uganda

  1. Sky Eclat

    Wenzetu Uganda wana Fundi Michelle (haki sawa kwa wote)

  2. and 300

    Uganda Airlines, wameanza vizuri

    Hawa Majirani tuwaangalie kwa jicho makini. Tuweke mipango inayoeleweka tuache kulia lia. **Tayari wanatua OR Tambo, Dubai, Bujumbura, Juba, Dar, Kilimanjaro na Mogadishu.
  3. JanguKamaJangu

    Baba Mzazi wa aliyekuwa Spika wa Uganda asema mwanaye alipewa SUMU iliyosababisha kifo chake

    Nathan Okori ambaye ni Baba mzazi wa aliyekuwa Spika wa Bunge la Uganda, Jacob Oulanyah amesema Mtoto wake (Spika Jacob) alipewa sumu ambayo ndio imesababisha kifo chake. Mzee Okori ametoa kauli hiyo leo wakati wa shughuli za mazishi ya Spika Jacob. "Sitaki niomboleze na kulia kwa ndani tu...
  4. chizcom

    Kitendawili cha DRC kuingia kwenye EAC kitategua au kuwavua nguo Rwanda na Uganda

    Ni pongezi kubwa kwa EAC kukalibisha congo kuingia kwenye EAC ila bado kitendawili ambacho DRC kutaka kifumbuliwe ni kuhusu vikundi vilivyomo ndani ya nchi yake. Je, EAC itakubali kuyajadili haya ukiachana na uchumi na mambo mengine. • On the day that DRC formally joined the EAC, thousands...
  5. Victor Inyangala

    The impunity of Uganda politics

    For years Uganda has experienced impunity in her politics since independence to now as many know a leader who ceases power by a coup is not a leader and we have seen so many ruthless counters on opposition leaders.
  6. MK254

    Kenya’s first branded car Mobius eyes Tanzania, Uganda

    A Mobius Model II car in Nairobi in 2019. PHOTO | NMG Kenya’s only home-grown automaker, Mobius Motors, plans to ramp up production of its second-generation model with an eye on the regional market including Uganda and Tanzania. The automaker, which in 2014 pioneered the production of a...
  7. Artificial intelligence

    Maandamano ya kupinga ujenzi wa bomba la mafuta(EACOP) Kati ya Tanzania na Uganda nchini Ufaransa ni "Economic Espionage"

    Maandamano yaliyofanyika nchini Ufaransa leo tena yakiongozwa na Mkenya ni kiashiria cha ujasusi wa kiuchumi kuhusu Tanzania&Uganda juu ya ujengaji wa bomba hilo. Kenya katika ukanda huu wa maziwa makuu imekuwa ikitumiwa sana na washirika wa magharibi na kampuni nyingi binafsi katika...
  8. The Assassin

    Maandamano Ufaransa kupinga kampuni ya Total kujenga bomba la mafuta la Uganda na Tanzania

    Wanafunzi na wanaharakati wengine wa maeneo mbalimbali mjini Paris wameandamana kupinga kampuni ya kifaransa ya Total kujenga bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanga, Tanzania. Wanafunzi hao na wanaharakati wa mazingira wanaitaka serikali ya Ufaransa kuizuia kampuni ya Total kujenga mradi huo...
  9. Suley2019

    Jacob Oulanyah, Spika wa Bunge la Uganda afariki dunia

    Rais Museven kupitia ukurasa wake rasmi wa mtandao wa Twitter ametangaza kifo cha Spika wa Bunge wa Uganda Jacob Oulanyah. Museven anaeleza kuwa kifo hicho kimetokea leo majira ya saa 4:30 asubuhi kwa Ukanda wa Afrika Mashariki. Taarifa zinaeleza kuwa Jacob Oulanyah alikuwa nchini Marekani kwa...
  10. Tony254

    Asilimia mbili tu ya mizigo ya Uganda ndio inayopitia Dar es Salaam port, huku asilimia 98% ikipitia Mombasa port, asema mkurugenzi mkuu wa TRC

    Wadau mimi nilijua kwamba asilimia 20 ya mizigo ya Uganda hupitia Dar es Salaam port sasa leo nimepigwa na butwaa kusoma maneno aliyosema mkurugenzi mkuu wa TRC Masanja Kadogosa kwamba asilimia mbili tu ya mizigo ya Uganda ndio hupitia Dar es Salaam port. Hio ina maana kwamba asilimia 98 ya...
  11. Kichwamoto

