SIKU TUKIWEKA PEMBENI UJINGA WA KULINDANA
Tukalimana kwa mujibu wa ilani, katiba, kanuni, miongozo na taratibu, na tukaazimia kutenda haki bila kuwaonea mafukara, tukausaka usawa — siku hiyo itabarikiwa na kuifanya nchi ineeemeke kwa haki.
Nilisikika huko ndotoni nikitema cheche, nikikemea...