TUCTA ! TUCTA! TUCTA!
Shirikisho la vyama vya wafanyakazi nchini Tanzania nimewaita mara tatu! Hivi kwanini ninyi ni wanafiki kiasi hiki? Kwanini yaani!
Wanabodi,
Kama mtakumbuka mara ya mwisho mishahara kupandishwa angalau kwa kiasi kikubwa ni wakati wa JK Kikwete! Mara baada ya Raisi...