YA KUANZISHA CHUO CHA ELIMU YA UFUNDI STADI NCHINI 1 Utangulizi Mamlaka ya Elimu na mafunzo ya ufundi stadi(VETA) ilianzishwa chini ya sheria Na.1 ya mwaka 1994 kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2006 kwa lengo la kusimamia, kuratibu na kuendesha elimu na mafunzo...
Back
Top Bottom