    Mtoto wa Yoweri Museveni kuwa Rais huko Uganda? Mvua huanza na mawingu

    Hello Banzukulu, I salute you in the greatest spirit of news alert for transition and dispensesion ni regional politics. Taarifa za kustaafu ama kuomba ruhusa ama kibali cha kustaafu utumishi wa jeshi la Uganda kwa mtoto wa Rais Museveni wa Uganda, ndugu Lt. Gen Muhoozi, si ajabu si mshituko...
  12. John Haramba

    Mpaka wa Uganda, Rwanda hatimaye wafunguliwa

    Shangwe limeibuka kwa wakazi wa Rwanda na Uganda baada ya mpaka Gatuna unaotenganisha nchi hizo, kufunguliwa rasmi leo Jumatatu. Mpaka huo uliopo wilaya ya Gicumbi ulifungwa mwaka 2019 kutokana na maelewano mabovu baina ya nchi hizo mbili ambazo ni majirani...
  13. beth

    Exiled author sues Uganda for alleged torture

    A Ugandan novelist charged with insulting President Yoweri Museveni has taken the government to court over his alleged torture by soldiers. Kakwenza Rukirabashaija was arrested in December after posting tweets insulting Mr Museveni and his son Muhoozi Kainerugaba. He denied the charges. He...
  14. U

    Harusi ya Mtoto wa Kike wa Rais Museveni aliyeolewa Mtoto wa Jenerali Tumukunde

    Photos attached
  15. Suley2019

    Aliyekuwa bosi wa Msalaba Mwekundu Uganda afungwa miaka 7 jela kwa ufujaji wa pesa

    Picha: Richard Michael Nataka Mahakama ya Kupambana na Ufisadi Kampala, Uganda imemhukumu Richard Michael Nataka, aliyekuwa katibu mkuu wa Chama cha Msalaba Mwekundu Uganda (URCS) kifungo cha miaka 7 jela kwa ubadhirifu wa zaidi ya Sh 1 bilioni. Mahakama hiyo, ilimpatia Nataka adhabu hiyo...
  16. J

    Vita ya Kagera: Uganda ilikuwa na Silaha bora Tanzania ilikuwa na Jeshi bora. Mwisho wa vita silaha zile zikawa zetu tena zikiwa Mpya kabisa

    Wale wahenga mnakumbuka tulizishuhudia zile silaha pale uwanja wa Uhuru baada ya wapiganaji wetu mashujaa kurejea kutoka vitani huko Mutukula. Vita ni uimara na ujasiri wa mioyo na akili za wanajeshi na siyo wingi wa zana za kivita japokuwa nazo ni muhimu. Mungu wa mbinguni ibariki Ukraine...
  17. Lycaon pictus

    Ni kweli kuwa Rwanda na Uganda wana gesi nyingi kutuzidi?

    Takwimu zinaonyesha nchi yenye gesi nyingi duniani ni Urusi na ya pili Iran. Msumbiji ni ya 14 duniani na tanzania ni ya 82. Takwimu hizo zinaonyesha kuwa Rwanda na Uganda wana reserve kubwa ya gesi kuliko sisi.
  18. L

    Viongozi wa Uganda na China wajadili ajenda mpya ya kutokomeza umaskini

    Rais wa Uganda amekaribisha mpango mpya wa maendeleo wa China katika bara la Afrika ambapo Uganda ni miongoni mwa nchi zilizopangwa kunufaika nao Rais huyo, ambaye alikutana na ujumbe wa China katika Ikulu Ijumaa, alitaja maeneo mawili muhimu ya Uganda ambayo ni kutokomeza umaskini na kuhamisha...
  19. M

    Nawezaje kupata mawasiliano ya Makerere University au Ubalozi wa Tanzania nchini Uganda?

    Habari zenu wakuu. Hizi taasisi mbili nimeshatumia njia za email kuwafikia naona hawajibu. Sijui ubusy au email zimekuwa nyingi sasa naomba aliye na mawasiliano ya pale au ubalozi anisaidie
  20. P

    Analoshindwa Putin aliliweza Magufuli kwa kutumia zawadi ya tausi watatu kwa Museveni na Kenyatta

    Video ya Vladmir Putin akihojiwa na waandishi wa habari wa vyombo vya habari vya magharibi inatembea mitandaoni. Putin anajitahidi sana kujenga hoja za kujibu maswali lakini kama kawaida yake anarudia makosa yale yale ya miaka yote. Putin aidha hana team nzuri ya Diplomasia au anaogopwa na...
Back
Top Bottom