Na Smartdunia.
‘’FURAHA NILIYOKUA NAYO TANGU NIKIWA MDOGO,ILIANZA KUFIFIA’’,Jessica alisema huku akifuta machozi kisha akaendelea.
Nakumbuka siku ile, tarehe za mwanzoni mwa mwezi wa saba miaka kumi iliopita,niliamka asubuhi nikiwa nimechoka sana.
"Uchovu wa leo sio wa kawaida...