Ujerumani yazuia mkusanyiko wa watu zaidi ya wawili katika kupambana na #Covid19
Mamlaka zinasema, zuio hilo ni sahihi zaidi kuliko kuwataka watu wabaki nyumbani
Hadi sasa #Covid19 imeua watu 13,500 na watu 313,000 wameambukizwa ugonjwa huo
Ujerumani yazuia mkusanyiko wa watu zaidi ya wawili...